Babuu Wesaki Kilauwo
JF-Expert Member
- Jul 10, 2024
- 357
- 488
Katika ujazo upi ili akusaidie.Bei ya 5*6 imekaaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika ujazo upi ili akusaidie.Bei ya 5*6 imekaaje
Kama hii 5×6 bei gani?
IPO dodoma inchi 8 lenyewe ni 550000 boss na inchi 10 ni 580000 Pia ipo tan foam inchi 10 lenyewe ni 630000Kama hii 5×6 bei gani?
Kwa sasa hizi godoro zipo mkuuSamahani kaka. Hivi yale magodoro ya kujaza upepo yanapatikanaje? Msaada
Ujazo wa 28 ndio godoro nchi ngapiGodoro zipo katika daraja tatu kama vitu vingi vilivyo hapa duniani sio kila godoro linafaa kulaliwa na mtu yeyote.
Mfano wale wanene ana godoro lake huyo ukichukua lenye ujazo mdogo lazima tu litaleta tatizo kwako
Ujazo ni nini?
Godoro zote tunazipima kwa mgandamizo uliotumika katika utengenezaji wake yaani density hapa shule kidogo wale ambao physics hamkuikimbia.
Kiufupi kama soda zilivyo na ujazo yaani yenye 350ml au vile vibambucha vilikuwa 250ml
Hata godoro zipo hivyo hivyo pia.
Maana wengi hukosea kuamini kwamba godoro ngumu sana ndio ubora hapana sio hivyo
Godoro lenye ujazo mdogo
Hizi ni godoro zenye ujazo chini ya 18
Godoro lenye ujazo mdogo ni zile ujazo wake upo chini ya 18 hapa Shirika letu la viwango Tbs limeyapa makampuni ya magodoro watengeneze zaidi ya hapo.
Japo vipo viwanda baadhi vinakaidi hilo. Ila pia wana sababu maana kudumu kwa godoro hutegemea mtumiaji
Mfano
Kwenye kambi zote za Jeshi wale muda wao wa kulala ni mfupi hawa wana godoro zao hupewa light density yaani ujazo kiasi.
Au wale watalii wa muda mfupi, sasa kosa ununue ndugu yangu kutwa kwenye movie
Godoro ujazo wa kati(Medium density)
Hizi huanzia ujazo wa 18 mpaka 24 zinafaa sana kwa matumizi ya ndani ila nazo zina utofauti kwenye kudumu
Lenye 19 sio sawa na lenye 24 hapa nadhani tunajua sababu kwanini
Yes ni ujazo wake mkubwa ina maana hata materials zimetumika nyingi (mgandamizo mkubwa )
Mwemye uzito wa kilo 55 sio sawa na mwenye uzito wa 80 hawawezi kutumia godoro moja
Huyu mwenye uzito wa 80 anatakiwa atumie godoro lenye ujazo wa 23 au 24 sio chini ya hapo
Na unene aanzie walau inchi 10 hapo itakuwa burudani kwake
Magodoro ujazo mkubwa
Hapa ni zile godoro ujazo zaidi ya 24 mpaka 32
Hizi zinawawafaa sana wenye uzito mkubwa yaani zaidi ya kilo 80
Au mwenye kusumbuliwa na maumivu iwe mgongo au kiuno huyu atumie kuanzia ujazo wa 28
Tunaposema ujazo sio unene boss yaani inchi bali ni mgandamizo uliotumika katika utengenezaji wa hilo godoro ndio utalifanya liwe gumu au lainiUjazo wa 28 ndio godoro nchi ngapi
Ok.asante kwa mawasilianoYale nina mwenzangu anayo boss atakusaidia unaweza nitafuta 0657050325 namba yetu ya ofisi
Pamoja bossOk.asante kwa mawasiliano
Asante ila mimi nina hasira na watengenezaji wote wa magodoro,kwanini ama kushindwa japo kutoa elimu kwa wateja kuhusu bidhaa zao ama kwa makusudi kuwaibia wateja wao kwa bidhaa chini ya kiwango kwa maana ya kujipatia faida nono.Mimi binafsi nachukulia swaĺa la ubora wa magodora kama alarm ya uwepo wa bidhaa fake.Vinginevyo kwa kuwa umejitokeza kama mtoa huduma,ama mtengenezaji wa bidhaa hii,uje na elimu mahususi ili wote ambao wamekuwa wahanga wa bidhaa hii au ubora au ukodefu wa elimu juu ya bidhaa hii warejeshe imani iliyopotea.Godoro zipo katika daraja tatu kama vitu vingi vilivyo hapa duniani sio kila godoro linafaa kulaliwa na mtu yeyote.
Mfano wale wanene ana godoro lake huyo ukichukua lenye ujazo mdogo lazima tu litaleta tatizo kwako
Ujazo ni nini?
Godoro zote tunazipima kwa mgandamizo uliotumika katika utengenezaji wake yaani density hapa shule kidogo wale ambao physics hamkuikimbia.
Kiufupi kama soda zilivyo na ujazo yaani yenye 350ml au vile vibambucha vilikuwa 250ml
Hata godoro zipo hivyo hivyo pia.
Maana wengi hukosea kuamini kwamba godoro ngumu sana ndio ubora hapana sio hivyo
Godoro lenye ujazo mdogo
Hizi ni godoro zenye ujazo chini ya 18
Godoro lenye ujazo mdogo ni zile ujazo wake upo chini ya 18 hapa Shirika letu la viwango Tbs limeyapa makampuni ya magodoro watengeneze zaidi ya hapo.
Japo vipo viwanda baadhi vinakaidi hilo. Ila pia wana sababu maana kudumu kwa godoro hutegemea mtumiaji
Mfano
Kwenye kambi zote za Jeshi wale muda wao wa kulala ni mfupi hawa wana godoro zao hupewa light density yaani ujazo kiasi.
Au wale watalii wa muda mfupi, sasa kosa ununue ndugu yangu kutwa kwenye movie
Godoro ujazo wa kati(Medium density)
Hizi huanzia ujazo wa 18 mpaka 24 zinafaa sana kwa matumizi ya ndani ila nazo zina utofauti kwenye kudumu
Lenye 19 sio sawa na lenye 24 hapa nadhani tunajua sababu kwanini
Yes ni ujazo wake mkubwa ina maana hata materials zimetumika nyingi (mgandamizo mkubwa )
Mwemye uzito wa kilo 55 sio sawa na mwenye uzito wa 80 hawawezi kutumia godoro moja
Huyu mwenye uzito wa 80 anatakiwa atumie godoro lenye ujazo wa 23 au 24 sio chini ya hapo
Na unene aanzie walau inchi 10 hapo itakuwa burudani kwake
Magodoro ujazo mkubwa
Hapa ni zile godoro ujazo zaidi ya 24 mpaka 32
Hizi zinawawafaa sana wenye uzito mkubwa yaani zaidi ya kilo 80
Au mwenye kusumbuliwa na maumivu iwe mgongo au kiuno huyu atumie kuanzia ujazo wa 28
Tupo kukupa elimu boss pia nikusahihishe kidogo hakuna Kiwanda kinachozalisha godoro feki ukisema hivyo kazi ya Tbs ni nini? Godoro Zipo katika viwango mbalimbali na kuruhusu uzito tofauti tofauti unapaswa kulijua kwanza godoro gani ulinunue sio lolote likionekana mbele yakoAsante ila mimi nina hasira na watengenezaji wote wa magodoro,kwanini ama kushindwa japo kutoa elimu kwa wateja kuhusu bidhaa zao ama kwa makusudi kuwaibia wateja wao kwa bidhaa chini ya kiwango kwa maana ya kujipatia faida nono.Mimi binafsi nachukulia swaĺa la ubora wa magodora kama alarm ya uwepo wa bidhaa fake.Vinginevyo kwa kuwa umejitokeza kama mtoa huduma,ama mtengenezaji wa bidhaa hii,uje na elimu mahususi ili wote ambao wamekuwa wahanga wa bidhaa hii au ubora au ukodefu wa elimu juu ya bidhaa hii warejeshe imani iliyopotea.