Kabla hujanunua Azam TV pitia hapa; Usije kujuta

Kabla hujanunua Azam TV pitia hapa; Usije kujuta

Azam TV kuanzia Channel ya Movie walichemsha kabisa ubora 0
Ubunifu wa vipindi ni -0
Watangazaji ni -3
Vipindi vyao ndio 0 kabisa
Azam wengi tulitegemea itakuwa zaidi ya hap wengine ila ndo kwanza anajikongoja

Dstv mwaka wa 8 sasa no regrets
Naongezea Startimes ili nipte Bundesliga na Seria A
Azam RIP

Tatizo kubwa la Azam wameweka Udini sana kuliko Ubora wa mtu
Chuki zakidini hazina nafasi udini pela huko ITV basi
 
Azam Tv wapo mbali sana kukinganisha na Tv zingine humu nchini
 
Azam Tv wapo mbali sana kukinganisha na Tv zingine humu nchini
ni kwel ila nao wameanza chuki za kike, leo hawakuonesha mchezo wa yanga wala kutangaza habari za yanga, hata kuzizungumzia tu nahisi wameanza kuleta yale mambo ya kususa, hapo ndo wanalipo niboa balaaa
 
ni kwel ila nao wameanza chuki za kike, leo hawakuonesha mchezo wa yanga wala kutangaza habari za yanga, hata kuzizungumzia tu nahisi wameanza kuleta yale mambo ya kususa, hapo ndo wanalipo niboa balaaa
Hukuangalia kuanzia saa 12 hadi saa 1,walitangaza ushindi na wachambuzi walikuwapo
 
Mh mkuu wiki ijayo nilipanga nikanunue basi hela hii nmpa mchepuko aendee saloon
 
Mmmh! Chanel e? Ndo ipi hiyo labda? EAST AFRICA ama? Loh? Then hiyo sinema zetu ndo inaboa balaa wanaweka mifilamu ya ajabu ! Wiki nzima hiyohiyo hata ukisema leo nibadilishe radha khaa hovyo!! Kama vipi wafanye kila chanel kulipia 500 kwa mwezi unachagua unayotaka kuliko kutuwekea michanel kibaaao isiyo na tija! Hivi ile "bukkede"sijui nini ni lugha gani ile ?teh Wabadilike bwana!!!
wazo kama langu
 
Kila king'amuzi kinatolewa malalamiko aisee!

Dstv bei ya vifurushi iko juu

Azam wanachannel za hovyo na wanapisha hadi local chanel

Star times kinascratch sana

Continental ni kama star times.

Vipi kuhusu TING?
naona digitek wamepona
 
Huo ni mkakati maalum wa kuendeleza tamaduni za kihindi kama mlikuwa hamjui,haiwezkani decoda imejaa michanel ya kihindi tu,na hii michanel inaoneka tu hata usipolipia,lkn tv zetu la local usipolipia tu znakata!sinunui ng'o azam nimeshaghairi,nashkuru kwa taarifa mkuu
Hivi ni za kihindi au kiarabu mimi huwa nazoziona ni za kiarabu nyingi

SONY Xperia Z5 Premium
 
Hizo ob van na studio za kisasa ni zao wala hazinisaidii chochote, mi nataka channel za maana we unaongelea mambo ya studio za kisasa
Huyo akili hana......sisi hizo OB Van ndizo tunanunua tunafunga kuangalia vipindi....?!


Hawa ndio sampuli ya watu anakwenda hotelini anapewa chakula kibaya na kilichoharibika ila anaishia kusifia vyombo walivyoandalia chakula badala ya kujali afya yake.....

SONY Xperia Z5 Premium
 
Back
Top Bottom