Kabla hatujaanza kuushangaa huu waraka mpya wa Papa Francis tujikumbushe waraka wa mwezi uliopita, kanisa katoliki linaelekea wapi ?

Kabla hatujaanza kuushangaa huu waraka mpya wa Papa Francis tujikumbushe waraka wa mwezi uliopita, kanisa katoliki linaelekea wapi ?

Tunakoelekea sasa hawa Roman Catholic Church wanataka kuhalalisha yale ambayo watu wengi duniani watalikimbia kanisa hilo
Kwani wakili kimbia, ndo lenyewe misingi yake itakufa?
Kanisa litabaki pale pale.
 
Halafu sijawahi kuamini mpaka leo hii na Ukatoliki wangu kama kufanya matambiko ni dhambi!! Yaani kuiomba mizimu kutuletea mvua, kuondoa mikosi, kutuletea mavuno mengi, nk. eti ni dhambi!!

Na pia siamini kama kama unaweza kuokoka hapa duniani. Zaidi naona tu watu wanahangaika tu kwenda huku na kule, kutafuta kitu cha aina ile ile.
Ndomana nasemaje, dini ya kikatoliki, asili Yao ni upagani.

Mizimu asili Yao ni Kuzimu, Mizimu=kuzimu.

Ikiwa inaabudu Mizimu, iweje ukane USHOGA wakati kuzimu kuingiliana kinyume ndo zao?

Ukifia dhambini, utaenda kuzimu direct. Okoka haraka.

Dunia Ina mambo🙄
 
Ndomana nasemaje, dini ya kikatoliki, asili Yao ni upagani.

Mizimu asili Yao ni Kuzimu, Mizimu=kuzimu.

Ikiwa inaabudu Mizimu, iweje ukane USHOGA wakati kuzimu kuingiliana kinyume ndo zao?

Ukifia dhambini, utaenda kuzimu direct. Okoka haraka.

Dunia Ina mambo🙄
Huo ni mtazamo wako. Hivyo sioni sababu ya kulumbana hapa. By the way, mimi siyo mtu wa kuyumbishwa kwenye maisha yangu ya kila siku. Kwa hiyo usipoteze muda wako kumhubiria mtu mwenye msimamo wake binafsi.
 
Wahame wahamie wapi?

Mimi Mkatoliki napenda ibada za Kanisa langu kwa sababu zina utulivu,zina mpangilio maalumu wenye mantiki nahubiriwa neno la Mungu kwa ajili ya mustakabali wa maisha yangu ya baadae (siyo ahadi za maisha mazuri au kumiliki vitu vizuri pasipo kufanya kazi au kusengenya wengine).

Sihubiriwi chuki kwamba wale wana dhambi ile au hawamuabudu Mungu kwa njia inayopaswa na kwamba sisi ndiyo tupo sahihi sana,mambo ni mengi ambayo kwa wengine siwezi kuyapata ilikuwa at least Anglican lakini nao wameshaenda tofauti na aliyoyaagiza Mungu KKKT huwa naingia lakini ibada za kelele siziwezi huwa naona kama sala zangu hazifiki.

Ukweli ni kwamba hili ni shambulio baya sana kwa kizazi chetu kiimani (yalishakuwepo mengine mengi tu na yalipita) ila naamini hata hili litapita.
Wewe umeambiwa kama unapenda ushoga bakia Katoliki lakini kama hupendi ushoga hama haraka maana kanisa katoliki la sasa linakuona wewe ni mbaguzi, mtu mwenye chuki na uliyepitwa na wakati.

Kwa sasa ukatoliki na ushoga ni kitu kimoja, hakuna wa kumpinga mwenzake.
 
Waraka huu mpya umewasilishwa bado tukiwa kwenye sintofahamu ya waraka wa mwezi uliopita ulioruhusu maaskofu kubatiza waliobadili jinsia na kuwaruhusu wawe wazazi wa kibatizo bila kutoa msisitizo mkali kwamba suala la kubadili jinsia ni chukizo kwa Mungu.

Chanzo cha uhakika cha kupata matamko, waraka, speech, barua, n.k. huwa ni tovuti ya makao makuu ya kanisa katoliki Vatican, lugha za uwasilishaji huwa ni kiitaliano, kiingereza, kifaransa, kijerumani, kihispania, n.k.

Tamko hili liliwekwa 3 November 2023 na unaweza kulisoma hapa >> Answers to Several Questions from His Excellency, the Most Reverend José Negri, Bishop of Santo Amaro, Brazil, Regarding Participation in the Sacraments of Baptism and Matrimony by Transgender Persons and Homosexual Persons (3 November 2023)


1. Je, mtu aliebadili jinsia anaweza kubatizwa ?

Mtu aliebadili jinsia ambaye amepitia matibabu ya homoni na upasuaji wa kubadilisha jinsia anaweza kupokea ubatizo kama ilivyo kwa waumini wengine wa kanisa katoliki ikiwa hakuna hali ambayo italeta taharuki kwa kwenda kinyume na utaratibu wa zoezi la ubatizo. Kwa watoto au vijana wadogo wenye mashaka katika ubadilishaji wa jinsia, wakiwa tayari na wanapotaka wanaweza kupokea ubatizo.

Kwa wakati huo huo, Vifuatavyo ni muhimu kuvizingatia, hasa wakati panapokuwa na shaka kuhusu hali ya maadili, lengo au kuhusu nia yake kuelekea neema.

Katika Ubatizo, Kanisa linafundisha kwamba, wakati sakramenti inapopokelewa bila toba kwa dhambi kubwa, anaebatizwa hawezi kupokea utakatifu wa kiroho, ingawa atatambulika kapata ubatizo. Katekisimu inasema: misingi ya Kristo na Kanisa iliyofikiwa na Roho, haifutwi bali inabaki milele ndani ya Mkristo kama hali chanya kuelekea neema kama ahadi na uhakikisho wa ulinzi takatifu na kama wito wa ibada ya kimungu na utumishi wa Kanisa.

Mtakatifu Thomas wa Aquinas alifundisha kwamba wakati kitu kilichokuwa kikizuia neema ya Mungu kabla ya ubatizo kinaondolewa kwa mtu ambaye aliebatizwa bila kuwa na nia sahihi, alama maalum ya kiroho wanayoipata wakati wa ubatizo inawasaidia kuwa wazi zaidi kupokea neema ya Mungu. Mtakatifu Augustine wa Hippo alikumbusha hali hii akisema kwamba, hata kama mwanadamu anajikuta katika dhambi, Kristo haangamizi alama aliyopokea kwake katika Ubatizo, alama hii imemweka wazi kama mali yake.

Hivyo, Inatupasa tuelewe kwamba Papa Francis alitaka kusisitiza kwamba ubatizo ni mlango unaomruhusu Kristo kujiweka ndani yetu na sisi tuweze kuzama katika imani yake. Hii inamaanisha kwa vitendo kwamba hata milango ya Sakramenti haipaswi kufungwa kwa sababu yoyote ile hata kama mtu kabadili jinsia ama anafanya mapenzi ya jinsia moja. Hii ni kweli hasa linapokuja suala la sakramenti ya mlango wa ubatizo...., Kanisa katoliki si ofisi ya forodha, ni nyumba ya baba ambapo kuna nafasi kwa kila mtu na maisha yao yenye taabu.

Hivyo, hata wakati shaka zinabaki kuhusu hali ya maadili ya mtu au nia yake kama ni nzuri ama mbaya kuelekea neema ya Bwana, hatupaswi kamwe kusahau upendo wa dhati usio na masharti wa Bwana, Hata pale mtu anapokosea mara kwa mara, Mapenzi ya Mungu yapo wazi na anaweza kumrudia kutengeneza uhusiano imara. Mapenzi haya yapo wazi ila hubadilika kwa maana hatuwezi kutabiri matendo yetu ynavyoweza kuathiri uhusiano. Hata ale ambapo mtu anaefanya juhudi kumrudia Bwana ana uwezekano wa kuendelea kufanya makosa, hatuwezi kubeza jitihada zake za kutaka kubadilika. Hivyo yatupasa tuthamini jitihada zao kila moja wetu anaetaka kubatizwa na kuungana nao kwenye safari ya kikristo


2. Je, mtu aliebadili jinsia anaweza kuwa mzazi wa ubatizo katika Kanisa Katoliki ?

Mtu mzima aliebadili jinsia anaweza kuruhusiwa kuchukua jukumu la kuwa mzazi wa ubatizo. Hata hivyo, busara ya kichungaji inahitaji isiwezeshe zoezi hili ikiwa kuna ukiukaji wa utaratibu wa ubatizo unaoweza kuleta taharuki ama kuidhinisha kwa njia isiyofaa.

3. Je, mtu aliebadili jinsia anaweza kuwa shahidi wa ndoa?

mtu aliebadili jinsia anaweza kuwa shahidi wa ndoa za kikatoliki chini ya misingi sawa na ile inayotoa ubatizo kwa waumini wengine.



4. Je, watu wawili wa jinsia moja wanaweza kuwa wazazi wa ubatizo kwa mtoto ambaye anapaswa kubatizwa, ikiwa mtoto huyo wamemuasili ?

Ndio inawezekan, Ili mtoto apate ubatizo, lazima kuwe na matumaini yenye msingi kwamba ataelimishwa katika dini ya Katoliki (angalia kanuni ya 868 1, 2 au CIC; kanuni ya 681, 1, 1st CCEO).

5. Je, watu wenye jinsia sawa wanaoishi pamoja wanaweza kuwa kuwa wazazi wa ubatizo kwa mtu ambae tayari kabatizwa ?

Kulingana na kanuni ya 874 1, 1o na 3o CIC, yeyote mwenye uwezo na "anaishi maisha yanayolingana na imani na jukumu analochukua" anaweza kuwa mzazi wa ubatizo. Hali ni tofauti ambapo kuishi pamoja kwa watu wawili wa jinsia moja siyo tu kuhusiana na kuishi pamoja, bali ni wawe na uhusiano thabiti unaofahamika na jamii.

Kwa hali yoyote, busara ya kichungaji inahitaji kuzingatia kwa busara kila hali, ili kuhifadhi sakramenti ya ubatizo na hasa upokeaji wake, ambao ni mali yenye thamani inayopaswa kulindwa, kwani ni muhimu kwa wokovu.

Kwa wakati huo huo, ni muhimu kuzingatia thamani halisi inayotolewa na jumuiya ya Kikristo kwa majukumu ya wazazi wa kibatizo, jukumu walilonalo katika jumuiya, na heshima wanayoiweka kuendana na mafundisho ya Kanisa. Mwishowe, inapaswa pia kuzingatiwa kwamba kuna uwezekano wa kuwepo kwa mtu mwingine kutoka familia ambaye anaweza kuhakikisha uhamisho sahihi wa imani ya Katoliki kwa mtu anayebatizwa, huku wakijua kwamba wanaweza bado kumsaidia mtu anayebatizwa, wakati wa ibada, si tu kama wazazi wa kibatizo bali pia kama mashahidi wa tendo la ubatizo.

6. Je, wapenzi wawili wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja wanaweza kuwa mashahidi wa ndoa ?

watu wenye jinsia zinazofanana wanaopendana na kuishi Pamoja wanaweza kuwa mashahidi wa ndoa za kikatoliki chini ya misingi sawa na ile inayoruhusu waumini wengine kuwa mashahidi wa ndoa.
Kumbe hii ya kuubariki ushoga ni trend kamili ndani ya kanisa Katoliki.
Kwa sasa barabara ya ushoga imechongwa kikamilifu ndani ya kanisa katoliki, yaani ushoga utatambaa kirahisi mnoo.
 
Halafu sijawahi kuamini mpaka leo hii na Ukatoliki wangu kama kufanya matambiko ni dhambi!! Yaani kuiomba mizimu kutuletea mvua, kuondoa mikosi, kutuletea mavuno mengi, nk. eti ni dhambi!!

Na pia siamini kama kama unaweza kuokoka hapa duniani. Zaidi naona tu watu wanahangaika tu kwenda huku na kule, kutafuta kitu cha aina ile ile.
Hiyo mizimu ni kwa ajili Yako..Mwenye uwezo wa kuleta jua na mvua ni Mungu peke yake,usipotoshe watu
 
Kanisa Katoliki ni Taasisi iliyojipambanua kwa kuzingatia Misingi yake ya asili.

Hata hivyo, niwape pole sana Wakatoliki maana Dunia imehama mwelekeo na hakuna wakuizuia kwa hapa ilipofikia. Kanisa kuzuia hili wimbi la mabadiliko ya hii Dunia ni sawa na kuzuia maji kwa wavu wenye matobo.

Ni suala la muda tu, mbona hata hao Mashoga wataruhusiwa mpaka ndani kabisa. Hii dunia tumechelewa kuidhibiti na hakuna wakuizuia.

Kwenye issue ya mazingira, wanapambana kurejesha 1.5°C kwa kudhibiti ongezeko la hewa ukaa kwa mwendo wa konokono. Mabadiliko ya Tabianchi yanakuja kwa kasi kubwa kuliko hatua zinazochukuliwa na sioni wakuyazuia haya mabadiliko.

Huko DUBAI juzi kwenye COP 28 wahusika wamejiuma uma na wameshindwa kunyoosha lugha kwa kukomesha uzalishaji wa Fossil fuels kwakuwaogopa matajiri wa makampuni ya mafuta. Kwahiyo unaweza kuona kuwa kuwaheshimu matajiri wa Dunia ni muhimu zaidi kuliko afya ya Dunia yenyewe. Unaweza kuona jinsi gani Binadamu hawezi zuia matatizo aliyoyatengeneza mwenyewe kwa kuhofia suala la uchumi.

Ngoja tupigwe na mabadiliko ya Tabianchi mpaka tunyooke. Huko vijijini maji yatakuwa yanapatikana mara moja kwa mwezi. Mvua zitakuwa either kubwa sana za kuharibu au tutapigwa ukame ambao haujatokea. Wadudu waharibifu wa mazao wataongezeka na kilimo kitakuwa ghali sana na maskini atabakia kuwa maskini. Huu umeme wenu mnaojisifia wa maji mtausikilizia kwenye makaratasi tu kuwa ulikuwepo. Magonjwa yataongezeka na maisha yatakuwa ya taabu haswa. Maskini watazidi kuwa maskini na huenda kuishi kutabakia kwa watu wachache sana. Ni suala la muda tu.
 
Waraka huu mpya umewasilishwa bado tukiwa kwenye sintofahamu ya waraka wa mwezi uliopita ulioruhusu maaskofu kubatiza waliobadili jinsia na kuwaruhusu wawe wazazi wa kibatizo bila kutoa msisitizo mkali kwamba suala la kubadili jinsia ni chukizo kwa Mungu.

Chanzo cha uhakika cha kupata matamko, waraka, speech, barua, n.k. huwa ni tovuti ya makao makuu ya kanisa katoliki Vatican, lugha za uwasilishaji huwa ni kiitaliano, kiingereza, kifaransa, kijerumani, kihispania, n.k.

Tamko hili liliwekwa 3 November 2023 na unaweza kulisoma hapa >> Answers to Several Questions from His Excellency, the Most Reverend José Negri, Bishop of Santo Amaro, Brazil, Regarding Participation in the Sacraments of Baptism and Matrimony by Transgender Persons and Homosexual Persons (3 November 2023)


1. Je, mtu aliebadili jinsia anaweza kubatizwa ?

Mtu aliebadili jinsia ambaye amepitia matibabu ya homoni na upasuaji wa kubadilisha jinsia anaweza kupokea ubatizo kama ilivyo kwa waumini wengine wa kanisa katoliki ikiwa hakuna hali ambayo italeta taharuki kwa kwenda kinyume na utaratibu wa zoezi la ubatizo. Kwa watoto au vijana wadogo wenye mashaka katika ubadilishaji wa jinsia, wakiwa tayari na wanapotaka wanaweza kupokea ubatizo.

Kwa wakati huo huo, Vifuatavyo ni muhimu kuvizingatia, hasa wakati panapokuwa na shaka kuhusu hali ya maadili, lengo au kuhusu nia yake kuelekea neema.

Katika Ubatizo, Kanisa linafundisha kwamba, wakati sakramenti inapopokelewa bila toba kwa dhambi kubwa, anaebatizwa hawezi kupokea utakatifu wa kiroho, ingawa atatambulika kapata ubatizo. Katekisimu inasema: misingi ya Kristo na Kanisa iliyofikiwa na Roho, haifutwi bali inabaki milele ndani ya Mkristo kama hali chanya kuelekea neema kama ahadi na uhakikisho wa ulinzi takatifu na kama wito wa ibada ya kimungu na utumishi wa Kanisa.

Mtakatifu Thomas wa Aquinas alifundisha kwamba wakati kitu kilichokuwa kikizuia neema ya Mungu kabla ya ubatizo kinaondolewa kwa mtu ambaye aliebatizwa bila kuwa na nia sahihi, alama maalum ya kiroho wanayoipata wakati wa ubatizo inawasaidia kuwa wazi zaidi kupokea neema ya Mungu. Mtakatifu Augustine wa Hippo alikumbusha hali hii akisema kwamba, hata kama mwanadamu anajikuta katika dhambi, Kristo haangamizi alama aliyopokea kwake katika Ubatizo, alama hii imemweka wazi kama mali yake.

Hivyo, Inatupasa tuelewe kwamba Papa Francis alitaka kusisitiza kwamba ubatizo ni mlango unaomruhusu Kristo kujiweka ndani yetu na sisi tuweze kuzama katika imani yake. Hii inamaanisha kwa vitendo kwamba hata milango ya Sakramenti haipaswi kufungwa kwa sababu yoyote ile hata kama mtu kabadili jinsia ama anafanya mapenzi ya jinsia moja. Hii ni kweli hasa linapokuja suala la sakramenti ya mlango wa ubatizo...., Kanisa katoliki si ofisi ya forodha, ni nyumba ya baba ambapo kuna nafasi kwa kila mtu na maisha yao yenye taabu.

Hivyo, hata wakati shaka zinabaki kuhusu hali ya maadili ya mtu au nia yake kama ni nzuri ama mbaya kuelekea neema ya Bwana, hatupaswi kamwe kusahau upendo wa dhati usio na masharti wa Bwana, Hata pale mtu anapokosea mara kwa mara, Mapenzi ya Mungu yapo wazi na anaweza kumrudia kutengeneza uhusiano imara. Mapenzi haya yapo wazi ila hubadilika kwa maana hatuwezi kutabiri matendo yetu ynavyoweza kuathiri uhusiano. Hata ale ambapo mtu anaefanya juhudi kumrudia Bwana ana uwezekano wa kuendelea kufanya makosa, hatuwezi kubeza jitihada zake za kutaka kubadilika. Hivyo yatupasa tuthamini jitihada zao kila moja wetu anaetaka kubatizwa na kuungana nao kwenye safari ya kikristo


2. Je, mtu aliebadili jinsia anaweza kuwa mzazi wa ubatizo katika Kanisa Katoliki ?

Mtu mzima aliebadili jinsia anaweza kuruhusiwa kuchukua jukumu la kuwa mzazi wa ubatizo. Hata hivyo, busara ya kichungaji inahitaji isiwezeshe zoezi hili ikiwa kuna ukiukaji wa utaratibu wa ubatizo unaoweza kuleta taharuki ama kuidhinisha kwa njia isiyofaa.

3. Je, mtu aliebadili jinsia anaweza kuwa shahidi wa ndoa?

mtu aliebadili jinsia anaweza kuwa shahidi wa ndoa za kikatoliki chini ya misingi sawa na ile inayotoa ubatizo kwa waumini wengine.



4. Je, watu wawili wa jinsia moja wanaweza kuwa wazazi wa ubatizo kwa mtoto ambaye anapaswa kubatizwa, ikiwa mtoto huyo wamemuasili ?

Ndio inawezekan, Ili mtoto apate ubatizo, lazima kuwe na matumaini yenye msingi kwamba ataelimishwa katika dini ya Katoliki (angalia kanuni ya 868 1, 2 au CIC; kanuni ya 681, 1, 1st CCEO).

5. Je, watu wenye jinsia sawa wanaoishi pamoja wanaweza kuwa kuwa wazazi wa ubatizo kwa mtu ambae tayari kabatizwa ?

Kulingana na kanuni ya 874 1, 1o na 3o CIC, yeyote mwenye uwezo na "anaishi maisha yanayolingana na imani na jukumu analochukua" anaweza kuwa mzazi wa ubatizo. Hali ni tofauti ambapo kuishi pamoja kwa watu wawili wa jinsia moja siyo tu kuhusiana na kuishi pamoja, bali ni wawe na uhusiano thabiti unaofahamika na jamii.

Kwa hali yoyote, busara ya kichungaji inahitaji kuzingatia kwa busara kila hali, ili kuhifadhi sakramenti ya ubatizo na hasa upokeaji wake, ambao ni mali yenye thamani inayopaswa kulindwa, kwani ni muhimu kwa wokovu.

Kwa wakati huo huo, ni muhimu kuzingatia thamani halisi inayotolewa na jumuiya ya Kikristo kwa majukumu ya wazazi wa kibatizo, jukumu walilonalo katika jumuiya, na heshima wanayoiweka kuendana na mafundisho ya Kanisa. Mwishowe, inapaswa pia kuzingatiwa kwamba kuna uwezekano wa kuwepo kwa mtu mwingine kutoka familia ambaye anaweza kuhakikisha uhamisho sahihi wa imani ya Katoliki kwa mtu anayebatizwa, huku wakijua kwamba wanaweza bado kumsaidia mtu anayebatizwa, wakati wa ibada, si tu kama wazazi wa kibatizo bali pia kama mashahidi wa tendo la ubatizo.

6. Je, wapenzi wawili wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja wanaweza kuwa mashahidi wa ndoa ?

watu wenye jinsia zinazofanana wanaopendana na kuishi Pamoja wanaweza kuwa mashahidi wa ndoa za kikatoliki chini ya misingi sawa na ile inayoruhusu waumini wengine kuwa mashahidi wa ndoa.


Kanisa katoliki haliendi mahali, mpinga Kristo probably atatoka huko, ni kanisa ovu, ila limejificha tu, Huyu Pop ndo uhalisia wa hili kanisa.
 
Back
Top Bottom