DolphinT
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 2,014
- 2,979
Kwamba hujui kama Palagamba Aidan Kabudi aliwahi kusema Gwanda was declared dead!Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.
Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Wakionekana atakua mahindi wa Karne
Wasipoonekana atabakia kuwa mahindi wa Karne pia.
Ushindi wa kwanza ni kamba amechochea kurejeshwa uraiani watu walikwisha katiwa tamaa kuwa wamepotea hivyo familia zao na wapendwa wao watarudishiwa furaha iliyopotea.
Ushindi wa pili ni kwamba ulimwengu na vizazi vijavyo vitabaki na kumbukumbu kwamba paliwahi kuwa na utawala chini ya Mtu aliyeitwa Magufuli ambao ulihusika kunawa damu zisizo na hatia. Hakika uovu huo utaambatana nao hata kizazi Cha nne