Kabla hujanunua European brand kwa mkumbo zingatia

Kabla hujanunua European brand kwa mkumbo zingatia

Nina Harrier niliipeleka akanipa invoice ya 4.6M. Nikachukua list yake nikaenda pale Toyota Kkoo nikanunua vifaa mwenyewe. Mpaka nafunga vifaa vyote gharama ikaja kama 3M. Alizidisha cha juu kama 1.6 kwenye vifaa pekee.
alitaka kupiga parefu sana...maisha haya ukipigwa 10k tu inauma sana..[emoji849][emoji849]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatari sana... Ila kama anauwezo wa kumudu hakuna shida...



Cc: mahondaw
Ni kweli mkuu ila sometimes unakuta kijana ndiyo kaajiriwa serikalini na kamshahara ka TGS D, anachukua mkopo pale NMB anaagiza Aud....basi sehemu ya mshahara inayobaki inakuwa ni ya kuhudumia Aud...kamwe hatanunua kiwanja au kujenga...[emoji25]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wengi wanaagiza hayo magari kwa kuigana, wachache ndiyo unakuta wamejipanga kuja kuyahudumia...

Halafu kitu kingine kinachowaponza watu ni ile kauli ya kutiana moyo ""Usijali we agiza spea zipo kibao.."Dude linakorofisha kamfuniko ka radiator tu, unazunguka nchi nzima...


Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahah spea zote zipo we agiza tu kaka, usitishwe na mashabiki wa Toyota. Kinakufa kiji sensor kimoja gari haitembei na gharama ni ada ya mwanao ya mwaka mzima😅😅😅
 
Haha
Nina Harrier niliipeleka akanipa invoice ya 4.6M. Nikachukua list yake nikaenda pale Toyota Kkoo nikanunua vifaa mwenyewe. Mpaka nafunga vifaa vyote gharama ikaja kama 3M. Alizidisha cha juu kama 1.6 kwenye vifaa pekee.
hahaha japo harrier vifaa vyake ni aghali ila sio kwa million 5 mkuu! Ulikuwa unanua engine nini?
 
Nina Harrier niliipeleka akanipa invoice ya 4.6M. Nikachukua list yake nikaenda pale Toyota Kkoo nikanunua vifaa mwenyewe. Mpaka nafunga vifaa vyote gharama ikaja kama 3M. Alizidisha cha juu kama 1.6 kwenye vifaa pekee.
Huyo jerry ni fundi mwenye gereji ama?mbona hizo bei zake za ajabu hivyo
 
Hahahahah spea zote zipo we agiza tu kaka, usitishwe na mashabiki wa Toyota. Kinakufa kiji sensor kimoja gari haitembei na gharama ni ada ya mwanao ya mwaka mzima[emoji28][emoji28][emoji28]
Wakati gari za Japan ukienda huko machimboni wanakochinja magari hizo sensor unapewa kama njugu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi hata sielewi gari kwa ajili ya nini, zote tu ni gharama, mimi na pikipiki yangu hata ikizingua sijui nini sijawahi kutumia zaidi ya elfu hamsini. Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
Ni kweli mkuu ila gari lina sehemu yake katika maisha...
Kuna wakati inatokea changamoto ya kiusafiri, pikipiki wakati huo haifai gari ndiyo linafaa..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja nyepesi, Toyota is reliable and affordable to maintain.
Kama lengo ni kujifunza, usimnyamazishe mtu bila hoja mkuu. Ulipaswa kumchukulia positively kisha uendelee kujaza mihoja ya kushawishi wanajamvi tupate zaidi. Mada uliyoibua ni tamu sana, itatusaidia wengi. Hivyo tuwe na hoja kuntu. Kwa mfano, ni vema tupate maelezo ya kitaalamu kwamba vifaa vya kibeberu na magari yao hudumu kwa muda gani kwa kulinganisha na ya kwetu yatokayo mashariki. Ni vema tujue kwanini tunapaswa kubaki na wajapani na wachina kwa vihela vyetu vya mkopo.
 
Vijana wengi wanaoendesha magari ya ulaya wanaugua vichomi vikali sana....Ni vile tu gari ni kama mke, akikupiga usiku, huwezi kutangaza asubuhi...[emoji28][emoji28]
Hiyo gharama akiongeza hapo m1, anamvua mtu Brevis..[emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nipe hiyo connection yakupata brevis ya 4m na mimi nitoe gundu. Nimebaki pekeangu JF.
 
Kwa 4M kaongeza chumvi Ila kwa 5M unapata
Hiyo hapo namba C 4,300,000/- hapo bado hamjaongea kupunguziana...

Screenshot_20201108-132622.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom