Kabla hujakubali kuolewa wakati humpendi mwanaume muwazie yule mwanaume anaekuoa kwa sababu anakupenda.

Sometimes moyo unasema "back n forth" repeatedly......
So usitaraji utakupa msimamo, tumia akili baada ya moyo kutoa uhakika wa hisia.....

Akili huwa zinasaidia kufanya maamuzi magumu hata pale ambapo hatupo tayari
 
Namuonea huruma tu
Sasa taahira kama huyo unamshauri wa nini si umuache tu akachukue namba yake ya masingle mother fala wahed huyo......

Siku hizi mabinti akili zao wanazielewa wenyewe,
 
You're very right. Vitu vingine bila akili haviendi.
Sometimes moyo unasema "back n forth" repeatedly......
So usitaraji utakupa msimamo, tumia akili baada ya moyo kutoa uhakika wa hisia.....

Akili huwa zinasaidia kufanya maamuzi magumu hata pale ambapo hatupo tayari
 
mkuu wanawake hapa ndipo wanafeli sana aiseee.........

namshukuru sana Mungu wa Mbinguni amenipa mke mzuri wa sura, ananipenda, nampenda, sichoki kumwona, aisee yan hata nikiambiwa nifanye tena maamuzi namwoa yeye..............


wanawake, oleweni na watu mnaowapenda!
 
Awwwww.. kweli oa mwanamke anaekupenda utaenjoy maisha. Ila ukijitia kumpenda wewe utateseka ujute
 
Hivi unaoa/olewa kisa shinikizo la ndugu kweli?

Hiyo ndoa utaitumikia wewe ua hao ndugu!? Waafrica sisi bwana tuna mambo ya kupangiana maisha kiduanzi sana.
mkuu, makanisani ndio kunaongoza kuwa na ndoa za kulazimishana...........

baadhi ya makanisa hasa haya ya kilokole ukikutana mchungaji asie na uelewa aiseee unabebeshwa mtu bila kutaka.........


nimewah shuhudia!
 
mkuu, makanisani ndio kunaongoza kuwa na ndoa za kulazimishana...........

baadhi ya makanisa hasa haya ya kilokole ukikutana mchungaji asie na uelewa aiseee unabebeshwa mtu bila kutaka.........


nimewah shuhudia!
Kama kila siku ya ibada tutagawana sadaka basi morali.
 
Hivi unajua kuna ile kitu wamama na mashangazi wanawadanganya sana binti zao. Eti olewa na mwanaume anaekupenda utajifunza kumpenda taratibu. Hii kitu sio rahisi. Wachache sana wanapendaga waume zao kwenye ndoa.

Na siku hizi na sisi wanawake tunajidanganya eti ukimpenda mtu mpende kwa akili sio kwa moyo. Kwamba hata akikuzingua rahisi kumuacha. Ndo mana wengine wanaingia ndoani kwa kutumia akili bila hisia halafu wanaanza kujuta. Mtu anaona mwanaume anajimudu ana maisha mazuri anampenda anaambiwa ndoa anakubali wakati anajua hampendi hata kidogo anapenda vitu vyake tu.
Watoto wa kike wengi leo wanafeli sababu hawatumii akili, wanatumia moyo na mwili......

Wanaume tunatumia akili, pesa na nguvu kufanya maamuzi.....

Sijui nani kawaroga hawa viumbe
 
Hakushinikwa hata eti. Mama ake alimwambia nataka nione ndoa yako kabla hujafikisha miaka 30. Alivyotokea muoaji akakubali afulfill ndoto ya mama ake.

Kingine alikua anataka harusi flani hivi ya heshima na nini.
Shida nyingine hata akienda kwa hyo ex wake hana assurance ya true love from him
 
Mimi kwanza wala sitaolewa nae. Kumdatw tu naweza nikapiga kelele limtu nisilolipenda likinipigia simu halafu lianze kujibebisha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na kwa nn ufikie huko?? Mm kwa kweli siwezi ingia kwenye ndoa na mtu ambaye sina hisia nae Mana ntamuumiza tu ila hilo la sumu nmechekaa
 
Ndo maana wanawake wengi wanakimbilia makanisa ya kilokole kwenye kukutana na wanaume waliokata tamaa kama wao.
mkuu, makanisani ndio kunaongoza kuwa na ndoa za kulazimishana...........

baadhi ya makanisa hasa haya ya kilokole ukikutana mchungaji asie na uelewa aiseee unabebeshwa mtu bila kutaka.........


nimewah shuhudia!
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…