Kabla hujanunua European brand kwa mkumbo zingatia

Kabla hujanunua European brand kwa mkumbo zingatia

Namshukuru Mwl. wangu wa economics alienifundisha inshu za utility
 
Mkuu wengi wanaagiza hayo magari kwa kuigana, wachache ndiyo unakuta wamejipanga kuja kuyahudumia...

Halafu kitu kingine kinachowaponza watu ni ile kauli ya kutiana moyo ""Usijali we agiza spea zipo kibao.."Dude linakorofisha kamfuniko ka radiator tu, unazunguka nchi nzima...


Sent using Jamii Forums mobile app
Haya matoyota yetu tunaenda nayo kokote Tanzania nzima bila wasiwasi pengine ni zile fujo za barabaran Magari ya kijerumani yanatunyanyasa,lkn arrival ni ileile labda tutapishana masaa tu
 
Haha
hahaha japo harrier vifaa vyake ni aghali ila sio kwa million 5 mkuu! Ulikuwa unanua engine nini?
Hapana. Vifaa vingine tu.

Halafu wakati anafanya check up huruhusiwi kuingia kule ndani.

Unaletewa invoice pale pa kusubiria.
 
Uko sawa sema ungesema unawapa ushauri class gani ya income earners, kama unavyojua kuna classes tofauti


Niko na jamaa angu hapa ako na VW POLO, nmemuonyesha hii post akaniambia tuinywee hii tununue IST au PASSO kumbe mke wake anatusikiliza mara akaja akatuambia comfortability, stability and power .. Ndio tunayatafakari haya 3
 
Uko sawa sema ungesema unawapa ushauri class gani ya income earners, kama unavyojua kuna classes tofauti


Niko na jamaa angu hapa ako na VW POLO, nmemuonyesha hii post akaniambia tuinywee hii tununue IST au PASSO kumbe mke wake anatusikiliza mara akaja akatuambia comfortability, stability and power .. Ndio tunayatafakari haya 3
Mwachieni huyo mkewe atoe hela yeye likikorofisha ili ainjoy comfortability ya kuchakaza account pia. Sio gharama akutie wewe kwa starehe zake.
 
Na mimi nilishtuka kidogo nilipoona haiakisi uhalisia.
Kwa nini haiakisi uhalisia...!?
Magari yamejaa tele ya bei chee na ni mazuri kabisaa...cha zaidi unaweza kukuta matairi yamechoka au urudie rangi mkono mmoja..

Tatizo mtu akishapata hela zake huko, kama anataka gari anaingia mjini kichwa kichwa...anakutana na madalali wanampiga za uso.....

Watu kibao nimeshuhudia wamenunua magari yenye hali nzuri sana kwa bei ya kutuowa mikononi mwa watu...wamepata magari mazuri kwa sababu hawakuwa na wenge wakati wakutafuta gari..

Sasa unakuta mtu katoka kwao katavi, kaingia Dar jumapili jioni, Jumanne anataka ageuze arudi kwao katavi akiwa kashanunua gari...kwa nini asishikishwe na madalali...?
ubmwa kabisa..[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana. Vifaa vingine tu.

Halafu wakati anafanya check up huruhusiwi kuingia kule ndani.

Unaletewa invoice pale pa kusubiria.
Gereji za kishubamiti kabisaa...
Nachukia sana vile vigereji eti wanakuambia huruhusiwi kuingia ndani..mimi niletewe bili tu.....Na wizi ndiyo unafanyika huko


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina Harrier niliipeleka akanipa invoice ya 4.6M. Nikachukua list yake nikaenda pale Toyota Kkoo nikanunua vifaa mwenyewe. Mpaka nafunga vifaa vyote gharama ikaja kama 3M. Alizidisha cha juu kama 1.6 kwenye vifaa pekee.
Basi itakuwa ni malalamiko ya kweli ambayo nilipata kuyasikia...

Maana kuna mtu alipeleka gari hapo akatajiwa mlolongo wa vifaa...akaweza kugharamikia baadhi na gari haikupona...

Baadaye akatafuta tu fundi mwingine, kumbe ishu ni fuel system ilikuwa na shida ya lift pump...(simple diagnostic test hata fundi chini ya mti anafanya)...

Itakuwa ana mafundi wanaomuharibia...
 
Back
Top Bottom