Kabla hujanunua European brand kwa mkumbo zingatia

Kabla hujanunua European brand kwa mkumbo zingatia

Extrovert

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
70,785
Reaction score
186,690
Tunaoendesha vigari vya Kijapani esp. Toyota tunabezwa sana humu ooh gari mbaya, mbovu, haziko stable na blaah blaah nyengine. Ni sawa ila zinatibika kwa wepesi bila kuua account bank.

Kabla hujajiingiza huko hebu cheki mambo ya Audi A6 huku na hii ni ya 2004. Kwa hisani ya Jerry Spare Parts. Mwenye gari ni bwamdogo mmoja tu kijana wangu.
 
Ila ukiona mtu anaagiza gari kama hiyo ujue ameshajipanga Kwa kila kitu....
Haya Magari Kwa maisha yetu ya kuunga itakuwa ndoto kumiliki ingawa wanapata Sana heshima barabaran lkn maumivu yake Kwenye Spare Parts ni makali
Mambo ya kujimwambafy ni mateso bila chuki 😅😅😅 acha niendelee na asante mjapani yangu 😂😂😂
 
Kuna jamaa angu alikua na hiyo audi.....bas ikizingua fundi akija anakula zake 600k hadi mke wa jamaa akaanza kuwasha moto.....mwisho wa siku jamaa ikabid aiuze maana ndoa ingevunjika kwa sababu ya audi
ni noma hio pesa kutoa toa hovyo hata kama una earn 4M a months. Its worthless kuigawa hovyo kisa gari
 
Huyo bwana mdogo Jerry mbona nasikia ana gharama sana hata ukienda tengeneza Japanese cars...na pia anabambikia gari matatizo yasiyokuwepo
Nina Harrier niliipeleka akanipa invoice ya 4.6M. Nikachukua list yake nikaenda pale Toyota Kkoo nikanunua vifaa mwenyewe. Mpaka nafunga vifaa vyote gharama ikaja kama 3M. Alizidisha cha juu kama 1.6 kwenye vifaa pekee.
 
Ila ukiona mtu anaagiza gari kama hiyo ujue ameshajipanga Kwa kila kitu....
Haya Magari Kwa maisha yetu ya kuunga itakuwa ndoto kumiliki ingawa wanapata Sana heshima barabaran lkn maumivu yake Kwenye Spare Parts ni makali
Mkuu wengi wanaagiza hayo magari kwa kuigana, wachache ndiyo unakuta wamejipanga kuja kuyahudumia...

Halafu kitu kingine kinachowaponza watu ni ile kauli ya kutiana moyo ""Usijali we agiza spea zipo kibao.."Dude linakorofisha kamfuniko ka radiator tu, unazunguka nchi nzima...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom