Bob Kawari
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 1,231
- 1,621
Mkuu dstv napata local chanel ngapi za hapa bongo?Mimi nimekoma ubishi wa misele na hivi vingamuzi ...nimerudi zangu DSTV kiupole kabisa ....sitaki tena hizi mambo ....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu dstv napata local chanel ngapi za hapa bongo?Mimi nimekoma ubishi wa misele na hivi vingamuzi ...nimerudi zangu DSTV kiupole kabisa ....sitaki tena hizi mambo ....
nunua dishi la futi sita uone channels kibao bureSasa mie sina decoder yoyote ninunue ipi mkuu?
Karibu sanaAzam hamna kitu kabisa wakuu, wamenikera sana kukata channel za ndani pale kifurushi kinapoisha! Wanabakiza tbc 1 tu! Nimerudi Startimes
Hilo dish linapatikanaje mkuu? Naomba maelekezo na ufanisi wake. Inaweza kuwa mkombozi kwa sisi makabwela!nunua dishi la futi sita uone channels kibao bure
Hivi star times ving'amuzi vyao ni vile ambavyo hamna haja ya kutumia dish au wamebadilisha?Tatizo Star times hawana radio, kwa sisi tunaokaa vijijini tunakosa hiyo huduma
Sina nia ya kutangaza biashara hapa ila niseme ukweli mambo iko Zuku pekee sina shaka.Nimatumaini yangu kuwa wengi ni buheri wa afya na manaendelea vema na majukumu ya kila siku! .....Ukweli kuwa wengi wetu tuna mategemeo makubwa kutoka Azam tv tofauti na ukweli ulivyo...Lengo la Uzi huu si kuharibu biashara ya Azam Bali kueleza uma ukweli halisi wa mambo! so nitaelezea mambo muhimu ya kuyafahamu kabla ya kununua Azam TV.
1. Bei ya decoder hubadilika wakat wowote bila taarifa! mwezi wa 1,2016 nimenunua 140,000 hadi sasa tar 7 Marc imefika 170,000.
2. Channel ya kawaida tuu kama bbc,fox ,CNN ,aljezeera, France 24, mpaka ulipe 20,000 kwa mwezi.
3.sinema zetu utapata bongo movie za 2005 kushuka chini Mara nyingine movie hurudiwa kwa week Mara 3, No latest movie ujue hivyo!
3.organization ya channel iko hovyo! unaweza kulipwa kifurushi cha 12,000 lakini kupata channel moja hadi nyingine ni shughuli! channel za kihundi tuu ndo ziko pamoja!.
4.Tegemea kupata channel kibao za kiarabu na nyingine zisizoeleweka ni lugha gani!
5. Wapenzi wa channel "e" mujue kuwa haipo Azam TV!
6. ukienda kununua watakuambia vipeperushi vya list za channel na bei ya vifurushi vimeisha maana wanajua ukiangalia channel zao na bei utaghair kununua" maana haviendani!!!
Thanx
Mkuu unafikiri kuna asiejua ubora wa DSTV? Ni ile bei yake tu inatukimbiza wengine ila DSTV haina mpinzani. Wakati Azam wanaingia niliangalia list ya vipindi vyao sikuona sababu kwanini niache STARTIMES, na niliwaambia watu wengi mbona hio Azam inazidiwa na Startimes?mimi tangu 2012 nipo kwa makaburu dstv...sijutii maamuzi na sina mpango wa kuhama! dstv watamu balaaaa sema tu inshu yao ni malipo...kifurushi cha chini kbsa tsh. 23,500/-!!!
ila picha zao ziko bora sanaaaa ukilinganisha na vingamuzi vingine....mzazi hakuna chenga wala nini!!! KAMA UNAPENDA SPORTS DSTv ndo home
Kwani hizo hamna DSTV?Azam TV kuanzia Channel ya Movie walichemsha kabisa ubora 0
Ubunifu wa vipindi ni -0
Watangazaji ni -3
Vipindi vyao ndio 0 kabisa
Azam wengi tulitegemea itakuwa zaidi ya hap wengine ila ndo kwanza anajikongoja
Dstv mwaka wa 8 sasa no regrets
Naongezea Startimes ili nipte Bundesliga na Seria A
Azam RIP
Tatizo kubwa la Azam wameweka Udini sana kuliko Ubora wa mtu
Duh.......unataka tufilisike??Hizo decoder zote mnaumizwa tu, bora usiwe na kitu. Ukiweza jichinje na Dstv premium 219,000/= kila mwezi.
Si unaona watu wenyewe mnapenda ganda la ndizi...we ukienda mwombasa unapewa gari kabisaaf nasikia usipolipia wanakata hadi channel za ndani aisee wakat mi startimes mwaka sasa sijalipia na kula channels za ndani mpk rahaa
Mkuu upo sahihi, m sa iv na streamika tu mech zote, ila cjajua kuzipata za hapa bongo, unaweza kunisaidia kuzipata kwa sim yangu?Yaani ndio decorder zote zilivyo wanalipisha stations ambazo zinapatikana bure. Kama hizo Al-Jazeera etc.
Mi starehe yangu mpira tu. So nakula mechi kwa streams sina shida ya decorder ya mtu yyte hata dstv sihitaji
Hachaeni unafiki nyie hata hicho king'amuzi kweli hamna,mimi sijawahi kuona wakikata kunakipind nimesafiri miezi mitatu nimerudi nimekuta channel za ndani zipoKweli mkuu wanakata mpaka upige simu customers care ndo wakufungulie! so ndugu zetu wasio na taarifa wanalazimika kilipia wakati local channel ni bure
Mkuu mbona kwangu hiyo French 24 CNN na zingine tu kwenye other channels kwangu hazishikiKwani CNN siku hizi iko Azam?? Kifurushi gani??
Kama nikipata CNN, BBC, AL JAZEERA, DOSCOVERY CHANEL, NAT GEO na ZILE za muziki nafikiri itanitosha zaidi! NITALIPIA.
Siku hizi silipii kifurushi chochote.
Za kibongo na CCTV zote, RT, CHANEL FRANCE 24 English ktk other chanels zinanitosha sana! Nikilipiaga kifurushi naonaga kama wananiibia, huwa siinjoi kivile, hakukuwa na cnn.
Unamkuta kiazi kama wewe ana promote bidhaa za nje,kimajungu tu..we ata dstv unaweza imudu wakati unapenda vya bureDstv mpango mzima..they are so reliable