Kabla hujanunua Azam TV pitia hapa; Usije kujuta

Kabla hujanunua Azam TV pitia hapa; Usije kujuta

Nimatumaini yangu kuwa wengi ni buheri wa afya na manaendelea vema na majukumu ya kila siku! .....Ukweli kuwa wengi wetu tuna mategemeo makubwa kutoka Azam tv tofauti na ukweli ulivyo...Lengo la Uzi huu si kuharibu biashara ya Azam Bali kueleza uma ukweli halisi wa mambo! so nitaelezea mambo muhimu ya kuyafahamu kabla ya kununua Azam TV.
1. Bei ya decoder hubadilika wakat wowote bila taarifa! mwezi wa 1,2016 nimenunua 140,000 hadi sasa tar 7 Marc imefika 170,000.
2. Channel ya kawaida tuu kama bbc,fox ,CNN ,aljezeera, France 24, mpaka ulipe 20,000 kwa mwezi.
3.sinema zetu utapata bongo movie za 2005 kushuka chini Mara nyingine movie hurudiwa kwa week Mara 3, No latest movie ujue hivyo!
3.organization ya channel iko hovyo! unaweza kulipwa kifurushi cha 12,000 lakini kupata channel moja hadi nyingine ni shughuli! channel za kihundi tuu ndo ziko pamoja!.
4.Tegemea kupata channel kibao za kiarabu na nyingine zisizoeleweka ni lugha gani!
5. Wapenzi wa channel "e" mujue kuwa haipo Azam TV!
6. ukienda kununua watakuambia vipeperushi vya list za channel na bei ya vifurushi vimeisha maana wanajua ukiangalia channel zao na bei utaghair kununua" maana haviendani!!!
Thanx
Huo ni mkakati maalum wa kuendeleza tamaduni za kihindi kama mlikuwa hamjui,haiwezkani decoda imejaa michanel ya kihindi tu,na hii michanel inaoneka tu hata usipolipia,lkn tv zetu la local usipolipia tu znakata!sinunui ng'o azam nimeshaghairi,nashkuru kwa taarifa mkuu
 
Huo ni mkakati maalum wa kuendeleza tamaduni za kihindi kama mlikuwa hamjui,haiwezkani decoda imejaa michanel ya kihindi tu,na hii michanel inaoneka tu hata usipolipia,lkn tv zetu la local usipolipia tu znakata!sinunui ng'o azam nimeshaghairi,nashkuru kwa taarifa mkuu
Fanya maamuzi sahihi mkuu! utafiti utakusaidia kupata decoder bora sio kelele za Azam
 
Sinema Zetu inaboa mpaka basi, movie moja wanairudia zaidi ya mara 4 kwa wiki.
Hahaaa...... Azam katika ubora wao.
 
Huo ni mkakati maalum wa kuendeleza tamaduni za kihindi kama mlikuwa hamjui,haiwezkani decoda imejaa michanel ya kihindi tu,na hii michanel inaoneka tu hata usipolipia,lkn tv zetu la local usipolipia tu znakata!sinunui ng'o azam nimeshaghairi,nashkuru kwa taarifa mkuu
Mkuu hzo chanel za kihind hata wakiacha bure..unazielewa kwanza hahaha
 
Azam hamna kitu kabisa wakuu, wamenikera sana kukata channel za ndani pale kifurushi kinapoisha! Wanabakiza tbc 1 tu! Nimerudi Startimes
 
mimi tangu 2012 nipo kwa makaburu dstv...sijutii maamuzi na sina mpango wa kuhama! dstv watamu balaaaa sema tu inshu yao ni malipo...kifurushi cha chini kbsa tsh. 23,500/-!!!

ila picha zao ziko bora sanaaaa ukilinganisha na vingamuzi vingine....mzazi hakuna chenga wala nini!!! KAMA UNAPENDA SPORTS DSTv ndo home
 
mimi tangu 2012 nipo kwa makaburu dstv...sijutii maamuzi na sina mpango wa kuhama! dstv watamu balaaaa sema tu inshu yao ni malipo...kifurushi cha chini kbsa tsh. 23,500/-!!!

ila picha zao ziko bora sanaaaa ukilinganisha na vingamuzi vingine....mzazi hakuna chenga wala nini!!! KAMA UNAPENDA SPORTS DSTv ndo home
nakuja
 
Mwaka Wa Nne Huu Nipo DSTV Na Sijawahi Kujuta, Hivi Unaanzaje Kununua Azam Tv au Startimes?
 
Dstv ...yes ni nzuri kakini expensive
Azam....inakwenda vizuri tuwape muda
Azam.... wanazo OB van za kisasa kabisa ktk kanda zote na the best srudios south of sahara.
Time is the best nedicine
 
azam nmemuachia mwanangu anaangalia makatuni basi.yaaan nikimuona mtu ananunua kingamuzi cha azam namuonea huruma sana.mar ya kwanza tulifaidi burudani.ila sasa cjui nani kawaloga hawa jamaa.ukihesabu channel za kiarabu na kihindi ni robo tatu ya channel zote!!
 
Hata mpangilio wa channels wameshindwa kutafuta za michezo Moja ipo kusini nyingine magharibi, wanaboa! Hawana channel ya maana, channels 90% ni free to air, ila bado wanatulipisha! Wezi wakubwa!
 
Back
Top Bottom