Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha!! hata kama ni takataka?Katumwa na Dstv. Mimi mzalendo nitaendelea kupenda cha nyumbani. Ni hivyo tu.
Tatizo unaongea kishabikiKatumwa na Dstv. Mimi mzalendo nitaendelea kupenda cha nyumbani. Ni hivyo tu.
Nakushauri hiyo budget ya 250,000 wekeza sehemu yoyote. Sisi tunalipa 15,000 bado tunapata local channels na channel za east Africa baaaaaasiNilikuwa na mpango wa kununua azam ila kwa uzi huu nawaona ni NDOROBO. Bora niendelee na wahindi wangu walionganisha na cable yao kwa elfu 10 kwa mwezi na napata kila kitu wanachopenda vijana wa kileo
Kwani dstv ina chnnel za ndani zote kama kina ITV and co?na je ni free kama vingamuzi vingine au nayo hadi ulipieDstv mpango mzima..they are so reliable
Labda hajui kama kuna memediacom.Bujibuji said:Nimetoa ushauri unatoa kashfa.
Au nwenzangu hujui kuwa kuna madishi ambayo hayatumii ving'amuzi vya kulipia? Pia jifunze kuheshimu watu wote unaowafahamu na usio wafahamu.
JF tunatumia majina na utambulisho wa bandia, kuna siku utakuja tukana baba yako, mjomba wako etc.
Chukua ZukuSasa mie sina decoder yoyote ninunue ipi mkuu?
Japo hawatumii bundukiKwa kweli azam ni majambazi
Kwa kuiondoa ETV Africa kunanifanya nirudi kwenye Startimes ambako nitawaona kina Roman Reign na Dean Ambrose na WWE yao,
Kwa heri Azam TV
Asee nani kashinda lile pambano la juziMbc action na mbc2 huwa wanaonesha mieleka up to date, wwe na hata hii wrestlemania ya juzi juzi
Yaani hiyo hata wakati wa CHAN Kigali walitufanyia upuuzi huo....!!unaona upuuzi wao huo? juzi kulikuwa mech ya Rwanda inaonyeshwa Rwanda Tv wakakata matangazo wakati nimelipia!