goodhearted
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 978
- 1,237
Hana kwao mpaka akimbilie ustawi wa jamii. Haya mambo ya ustawi ndio yanasababisha wanawake wananyanyasika kutwa kucha. Halafu stori ya upande mmoja haitoshi kujustify hukumu upande mwingineJamaa anafanya Kazi jambo plastics pale karakana
Analaumu jamaa amebadilika sana hamjali toka apate huyo mwanamke mpya
Mm kilichonivuta kumuuliza nilimuona analia halafu ana barua ya mtendaji wa mtaa akimtaka kwenda kwa Afisa Ustawi
Pia ana manundu ya kutosha