Kabla hujakubali kuolewa wakati humpendi mwanaume muwazie yule mwanaume anaekuoa kwa sababu anakupenda.

Write your reply...hivi bado watu wanaoa na kuolewa siku hizi .anyway npo hapa kuwakilisha chama cha mabachelor
 
makosa mawili makubwa mnayofanya wanawake wa siku hizi kuingia ktk ndoa:-
1. kuridhisha wazazi hasa wakina mama ndio wanaongoza ktk hili kuwapelekea watoto zao kutofaidi maisha ya ndoa....unakuta mdada wa watu anaolewa hata na mtu asiyependa ndo hapo habari za michepuko huanza hii mbaya sana.

2. kuwatambia wenzake mtaani kwamba fulani kaolewa....yes kuolewa ni heshima ila kwa ndoa za namna hizi hakuna maana halisi ya ndoa hapo.

muhimu kusikiliza moyo wako unataka nini, hakuna kitu kizuri katika maisha haya kama amani.
 
Sijafikia huko mkuu kuliwa na shemeji yangu. Siwezi kuwaachanisha kwanza wataachana wenyewe tu yakiwafika hapa.
Kumsaidia shogaako,jitongozeshe kwa mumewe akubabue afu awafumanie apate sababu!



Vere simpo!
 
Sasa taahira kama huyo unamshauri wa nini si umuache tu akachukue namba yake ya masingle mother fala wahed huyo......

Siku hizi mabinti akili zao wanazielewa wenyewe,
 

Love is overrate honey!

Dont be fooled!

It is unfortunate women always fail on LOVE....It is unfortunate!
 
Duh yan mambo ya wanawake[emoji58][emoji58]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…