herzygovina mwangosi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 900
- 431
Ukitoka peleka invoice dstv wakulipe kwa matangazo yako...Mwaka Wa Nne Huu Nipo DSTV Na Sijawahi Kujuta, Hivi Unaanzaje Kununua Azam Tv au Startimes?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitoka peleka invoice dstv wakulipe kwa matangazo yako...Mwaka Wa Nne Huu Nipo DSTV Na Sijawahi Kujuta, Hivi Unaanzaje Kununua Azam Tv au Startimes?
Kuna jirani yngu juzi aliamua kung,oa Dish la Azam kapachika Dstv kwa sabb ya hizo figisu figisu zao,,Ukitoka peleka invoice dstv wakulipe kwa matangazo yako...
Kuna vya dish kwa wanaoishi vijijin na kuna visivyotumia dish ambavyo vinawafaa waishio mijiniHivi star times ving'amuzi vyao ni vile ambavyo hamna haja ya kutumia dish au wamebadilisha?
Kwanza ccn hakuna azam na kuhusu channels za kiarabu azam sio nyingi,haya mapungufu wanayaona maana nasikia wana wao maalumu ambao wanapita kwenye mitandao yote kusoma qanavyoandikwaNimatumaini yangu kuwa wengi ni buheri wa afya na manaendelea vema na majukumu ya kila siku! .....Ukweli kuwa wengi wetu tuna mategemeo makubwa kutoka Azam tv tofauti na ukweli ulivyo...Lengo la Uzi huu si kuharibu biashara ya Azam Bali kueleza uma ukweli halisi wa mambo! so nitaelezea mambo muhimu ya kuyafahamu kabla ya kununua Azam TV.
1. Bei ya decoder hubadilika wakat wowote bila taarifa! mwezi wa 1,2016 nimenunua 140,000 hadi sasa tar 7 Marc imefika 170,000.
2. Channel ya kawaida tuu kama bbc,fox ,CNN ,aljezeera, France 24, mpaka ulipe 20,000 kwa mwezi.
3.sinema zetu utapata bongo movie za 2005 kushuka chini Mara nyingine movie hurudiwa kwa week Mara 3, No latest movie ujue hivyo!
3.organization ya channel iko hovyo! unaweza kulipwa kifurushi cha 12,000 lakini kupata channel moja hadi nyingine ni shughuli! channel za kihundi tuu ndo ziko pamoja!.
4.Tegemea kupata channel kibao za kiarabu na nyingine zisizoeleweka ni lugha gani!
5. Wapenzi wa channel "e" mujue kuwa haipo Azam TV!
6. ukienda kununua watakuambia vipeperushi vya list za channel na bei ya vifurushi vimeisha maana wanajua ukiangalia channel zao na bei utaghair kununua" maana haviendani!!!
Thanx
Kama wana vifaa vizuri lakini content zako hazina tofauti na StartTV hivyo vifaa havina maana.Angalia chanel za Kenya utaona tofautiDstv ...yes ni nzuri kakini expensive
Azam....inakwenda vizuri tuwape muda
Azam.... wanazo OB van za kisasa kabisa ktk kanda zote na the best srudios south of sahara.
Time is the best nedicine
The teh tehAcha kufananisha wahaya na vitu vya kipumbavu
Huo upuuzi na continental wameanza usipolipia hupati Chanel hata moja.. Yaan hakuna cha local wala internationalaf nasikia usipolipia wanakata hadi channel za ndani aisee wakat mi startimes mwaka sasa sijalipia na kula channels za ndani mpk rahaa
Hizo zote nazipata bure maana zipo free to air kwenye satellite zingine ila uwe na dish kuanzia ukubwa wa cm150 na kuendelea.Kwani CNN siku hizi iko Azam?? Kifurushi gani??
Kama nikipata CNN, BBC, AL JAZEERA, DOSCOVERY CHANEL, NAT GEO na ZILE za muziki nafikiri itanitosha zaidi! NITALIPIA.
Siku hizi silipii kifurushi chochote.
Za kibongo na CCTV zote, RT, CHANEL FRANCE 24 English ktk other chanels zinanitosha sana! Nikilipiaga kifurushi naonaga kama wananiibia, huwa siinjoi kivile, hakukuwa na cnn.
Nimecheka kwasasa kweliiiiii!!!Acha kufananisha wahaya na vitu vya kipumbavu
Unajua mda mwengine kama bado unaishi na wazazi akili pia ina lose mjue.nunua dishi la futi sita uone channels kibao bure