Kabla hujanunua Azam TV pitia hapa; Usije kujuta

Kabla hujanunua Azam TV pitia hapa; Usije kujuta

Ni matumaini yangu kuwa wengi ni buheri wa afya na manaendelea vema na majukumu ya kila siku!

Ukweli kuwa wengi wetu tuna mategemeo makubwa kutoka Azam tv tofauti na ukweli ulivyo...

Lengo la Uzi huu si kuharibu biashara ya Azam Bali kueleza uma ukweli halisi wa mambo!

So nitaelezea mambo muhimu ya kuyafahamu kabla ya kununua Azam TV.

1. Bei ya decoder hubadilika wakat wowote bila taarifa! mwezi wa 1,2016 nimenunua 140,000 hadi sasa tar 7 Marc imefika 170,000.

2. Channel ya kawaida tuu kama BBC, Fox, CNN, AL-Jazeera, France 24, mpaka ulipe 20,000 kwa mwezi.

3. Sinema zetu utapata bongo movie za 2005 kushuka chini Mara nyingine movie hurudiwa kwa week Mara 3, No latest movie ujue hivyo!

4. Organization ya channel iko hovyo! Unaweza kulipwa kifurushi cha 12,000 lakini kupata channel moja hadi nyingine ni shughuli! Channel za kihindi tu ndo ziko pamoja!

5. Tegemea kupata channel kibao za kiarabu na nyingine zisizoeleweka ni lugha gani!

6. King'amuzi kikiharibka jiandae kununua kingine.... hakitngenezeki

7. Ukienda kununua watakuambia vipeperushi vya list za channel na bei ya vifurushi vimeisha maana wanajua ukiangalia channel zao na bei utaghairi kununua" maana haviendani!

............ ......
22 Oct 2018
UPDATES
8.Azam wamefanya mabadiliko ambayo wameongeza gharma ya tsh 3,000 kwa kila kifurushi hivyo kufanya kifurushi cha bei ya CHINI KABISA kuwa 15,000 ambacho ni Sports.

>kimsingi gharama hizi ni kwa ajili ya channel moja tuu ya Azam sports ambayo huonyesha La Liga kwa kuwa channel za Man u, Liverpool na Madrid hazionyeshi mech live zaidi ya marudio na kutangaza Club zao
Thanks..

.......................
UPDATES
Azam wameongeza bei tena ambapo kifurushi kitakuwa 18,000 badala ya 15 000 ambapo wameongeza channel 1 ya azam Sport 2. Ikumbukwe mechi kubwa kama Yanga Simba na Azam Zitaonyeshw hapa so lazima ulipe 18,000 badala ya 15,000
.....TV 1 wameitoa
.................
UPDATES
local channel zilizilobaki ni TBC na channle za Azam tuu kutokana na mgogoro wa kisheria.Kama mpenzi wa vipindi vya nyumbani kama taarifa ya habari imekula kwako labda TBC tuu mechi za mpira wa bongo na Sinema zetu
Bei za vifurushi ziko pale pale licha ya local channel kutolewa!! Hakuna updates yotote kutoka Azam juu ya mabadiliko haya!
Vingamuzi vyote ni matakataka isipokwa DSTV WAKO POWA SANA SANA .NAWAOMBEA WASHINDE KESI YAO MAHAKAMANI WAWEZE KURUDISHIWA ZILE LOCAL CHANNEL,
 
Ni matumaini yangu kuwa wengi ni buheri wa afya na manaendelea vema na majukumu ya kila siku!

Ukweli kuwa wengi wetu tuna mategemeo makubwa kutoka Azam tv tofauti na ukweli ulivyo...

Lengo la Uzi huu si kuharibu biashara ya Azam Bali kueleza uma ukweli halisi wa mambo!

So nitaelezea mambo muhimu ya kuyafahamu kabla ya kununua Azam TV.

1. Bei ya decoder hubadilika wakat wowote bila taarifa! mwezi wa 1,2016 nimenunua 140,000 hadi sasa tar 7 Marc imefika 170,000.

2. Channel ya kawaida tuu kama BBC, Fox, CNN, AL-Jazeera, France 24, mpaka ulipe 20,000 kwa mwezi.

3. Sinema zetu utapata bongo movie za 2005 kushuka chini Mara nyingine movie hurudiwa kwa week Mara 3, No latest movie ujue hivyo!

4. Organization ya channel iko hovyo! Unaweza kulipwa kifurushi cha 12,000 lakini kupata channel moja hadi nyingine ni shughuli! Channel za kihindi tu ndo ziko pamoja!

5. Tegemea kupata channel kibao za kiarabu na nyingine zisizoeleweka ni lugha gani!

6. King'amuzi kikiharibka jiandae kununua kingine.... hakitngenezeki

7. Ukienda kununua watakuambia vipeperushi vya list za channel na bei ya vifurushi vimeisha maana wanajua ukiangalia channel zao na bei utaghairi kununua" maana haviendani!

............ ......
22 Oct 2018
UPDATES
8.Azam wamefanya mabadiliko ambayo wameongeza gharma ya tsh 3,000 kwa kila kifurushi hivyo kufanya kifurushi cha bei ya CHINI KABISA kuwa 15,000 ambacho ni Sports.

>kimsingi gharama hizi ni kwa ajili ya channel moja tuu ya Azam sports ambayo huonyesha La Liga kwa kuwa channel za Man u, Liverpool na Madrid hazionyeshi mech live zaidi ya marudio na kutangaza Club zao
Thanks..

.......................
UPDATES
Azam wameongeza bei tena ambapo kifurushi kitakuwa 18,000 badala ya 15 000 ambapo wameongeza channel 1 ya azam Sport 2. Ikumbukwe mechi kubwa kama Yanga Simba na Azam Zitaonyeshw hapa so lazima ulipe 18,000 badala ya 15,000
.....TV 1 wameitoa
.................
UPDATES
local channel zilizilobaki ni TBC na channle za Azam tuu kutokana na mgogoro wa kisheria.Kama mpenzi wa vipindi vya nyumbani kama taarifa ya habari imekula kwako labda TBC tuu mechi za mpira wa bongo na Sinema zetu
Bei za vifurushi ziko pale pale licha ya local channel kutolewa!! Hakuna updates yotote kutoka Azam juu ya mabadiliko haya!
Umesahau, huduma kwa wateja ni shida!
 
Azam kweli tunajuta, pesa ikiisha wanazuia hadi radio. kuna channel haziwahusu tunaziweka wenyewe kwa matakwa yetu nazo zinazuiwa
 
Ni matumaini yangu kuwa wengi ni buheri wa afya na manaendelea vema na majukumu ya kila siku!

Ukweli kuwa wengi wetu tuna mategemeo makubwa kutoka Azam tv tofauti na ukweli ulivyo...

Lengo la Uzi huu si kuharibu biashara ya Azam Bali kueleza uma ukweli halisi wa mambo!

So nitaelezea mambo muhimu ya kuyafahamu kabla ya kununua Azam TV.

1. Bei ya decoder hubadilika wakat wowote bila taarifa! mwezi wa 1,2016 nimenunua 140,000 hadi sasa tar 7 Marc imefika 170,000.

2. Channel ya kawaida tuu kama BBC, Fox, CNN, AL-Jazeera, France 24, mpaka ulipe 20,000 kwa mwezi.

3. Sinema zetu utapata bongo movie za 2005 kushuka chini Mara nyingine movie hurudiwa kwa week Mara 3, No latest movie ujue hivyo!

4. Organization ya channel iko hovyo! Unaweza kulipwa kifurushi cha 12,000 lakini kupata channel moja hadi nyingine ni shughuli! Channel za kihindi tu ndo ziko pamoja!

5. Tegemea kupata channel kibao za kiarabu na nyingine zisizoeleweka ni lugha gani!

6. King'amuzi kikiharibka jiandae kununua kingine.... hakitngenezeki

7. Ukienda kununua watakuambia vipeperushi vya list za channel na bei ya vifurushi vimeisha maana wanajua ukiangalia channel zao na bei utaghairi kununua" maana haviendani!

............ ......
22 Oct 2018
UPDATES
8.Azam wamefanya mabadiliko ambayo wameongeza gharma ya tsh 3,000 kwa kila kifurushi hivyo kufanya kifurushi cha bei ya CHINI KABISA kuwa 15,000 ambacho ni Sports.

>kimsingi gharama hizi ni kwa ajili ya channel moja tuu ya Azam sports ambayo huonyesha La Liga kwa kuwa channel za Man u, Liverpool na Madrid hazionyeshi mech live zaidi ya marudio na kutangaza Club zao
Thanks..

.......................
UPDATES
Azam wameongeza bei tena ambapo kifurushi kitakuwa 18,000 badala ya 15 000 ambapo wameongeza channel 1 ya azam Sport 2. Ikumbukwe mechi kubwa kama Yanga Simba na Azam Zitaonyeshw hapa so lazima ulipe 18,000 badala ya 15,000
.....TV 1 wameitoa
.................
UPDATES
local channel zilizilobaki ni TBC na channle za Azam tuu kutokana na mgogoro wa kisheria.Kama mpenzi wa vipindi vya nyumbani kama taarifa ya habari imekula kwako labda TBC tuu mechi za mpira wa bongo na Sinema zetu
Bei za vifurushi ziko pale pale licha ya local channel kutolewa!! Hakuna updates yotote kutoka Azam juu ya mabadiliko haya!
CNN akipo
Kabisaaa
 
Nakushauri hiyo budget ya 250,000 wekeza sehemu yoyote. Sisi tunalipa 15,000 bado tunapata local channels na channel za east Africa baaaaaasi
mkuu ni king'amuzi gani hichoo...?

hapa nasoma comments sijajua ninunue kipi.

mimi sio mpenzi wa mpira.

mimi ni taarifa ya habari na mawaidha kidogo na vipindi vya kijamii zaidi.

sio mpenzi wa muziki kabisa wala mpira.

mkuu king'amuzi gani kizurii kitanifaa ?
 
mkuu ni king'amuzi gani hichoo...?

hapa nasoma comments sijajua ninunue kipi.

mimi sio mpenzi wa mpira.

mimi ni taarifa ya habari na mawaidha kidogo na vipindi vya kijamii zaidi.

sio mpenzi wa muziki kabisa wala mpira.

mkuu king'amuzi gani kizurii kitanifaa ?
Kwa sasa chukua Azam maaana channel local karibia zote ni free
 
Ni matumaini yangu kuwa wengi ni buheri wa afya na manaendelea vema na majukumu ya kila siku!

Ukweli kuwa wengi wetu tuna mategemeo makubwa kutoka Azam tv tofauti na ukweli ulivyo...

Lengo la Uzi huu si kuharibu biashara ya Azam Bali kueleza uma ukweli halisi wa mambo!

So nitaelezea mambo muhimu ya kuyafahamu kabla ya kununua Azam TV.

1. Bei ya decoder hubadilika wakat wowote bila taarifa! mwezi wa 1,2016 nimenunua 140,000 hadi sasa tar 7 Marc imefika 170,000.

2. Channel ya kawaida tuu kama BBC, Fox, CNN, AL-Jazeera, France 24, mpaka ulipe 20,000 kwa mwezi.

3. Sinema zetu utapata bongo movie za 2005 kushuka chini Mara nyingine movie hurudiwa kwa week Mara 3, No latest movie ujue hivyo!

4. Organization ya channel iko hovyo! Unaweza kulipwa kifurushi cha 12,000 lakini kupata channel moja hadi nyingine ni shughuli! Channel za kihindi tu ndo ziko pamoja!

5. Tegemea kupata channel kibao za kiarabu na nyingine zisizoeleweka ni lugha gani!

6. King'amuzi kikiharibka jiandae kununua kingine.... hakitngenezeki

7. Ukienda kununua watakuambia vipeperushi vya list za channel na bei ya vifurushi vimeisha maana wanajua ukiangalia channel zao na bei utaghairi kununua" maana haviendani!

............ ......
22 Oct 2018
UPDATES
8.Azam wamefanya mabadiliko ambayo wameongeza gharma ya tsh 3,000 kwa kila kifurushi hivyo kufanya kifurushi cha bei ya CHINI KABISA kuwa 15,000 ambacho ni Sports.

kimsingi gharama hizi ni kwa ajili ya channel moja tuu ya Azam sports ambayo huonyesha La Liga kwa kuwa channel za Man u, Liverpool na Madrid hazionyeshi mech live zaidi ya marudio na kutangaza Club zao
Thanks..

.......................
UPDATES
Azam wameongeza bei tena ambapo kifurushi kitakuwa 18,000 badala ya 15 000 ambapo wameongeza channel 1 ya azam Sport 2. Ikumbukwe mechi kubwa kama Yanga Simba na Azam Zitaonyeshw hapa so lazima ulipe 18,000 badala ya 15,000
.....TV 1 wameitoa
.................
UPDATES
local channel zilizilobaki ni TBC na channle za Azam tuu kutokana na mgogoro wa kisheria.Kama mpenzi wa vipindi vya nyumbani kama taarifa ya habari imekula kwako labda TBC tuu mechi za mpira wa bongo na Sinema zetu
Bei za vifurushi ziko pale pale licha ya local channel kutolewa!! Hakuna updates yotote kutoka Azam juu ya mabadiliko haya!
Hii YA kuharibika Na kutakiwa kununua kipya inakera...sana...hivi kwanini pasiwe Na utartibu upewe number mpya kama mitandao YA simu...upewe Namba ilele...kama mitandao YA simi
Ni matumaini yangu kuwa wengi ni buheri wa afya na manaendelea vema na majukumu ya kila siku!

Ukweli kuwa wengi wetu tuna mategemeo makubwa kutoka Azam tv tofauti na ukweli ulivyo...

Lengo la Uzi huu si kuharibu biashara ya Azam Bali kueleza uma ukweli halisi wa mambo!

So nitaelezea mambo muhimu ya kuyafahamu kabla ya kununua Azam TV.

1. Bei ya decoder hubadilika wakat wowote bila taarifa! mwezi wa 1,2016 nimenunua 140,000 hadi sasa tar 7 Marc imefika 170,000.

2. Channel ya kawaida tuu kama BBC, Fox, CNN, AL-Jazeera, France 24, mpaka ulipe 20,000 kwa mwezi.

3. Sinema zetu utapata bongo movie za 2005 kushuka chini Mara nyingine movie hurudiwa kwa week Mara 3, No latest movie ujue hivyo!

4. Organization ya channel iko hovyo! Unaweza kulipwa kifurushi cha 12,000 lakini kupata channel moja hadi nyingine ni shughuli! Channel za kihindi tu ndo ziko pamoja!

5. Tegemea kupata channel kibao za kiarabu na nyingine zisizoeleweka ni lugha gani!

6. King'amuzi kikiharibka jiandae kununua kingine.... hakitngenezeki

7. Ukienda kununua watakuambia vipeperushi vya list za channel na bei ya vifurushi vimeisha maana wanajua ukiangalia channel zao na bei utaghairi kununua" maana haviendani!

............ ......
22 Oct 2018
UPDATES
8.Azam wamefanya mabadiliko ambayo wameongeza gharma ya tsh 3,000 kwa kila kifurushi hivyo kufanya kifurushi cha bei ya CHINI KABISA kuwa 15,000 ambacho ni Sports.

kimsingi gharama hizi ni kwa ajili ya channel moja tuu ya Azam sports ambayo huonyesha La Liga kwa kuwa channel za Man u, Liverpool na Madrid hazionyeshi mech live zaidi ya marudio na kutangaza Club zao
Thanks..

.......................
UPDATES
Azam wameongeza bei tena ambapo kifurushi kitakuwa 18,000 badala ya 15 000 ambapo wameongeza channel 1 ya azam Sport 2. Ikumbukwe mechi kubwa kama Yanga Simba na Azam Zitaonyeshw hapa so lazima ulipe 18,000 badala ya 15,000
.....TV 1 wameitoa
.................
UPDATES
local channel zilizilobaki ni TBC na channle za Azam tuu kutokana na mgogoro wa kisheria.Kama mpenzi wa vipindi vya nyumbani kama taarifa ya habari imekula kwako labda TBC tuu mechi za mpira wa bongo na Sinema zetu
Bei za vifurushi ziko pale pale licha ya local channel kutolewa!! Hakuna updates yotote kutoka Azam juu ya mabadiliko haya!
 
Back
Top Bottom