Kabla hujaamua kuwa na mahusiano au kuzaa na mwenza wako hakikisha ni mtu sahihi

Kabla hujaamua kuwa na mahusiano au kuzaa na mwenza wako hakikisha ni mtu sahihi

Jantisa

Member
Joined
Feb 13, 2023
Posts
51
Reaction score
47
Habari!
Leo mchana nikiwa ofisini kwangu somewhere in Dar amefika dada Mwenye umri wa miaka 24

Amekuja kwangu kimakosa alielekezwa aende kwa Afisa ustawi wa jamii wa kata yake kwani ana changamoto za kimahusiano na mwenza wake

Kiukweli shauku ikanijia nikamuuliza kwanni unataka kwenda ofisin kwa Afisa ustawi

Majibu yake huku akitokwa na machozi yalinifanya nijisikie vibaya sana kwani anasema jamaa wake anampiga na ukizingatia mdada Ana ujauzito anakaribia kujifungia jamaa wanakaa wote ila anadai hapewi matunzo na mwanaume wake akitoa pesa kubwa ni 2000

Mbaya Zaidi jamaa anajua mwanamke wake Ana ujauzito anachati na mwanamke wake mpya mchepuko mbele ya mkewe usiku kucha na Jana kampiga ngumu mwanamke wake sana na amevimba uso
Pia juzi mkewe kataka pesa ya kwenda kujifungua jamaa kampa 40000/ pekee na haioneshi hata kujali na ameshampa kiburi mpaka mchepuko unapokea simu yake unamwambie mkewe wew ushazalishwa tulia

Kiukweli stori yake imenikasirisha sana mchana nikaona nije niwashauri vijana wenzangu kuwa kabla hujaingia kwenye mahusiano na mwanamke na kuzaa nae hakikisha ni mtu sahihi kwako Tusipende kuwaumiza Hawa wanawake ndio tunawafanya kujiingiza kwenye matendo maovu.

Pia matendo ya ukatili wa kijinsia yameleta ongezeko la watoto wa mtaani na kujaza magereza kwani wanaume wengi wanafungwa kwa kesi za ukatili na unyanyasaji wa kijinsia
Tubadilike Pinga ukatili wa kijinsia popote ulipo jamii Bora inaanza nawewe


Nawasilisha
Afisa ustawi wa jamvini
 
Habari!
Leo mchana nikiwa ofisini kwangu somewhere in Dar amefika dada Mwenye umri wa miaka 24

Amekuja kwangu kimakosa alielekezwa aende kwa Afisa ustawi wa jamii wa kata yake kwani ana changamoto za kimahusiano na mwenza wake

Kiukweli shauku ikanijia nikamuuliza kwanni unataka kwenda ofisin kwa Afisa ustawi

Majibu yake huku akitokwa na machozi yalinifanya nijisikie vibaya sana kwani anasema jamaa wake anampiga na ukizingatia mdada Ana ujauzito anakaribia kujifungia jamaa wanakaa wote ila anadai hapewi matunzo na mwanaume wake akitoa pesa kubwa ni 2000

Mbaya Zaidi jamaa anajua mwanamke wake Ana ujauzito anachati na mwanamke wake mpya mchepuko mbele ya mkewe usiku kucha na Jana kampiga ngumu mwanamke wake sana na amevimba uso
Pia juzi mkewe kataka pesa ya kwenda kujifungua jamaa kampa 40000/ pekee na haioneshi hata kujali na ameshampa kiburi mpaka mchepuko unapokea simu yake unamwambie mkewe wew ushazalishwa tulia

Kiukweli stori yake imenikasirisha sana mchana nikaona nije niwashauri vijana wenzangu kuwa kabla hujaingia kwenye mahusiano na mwanamke na kuzaa nae hakikisha ni mtu sahihi kwako Tusipende kuwaumiza Hawa wanawake ndio tunawafanya kujiingiza kwenye matendo maovu.

Pia matendo ya ukatili wa kijinsia yameleta ongezeko la watoto wa mtaani na kujaza magereza kwani wanaume wengi wanafungwa kwa kesi za ukatili na unyanyasaji wa kijinsia
Tubadilike Pinga ukatili wa kijinsia popote ulipo jamii Bora inaanza nawewe


Nawasilisha
Afisa ustawi wa jamvini
Ushauri mzuri mkuu,
Me kila siku nawaambia vijana, ukiona hauwezi kuwa chanzo cha furaha kwa mpenzi/mwenza wako, basi bora uachane naye tu. Hatuwezi kuwa na jamii inayokosa furaha hadi kwenye maswala kama ya mahusiano.
 
Mwanaume unapata wapi ujasiri wa kumpiga mjamzito?

Nikikumbuka ujauzito wa yule Binti,nilikuwa nikimuangalia shingoni chini ya oesophagus moyo wake ulivyokuwa unadunda kwa Kasi utadhani ametoka kukimbia hadi nilikuwa namwonea huruma. Wanawake ni dhaifu sana, wanachojivunia ni kuongea(mdomo) tu basi!

Alafu unasikia Kuna mtu anampiga mjamzito,dah!!
 
Mwanaume unapata wapi ujasiri wa kumpiga mjamzito?

Nikikumbuka ujauzito wa yule Binti,nilikuwa nikimuangalia shingoni chini ya oesophagus moyo wake ulivyokuwa unadunda kwa Kasi utadhani ametoka kukimbia hadi nilikuwa namwonea huruma. Wanawake ni dhaifu sana, wanachojivunia ni kuongea(mdomo) tu basi!

Alafu unasikia Kuna mtu anampiga mjamzito,dah!!
Kuna watu wana roho ngumu sana
 
Ushauri mzuri mkuu,
Me kila siku nawaambia vijana, ukiona hauwezi kuwa chanzo cha furaha kwa mpenzi/mwenza wako, basi bora uachane naye tu. Hatuwezi kuwa na jamii inayokosa furaha hadi kwenye maswala kama ya mahusiano.
Kabisa mkuu vijana wanabidi wajitathmini kwakweli
 
Mwanaume unapata wapi ujasiri wa kumpiga mjamzito?

Nikikumbuka ujauzito wa yule Binti,nilikuwa nikimuangalia shingoni chini ya oesophagus moyo wake ulivyokuwa unadunda kwa Kasi utadhani ametoka kukimbia hadi nilikuwa namwonea huruma. Wanawake ni dhaifu sana, wanachojivunia ni kuongea(mdomo) tu basi!

Alafu unasikia Kuna mtu anampiga mjamzito,dah!!
Inaumiza sana mkuu
 
Kumchukia mtu kupitia maelekezo toka kwa mtu mwingine pasi na kupata maelezo wakiwa pamoja haipo sawa kwa mtu timamu.

Wanawake wameumbiwa mdomo sana na akiamua kukukaanga anakaanga hasa.

Kupitia hili ustawi wa jamii umehukumu wanaume wengi sana.
 
Kuna wengine Huwa wanaleta dharau Kwa kujua kuwa wataonewa huruma sababu ya ujauzito.Kama analeta dharau haijalishi ni mjamzito kipigo kinamuhusu
 
Huyo jamaa anafany kazi gani ?

Asije taka laki kwa mtu anaeuza maji mtaan
Jamaa anafanya Kazi jambo plastics pale karakana

Analaumu jamaa amebadilika sana hamjali toka apate huyo mwanamke mpya

Mm kilichonivuta kumuuliza nilimuona analia halafu ana barua ya mtendaji wa mtaa akimtaka kwenda kwa Afisa Ustawi
Pia ana manundu ya kutosha
 
Wengi wanadate na wagonjwa wa akili kwa sababu mwanzo wa mahusiano waliangalia anayejua kuvaa vizuri na asiye mshamba anayeweza kuwapeleka viwanja vikali hapa town.
 
Hapa kuna swala moja...
A. Kuolewa na unaempenda
B. Kuolewa na anaekupenda
C. Kuolewa na mnaependana (hii ndio bora ila ngum sana kupata)

Anyway mabinti option ya pili kwao n bora zaidi..... Mwanaume akikupenda atakuhurumia, Sasa wewe ndo ukiwa ulimpenda kuliko yeye alivyokupenda Amna rangi utaacha ona!!!!

Mm pia n muhanga wa hii kitu... Binti nimempenda sana, kaniacha kaenda kwa ampendae.. mwisho kilichofata ni kutumika na vipigo!!!
So sad🚶🚶
 
Kumchukia mtu kupitia maelekezo toka kwa mtu mwingine pasi na kupata maelezo wakiwa pamoja haipo sawa kwa mtu timamu.

Wanawake wameumbiwa mdomo sana na akiamua kukukaanga anakaanga hasa.

Kupitia hili ustawi wa jamii umehukumu wanaume wengi sana.
Sijahukumu mkuu nilikua natoa constructive guidance
Mwanzo sikuwa tayar kuona anaenda ustawi wa jamii kwasababu najua madhara yake nikamuuliza maswali kuwa ndugu wa mwanaume wanajua akasema hata hawajui nikamuuliza vipi ndugu zako wanajua akasema wanajua ila hawana cha kumsaidia

Nikamuuliza kwann anafikiri ustawi wa jamii atapata msaada ili Hali kwa Hali yake anaweza kuhatarisha Zaidi Hali yake kwani mume/ mapenzi wake anaweza kuhukumiwa akasema hahitaji kesi what anataka ni kupata nauli arudi kwao na kupata pesa ya kujifungua kwani tarehe zinekaribia

Sikuwa na option Zaidi
 
Kuna wengine Huwa wanaleta dharau Kwa kujua kuwa wataonewa huruma sababu ya ujauzito.Kama analeta dharau haijalishi ni mjamzito kipigo kinamuhusu
Mjamzito wa miezi tisa kasoro kweli mkuu
 
Back
Top Bottom