Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetoa ushauri unatoa kashfa.Unajua mda mwengine kama bado unaishi na wazazi akili pia ina lose mjue.
Hahahaaa. Kweli huo ni mshahara kabisa.Duh.......unataka tufilisike??
punguza munkari ndugu.....huenda ameteleza tuAcha kufananisha wahaya na vitu vya kipumbavu
Mkuu dish la futi nane decoda gani ndio best? Msaada tafadhali.nunua dishi la futi sita uone channels kibao bure
wengine huo ni mshahara aiseeHahahaaa. Kweli huo ni mshahara kabisa.
acha kulipia mwezi huu uhakikishe mkuu smtms practise makes......Hachaeni unafiki nyie hata hicho king'amuzi kweli hamna,mimi sijawahi kuona wakikata kunakipind nimesafiri miezi mitatu nimerudi nimekuta channel za ndani zipo
Ndio hazipo dstv msimu huuKwani hizo hamna DSTV?
Hahaha u sound like my father akiwa analalamika haelew gharama halisi ya vifurushi vya azamHawa jamaa ni jipu ambalo halina mtumbuaji Mimi natumia AZAM TV tangu mwaka Jana lakini sina hamu nayo natamani sana hata nipate mteja nimuuzie imenichosha sana! Yaani wezi mpaka wanaboa huduma mbovu matangazo yao ni tofauti na huduma vifurushi vingi mno Mara lipia 6000 upate hiki, ongezea tena 15000 upate hiki na ukitaka hiki lipia shilingi kazaa! Wizi mtupu kwa anaetaka kununua asidhubutu kwa sababu atapata hasara
Etv ni ya South Africa mle zimejaa channel za Uganda kama bukede wao nikuongea kiganda mwanzo mwishoMmmh! Chanel e? Ndo ipi hiyo labda? EAST AFRICA ama? Loh? Then hiyo sinema zetu ndo inaboa balaa wanaweka mifilamu ya ajabu ! Wiki nzima hiyohiyo hata ukisema leo nibadilishe radha khaa hovyo!! Kama vipi wafanye kila chanel kulipia 500 kwa mwezi unachagua unayotaka kuliko kutuwekea michanel kibaaao isiyo na tija! Hivi ile "bukkede"sijui nini ni lugha gani ile ?teh Wabadilike bwana!!!
Ukitaka kufa na pressure nunua continental decoder wale wanapoteaga hewani hata mwezi mzima afu unaambiwa satellite imepotea hewani hahahFanya utafiti mkuu jarib kuangalia Zuku, cmntiental au Digitek ila jiridhishe kwanza kabla hujanunua! lengo la Uzi huu ni usijenunua then ukajuta!
Sawa msemaji wao nimekusikia vzrWe huitaki ila wana wateja Uganda wananunua ili waone ligi yao, its matter of interest