Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
inategemea na engine pia cc 3000 hazina soko watu wanazitupaImeuzwa Brevis M4 nikishuhudia...sasa sikujua kama ilikuwa na shida iliyojifivha au ni ile ile kasumba ya kusema zinakunywa sana mafuta.
Sent using Jamii Forums mobile app