mavangah
Senior Member
- Sep 9, 2015
- 113
- 23
Iyo LG yako iko vp mkuu mana ata mimi nina LG
Yangu N tolea jipya kbsa ya mwaka 2015 made in korea_angalizo zpo made in egypt na tolea la 2015 hivo n vzur kuichukua hii model #32LF5100-TA inch 32
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iyo LG yako iko vp mkuu mana ata mimi nina LG
Chuki zakidini hazina nafasi udini pela huko ITV basiAzam TV kuanzia Channel ya Movie walichemsha kabisa ubora 0
Ubunifu wa vipindi ni -0
Watangazaji ni -3
Vipindi vyao ndio 0 kabisa
Azam wengi tulitegemea itakuwa zaidi ya hap wengine ila ndo kwanza anajikongoja
Dstv mwaka wa 8 sasa no regrets
Naongezea Startimes ili nipte Bundesliga na Seria A
Azam RIP
Tatizo kubwa la Azam wameweka Udini sana kuliko Ubora wa mtu
Mkuu hauwezi kujibiwa hilo Hawa wametumwa tu kifurushi cha Dstv kiki isha huoni chochote zaidi utapigiwa simu kukwambia ukalipieKwani dstv ina chnnel za ndani zote kama kina ITV and co?na je ni free kama vingamuzi vingine au nayo hadi ulipie
Nikweli mkuu kama wanaleta kichuki tuAzam Tv wapo mbali sana kukinganisha na Tv zingine humu nchini
ni kwel ila nao wameanza chuki za kike, leo hawakuonesha mchezo wa yanga wala kutangaza habari za yanga, hata kuzizungumzia tu nahisi wameanza kuleta yale mambo ya kususa, hapo ndo wanalipo niboa balaaaAzam Tv wapo mbali sana kukinganisha na Tv zingine humu nchini
Hukuangalia kuanzia saa 12 hadi saa 1,walitangaza ushindi na wachambuzi walikuwaponi kwel ila nao wameanza chuki za kike, leo hawakuonesha mchezo wa yanga wala kutangaza habari za yanga, hata kuzizungumzia tu nahisi wameanza kuleta yale mambo ya kususa, hapo ndo wanalipo niboa balaaa
StartimeSasa mie sina decoder yoyote ninunue ipi mkuu?
hahaha haki diallo ananichekeshagaWezi namba moja ni Continental Decoder hao wengine wanafuata
wazo kama languMmmh! Chanel e? Ndo ipi hiyo labda? EAST AFRICA ama? Loh? Then hiyo sinema zetu ndo inaboa balaa wanaweka mifilamu ya ajabu ! Wiki nzima hiyohiyo hata ukisema leo nibadilishe radha khaa hovyo!! Kama vipi wafanye kila chanel kulipia 500 kwa mwezi unachagua unayotaka kuliko kutuwekea michanel kibaaao isiyo na tija! Hivi ile "bukkede"sijui nini ni lugha gani ile ?teh Wabadilike bwana!!!
naona digitek wameponaKila king'amuzi kinatolewa malalamiko aisee!
Dstv bei ya vifurushi iko juu
Azam wanachannel za hovyo na wanapisha hadi local chanel
Star times kinascratch sana
Continental ni kama star times.
Vipi kuhusu TING?
mkuu kagusa kunako mtima niniAcha kufananisha wahaya na vitu vya kipumbavu
Hivi ni za kihindi au kiarabu mimi huwa nazoziona ni za kiarabu nyingiHuo ni mkakati maalum wa kuendeleza tamaduni za kihindi kama mlikuwa hamjui,haiwezkani decoda imejaa michanel ya kihindi tu,na hii michanel inaoneka tu hata usipolipia,lkn tv zetu la local usipolipia tu znakata!sinunui ng'o azam nimeshaghairi,nashkuru kwa taarifa mkuu
Huyo akili hana......sisi hizo OB Van ndizo tunanunua tunafunga kuangalia vipindi....?!Hizo ob van na studio za kisasa ni zao wala hazinisaidii chochote, mi nataka channel za maana we unaongelea mambo ya studio za kisasa