Kabakwa live

mimi ntakuwa naendesha kwa hiyo mbona umevaa kiajabu hapo nyuma kama mdada hivi.Utanipunguzia spidi kwa uzito nataka niwe kasi hiyo 110km/h hata kwenye kona.

Weka 120 Km/hr ili ikitokea ajali iwe imetoka.

 
sikumaanisha huko uendako,popote alipo,msalimu tu shemeji yangu.....vipi kozi ya lugha inaendeleaje???
hii naipata wikiend tuwapo na muda wa kutosha last wiki sikuwa Arusha kwa hiyo sidhan kama muda wiki hii utaruhusu.Mbona ulikimbia swali lanu kwenye jukwaa ulilonielekeza?
 
Weka 120 Km/hr ili ikitokea ajali iwe imetoka.


Rev umekuja kufanya nini kwenye hili jukwaa?naanza kukushushia heshima kidogokidogo.No sijazoea hiyo muendo mchungaji labda unipe cc 450 kwani ni rahisi kukata kono kuliko kwa cc 250
 
Rev umekuja kufanya nini kwenye hili jukwaa?naanza kukushushia heshima kidogokidogo.No sijazoea hiyo muendo mchungaji labda unipe cc 450 kwani ni rahisi kukata kono kuliko kwa cc 250

Jaribisha uone raha yake mbona hata 110 za faa!
 
hii naipata wikiend tuwapo na muda wa kutosha last wiki sikuwa Arusha kwa hiyo sidhan kama muda wiki hii utaruhusu.Mbona ulikimbia swali lanu kwenye jukwaa ulilonielekeza?

Lile jukwaa siliwezi my dear,sijaliona swali ngoja nikapitie kule nitafure ile thread nikujibu......:rain:
 
ni wachache sana tunaweza kushinda majaribu kama haya. hata mkituiga hamuwezi , nashauri mjaribu kuepuka vishawishi.

mwisho wa mahubiri.

tusemeni amen
 
ni wachache sana tunaweza kushinda majaribu kama haya. hata mkituiga hamuwezi , nashauri mjaribu kuepuka vishawishi.

mwisho wa mahubiri.

tusemeni amen

WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.

AMEN
 
Dawa yake angemwambia dada vaa ili tuendelee kupanga vitu ujue nina kazi zinanisubiri.
 

Kaka ebu nidokeze imetokea wapi hii ishu??? Naona kama inanigusa??? Ni bongodaresalaam, arusha au?????? TAFADHALI SANA NAOMBA UNIJUZI. KAMA NI BONGO NI MAENEO GANI??
 
Yule jamaa aliniambia kuwa atajipitishapitisha kwa yule dada hadi aombwe japo kufukuza panya ili apate nafas ya kumchapa nao !
 

Mambo haya ndo siyapendi, yaani mi nakusimulia wewe unakuja kuweka jamvini. Ona sasa JF wote wanajua kama nimetwanga yule mke wa mtu, we sio kabisa!!
 
Kaka ebu nidokeze imetokea wapi hii ishu??? Naona kama inanigusa??? Ni bongodaresalaam, arusha au?????? TAFADHALI SANA NAOMBA UNIJUZI. KAMA NI BONGO NI MAENEO GANI??
DAH mie pia, kwa hiyo sie tulieacha wake zetu bongo jamaa wanachakachua kimtindo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…