Kabila gani lina lafudhi nzuri ya Kiswahili Tanzania?

Kabila gani lina lafudhi nzuri ya Kiswahili Tanzania?

Tukiacha utani Tanga Mjini ila usivuke Muheza ukivuka unakutana na Tate nane!
Hapo sijui wana maanisha nini nilikutana na msambaa wakati naichakata papuchi yake hilo neno lilitawala mwanzo mwisho nika muuliza ulikua una maanisha nini hakunijibu akawa anadoa macho tu amechoka hatari.
 
Hapo sijui wana maanisha nini nilikutana na msambaa wakati naichakata papuchi yake hilo neno lilitawala mwanzo mwisho nika muuliza ulikua una maanisha nini hakunijibu akawa anadoa macho tu amechoka hatari.
Huenda ni kama Mayo nene Kisukuma
 
Dah! Kama ulikuwepo nimetoka jana huko kwa wadigo gari imetoka stendi ya zamani pale hadi chongoleani wale wamama wanapiga stori zao mm naenjoy tu ile lafudhi yao taaaaamu hakuna km wadigo na baadhi ya makabila ya pwani si yote, sisi wengine wa bara lafudhi zetu zinakera masikioni hatujui matamshi matokeo yake kila mmoja anamuona mwenzie mshamba!
Ukisikia sauti zinazo mtoa nyoka pangoni ndio hizo [emoji3][emoji3]
 
Mnataka kutududimiza zaidi...tuacheni tuna machungu jamani .tujifariji hata huku[emoji24][emoji24]...the fall of Sukuma[emoji24]...nipe hata pole ya hela basi jamani....John jiran yangu[emoji847][emoji2960]
Kanywe soda pepsi nitakilipia mkuuu tupoze machungu [emoji24][emoji24]Ila hawa watakuja kusema tu wasukuma walitoa jembe likafanya maajabu makubwa.
 
Lafudhi ya tanga ni habari nyingine demu wa kichaga akiongea tu unakosa mood ya kumtongoza ila tanga na zanzibar hata awe mbaya akiongea tu anakuvutia
 
Back
Top Bottom