lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Kama lafudhi ya mama yetu Mh. Rais (isomwe Raisi) Samia Suluhu kwakweli haichushi ni nzuri mno.sijui kabila.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sijui wana maanisha nini nilikutana na msambaa wakati naichakata papuchi yake hilo neno lilitawala mwanzo mwisho nika muuliza ulikua una maanisha nini hakunijibu akawa anadoa macho tu amechoka hatari.Tukiacha utani Tanga Mjini ila usivuke Muheza ukivuka unakutana na Tate nane!
Huenda ni kama Mayo nene KisukumaHapo sijui wana maanisha nini nilikutana na msambaa wakati naichakata papuchi yake hilo neno lilitawala mwanzo mwisho nika muuliza ulikua una maanisha nini hakunijibu akawa anadoa macho tu amechoka hatari.
Wewe Mwanamke tutakupiga asee unamaanisha tone hiiWasukuma wana lafudhi nzuri sana na tone nzuri. Tone ya matumaini!
Hahahahahahahahahahaa....mie i waa kidding .mie hata niumwe jino nikimiskia msukuma anatone yake lazima nicheke balaa🤣🤣..sasa dingi yangu ana tone kama jpm..tunachekaga balaa..ila waha mie nachokaga kuwasikikiza jamanWewe Mwanamke tutakupiga asee unamaanisha tone hii
View attachment 1731374
naunga mkono napenda sana lafudhi ya Tanga na ZenjiWadigo na Wazanzibar
Ukisikia sauti zinazo mtoa nyoka pangoni ndio hizo [emoji3][emoji3]Dah! Kama ulikuwepo nimetoka jana huko kwa wadigo gari imetoka stendi ya zamani pale hadi chongoleani wale wamama wanapiga stori zao mm naenjoy tu ile lafudhi yao taaaaamu hakuna km wadigo na baadhi ya makabila ya pwani si yote, sisi wengine wa bara lafudhi zetu zinakera masikioni hatujui matamshi matokeo yake kila mmoja anamuona mwenzie mshamba!
Aaah wapi..lafudhi ya kibabeWakurya
Wadigo wanamtoa nyoka pangoniWadigo wa kike hatari sana shikomoni wote wana wake wa kidigo,sio mjini au kijijini wote wapo vizuri,nitaludi tena siku nyingine.
Huwa napenda wanavyokaza maneno[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Aaah wapi..lafudhi ya kibabe
Kanywe soda pepsi nitakilipia mkuuu tupoze machungu [emoji24][emoji24]Ila hawa watakuja kusema tu wasukuma walitoa jembe likafanya maajabu makubwa.Mnataka kutududimiza zaidi...tuacheni tuna machungu jamani .tujifariji hata huku[emoji24][emoji24]...the fall of Sukuma[emoji24]...nipe hata pole ya hela basi jamani....John jiran yangu[emoji847][emoji2960]
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Asante sana mkuuuWasukuma Wana Rafidhi nzuri sana.
Yaani ametutoka mapema..mie ntamis madongo yake jaman..pepsi situmii...za watotoKanywe soda pepsi nitakilipia mkuuu tupoze machungu [emoji24][emoji24]Ila hawa watakuja kusema tu wasukuma walitoa jembe likafanya maajabu makubwa.
Wanaongea kama wana maji mdomoni...khaaTukiacha utani Tanga Mjini ila usivuke Muheza ukivuka unakutana na Tate nane!
Akina Makamba😁Wanaongea kama wana maji mdomoni...khaa
Yaan napataga uzitoAkina Makamba😁