sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
kabila hutambuliwa kwa Lugha, Mila, Miko, Majina na matambiko , hapa tutagusia matambiko .... Hakuna mtanzania asiye na tambiko, kila kabila alilotoka lina tambiko lake .
yapo makabila ambayo.97% ya kabila hilo ni wakatoliki lakini matambiko ya kiukoo yanaendelea na wazee wamila wanatambuliwa, mambo yao yanaenda fresh tu maana tambiko sio uchawi bali ni kuenzi mila na kupokea baraka zake.
Hata Baba wa taifa alifuta uchifu lakini alisema kabila lina kazi moja ya kuendelea kutambika lakini kwenye taifa ukabila haupaswi kuingizwa.
kwa bahati mbaya utandawazi wa sasa umefanya watu wadanganywe kirahisi kwamba mambo haya ni ushirikina na wengi hata mambo yao yamekwenda kombo kwa kupuuza asili zao bila kujua kwamba tambiko aliloshiriki baba na mababu zake limo bado ndani ya damu yake na ana jukumu la kutambika.
ni makabila yanayohesabika yenye utaratibu wa kuyafanya kila baada ya kipind flani kulingana na miiko ya mila .
yapo makabila ambayo.97% ya kabila hilo ni wakatoliki lakini matambiko ya kiukoo yanaendelea na wazee wamila wanatambuliwa, mambo yao yanaenda fresh tu maana tambiko sio uchawi bali ni kuenzi mila na kupokea baraka zake.
Hata Baba wa taifa alifuta uchifu lakini alisema kabila lina kazi moja ya kuendelea kutambika lakini kwenye taifa ukabila haupaswi kuingizwa.
kwa bahati mbaya utandawazi wa sasa umefanya watu wadanganywe kirahisi kwamba mambo haya ni ushirikina na wengi hata mambo yao yamekwenda kombo kwa kupuuza asili zao bila kujua kwamba tambiko aliloshiriki baba na mababu zake limo bado ndani ya damu yake na ana jukumu la kutambika.
ni makabila yanayohesabika yenye utaratibu wa kuyafanya kila baada ya kipind flani kulingana na miiko ya mila .