Kabla hujanunua Azam TV pitia hapa; Usije kujuta

Kabla hujanunua Azam TV pitia hapa; Usije kujuta

Azam hamna kitu kabisa wakuu, wamenikera sana kukata channel za ndani pale kifurushi kinapoisha! Wanabakiza tbc 1 tu! Nimerudi Startimes
Karibu sana
 
Hizo decoder zote mnaumizwa tu, bora usiwe na kitu. Ukiweza jichinje na Dstv premium 219,000/= kila mwezi.
 
Azam TV kuanzia Channel ya Movie walichemsha kabisa ubora 0
Ubunifu wa vipindi ni -0
Watangazaji ni -3
Vipindi vyao ndio 0 kabisa
Azam wengi tulitegemea itakuwa zaidi ya hap wengine ila ndo kwanza anajikongoja

Dstv mwaka wa 8 sasa no regrets
Naongezea Startimes ili nipte Bundesliga na Seria A
Azam RIP

Tatizo kubwa la Azam wameweka Udini sana kuliko Ubora wa mtu
 
Nimatumaini yangu kuwa wengi ni buheri wa afya na manaendelea vema na majukumu ya kila siku! .....Ukweli kuwa wengi wetu tuna mategemeo makubwa kutoka Azam tv tofauti na ukweli ulivyo...Lengo la Uzi huu si kuharibu biashara ya Azam Bali kueleza uma ukweli halisi wa mambo! so nitaelezea mambo muhimu ya kuyafahamu kabla ya kununua Azam TV.
1. Bei ya decoder hubadilika wakat wowote bila taarifa! mwezi wa 1,2016 nimenunua 140,000 hadi sasa tar 7 Marc imefika 170,000.
2. Channel ya kawaida tuu kama bbc,fox ,CNN ,aljezeera, France 24, mpaka ulipe 20,000 kwa mwezi.
3.sinema zetu utapata bongo movie za 2005 kushuka chini Mara nyingine movie hurudiwa kwa week Mara 3, No latest movie ujue hivyo!
3.organization ya channel iko hovyo! unaweza kulipwa kifurushi cha 12,000 lakini kupata channel moja hadi nyingine ni shughuli! channel za kihundi tuu ndo ziko pamoja!.
4.Tegemea kupata channel kibao za kiarabu na nyingine zisizoeleweka ni lugha gani!
5. Wapenzi wa channel "e" mujue kuwa haipo Azam TV!
6. ukienda kununua watakuambia vipeperushi vya list za channel na bei ya vifurushi vimeisha maana wanajua ukiangalia channel zao na bei utaghair kununua" maana haviendani!!!
Thanx
Sina nia ya kutangaza biashara hapa ila niseme ukweli mambo iko Zuku pekee sina shaka.
 
mimi tangu 2012 nipo kwa makaburu dstv...sijutii maamuzi na sina mpango wa kuhama! dstv watamu balaaaa sema tu inshu yao ni malipo...kifurushi cha chini kbsa tsh. 23,500/-!!!

ila picha zao ziko bora sanaaaa ukilinganisha na vingamuzi vingine....mzazi hakuna chenga wala nini!!! KAMA UNAPENDA SPORTS DSTv ndo home
Mkuu unafikiri kuna asiejua ubora wa DSTV? Ni ile bei yake tu inatukimbiza wengine ila DSTV haina mpinzani. Wakati Azam wanaingia niliangalia list ya vipindi vyao sikuona sababu kwanini niache STARTIMES, na niliwaambia watu wengi mbona hio Azam inazidiwa na Startimes?

Startimes naangalia kwasababu ya NBA,E,e[south africa],BBC,ALJAZEERA,CNBC,NAT GEO,BUNDESLIGA
 
Azam nami hivi sasa wameanza kunikera hasa baada ya kuitoa channel E
 
Azam TV kuanzia Channel ya Movie walichemsha kabisa ubora 0
Ubunifu wa vipindi ni -0
Watangazaji ni -3
Vipindi vyao ndio 0 kabisa
Azam wengi tulitegemea itakuwa zaidi ya hap wengine ila ndo kwanza anajikongoja

Dstv mwaka wa 8 sasa no regrets
Naongezea Startimes ili nipte Bundesliga na Seria A
Azam RIP

Tatizo kubwa la Azam wameweka Udini sana kuliko Ubora wa mtu
Kwani hizo hamna DSTV?
 
Dahh! Chuki mbaya lakin?anyway mpenda ganda la ndizi...mimi na enjoy na azam yangu,hakuna cha takataka ya dstv wala siju king'muzi gani!
 
Yaani ndio decorder zote zilivyo wanalipisha stations ambazo zinapatikana bure. Kama hizo Al-Jazeera etc.
Mi starehe yangu mpira tu. So nakula mechi kwa streams sina shida ya decorder ya mtu yyte hata dstv sihitaji
 
Kusini mwa jangwa la sahara hakunaga kama DSTV mtaluka luka ila mtakuja tu DSTV
 
Yaani ndio decorder zote zilivyo wanalipisha stations ambazo zinapatikana bure. Kama hizo Al-Jazeera etc.
Mi starehe yangu mpira tu. So nakula mechi kwa streams sina shida ya decorder ya mtu yyte hata dstv sihitaji
Mkuu upo sahihi, m sa iv na streamika tu mech zote, ila cjajua kuzipata za hapa bongo, unaweza kunisaidia kuzipata kwa sim yangu?
 
Kweli mkuu wanakata mpaka upige simu customers care ndo wakufungulie! so ndugu zetu wasio na taarifa wanalazimika kilipia wakati local channel ni bure
Hachaeni unafiki nyie hata hicho king'amuzi kweli hamna,mimi sijawahi kuona wakikata kunakipind nimesafiri miezi mitatu nimerudi nimekuta channel za ndani zipo
 
Kwani CNN siku hizi iko Azam?? Kifurushi gani??
Kama nikipata CNN, BBC, AL JAZEERA, DOSCOVERY CHANEL, NAT GEO na ZILE za muziki nafikiri itanitosha zaidi! NITALIPIA.
Siku hizi silipii kifurushi chochote.
Za kibongo na CCTV zote, RT, CHANEL FRANCE 24 English ktk other chanels zinanitosha sana! Nikilipiaga kifurushi naonaga kama wananiibia, huwa siinjoi kivile, hakukuwa na cnn.
Mkuu mbona kwangu hiyo French 24 CNN na zingine tu kwenye other channels kwangu hazishiki
 
Back
Top Bottom