roselyne1
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 1,365
- 95
Assalaama alaykum. kwanza ningemshauri mke wangu afuate ushauri wa Kadhi.
Pili nimeshamueleza kama nimefunga sio big deal, achukue funguo upo kwenye droo ndogo ya kabati hilohlo, afungue aangalia na kisha awaambie alichokiona.
Tatu mwambieni na yeye aondoe security codes zote kwenye simu yake.
Nne, aache mawasiliano na ex-wake wote.
Tano, ajue nampenda na sina siri.
mambo?
kumpenda mtu ni kumuamini,ungemuamini mkeo usingefungia kabati lako ukamwacha na mauza uza mwenzio...
Kwenye nyekundu nahisi,ndoa yenu imekumbwa na pepo mbaya wa kutoaminiana!...elekezenu nguvu zenu zote kuziba hio loophole kabla mambo hayajaharibika zaidi...