Kabla hujanunua godoro pitia hapa ujue lipi litakufaa

Kabla hujanunua godoro pitia hapa ujue lipi litakufaa

Mkuu hapa tunazungumzia Tanzania tulipo na hizi kampuni ni zetu hapa hapa
Pia kuli attack kampuni moja kwa moja sio vizuri kibiashara ni kosa ushauri zaidi njoo namba zetu hizo boss

Pia hizo za kichina nyingi ni fibre zingine huwa pia za upepo
Mleta mada hujaelewa kabisa nilichoandika. Tofautisha nchi na inch. Pia nimeuliza SI Unit maana kwenye soda umeweka ujazo wa 350ml. Mbona kwenye godoro hujaweka? Sasa mtu ataelewaje ujazo wa 18 au 20? Ungesema ujazo wa soda 350 mtu angejua nini? Hivyo naomba tena usome post yangu
 
Mleta mada hujaelewa kabisa nilichoandika. Tofautisha nchi na inch. Pia nimeuliza SI Unit maana kwenye soda umeweka ujazo wa 350ml. Mbona kwenye godoro hujaweka? Sasa mtu ataelewaje ujazo wa 18 au 20? Ungesema ujazo wa soda 350 mtu angejua nini? Hivyo naomba tena usome post yangu
Nizidi kukukaribisha zaidi mkuu ukiwa na swali au lolote namba zetu zipo wazi kwako nikushukuru sana kwa maswali yako
Karibu sana 0657050325 magodoro bei poa huduma safi muda wote na ushauri bure
Usafiri bure pia
Kwa dar na dodoma pia Arusha
 
Nizidi kukukaribisha zaidi mkuu ukiwa na swali au lolote namba zetu zipo wazi kwako nikushukuru sana kwa maswali yako
Karibu sana 0657050325 magodoro bei poa huduma safi muda wote na ushauri bure
Usafiri bure pia
Kwa dar na dodoma pia Arusha
Kwa uzi wako huu bila shaka wewe ndio wa kushauriwa ili uweze kuwa na marketing strategy nzuri
 
Duh nimecheka mpaka kupaliwa na dawn yote hii🤣🤣
Ndiomana akasema wale ambao hawjakimbia physics watamuelewa na kwa swali lako hili unadhihirisha hata physics ya form one huijui maana maneno DENSITY, MASS, MATTER yasingekuwa mageni kwako. Hapa limetumika moja tu density je angeelezea full details za utengenezaji wake hata kunusa huu Uzi usingeunusa🤣🤣🙌
😄😄😄😄😄😄nami najiunga kucheka japo sio mazuri
 
images (4) (17).jpeg
muda wa shule kufungua hizi ni godoro za wanafunzi kwa yule unayependa mtoto wako alale pazuri hili ujazo wake ni 24 hapa awe mzito kupita kiasi sio shida zake hizo godoro litahimili hayo yote
 
Hii spring 6x6 unauzaje
Karibu sana Sir hapo kuna dodoma lenyewe kuna inchi 8 na inchi 10
Inchi 8 lenyewe ni 640,000 na inchi 10 dodoma 6x6 ni 715000


Lakini Tan foam kuna inchi 10 tu lenyewe ni 750000 tu boss
 

Attachments

  • 9f0a12b6d9e4dd8a78ea804ba349fa1d.jpeg
    9f0a12b6d9e4dd8a78ea804ba349fa1d.jpeg
    40.7 KB · Views: 13
  • 20231201_102608-BlendCollage.jpg
    20231201_102608-BlendCollage.jpg
    355.8 KB · Views: 16
Wale wanaosumbuliwa na maumivu ya mgongo au kiuno
Pia kuna wengine mnaamka na uchovu mwingi kama umetoka kulima nikushauri tupigie hilo godoro lina shida
Namba zetu 0657050325
 
Asanteni wale mnaohitaji ushauri kutoka kwetu tupo nanyi wengine karibuni sana
0657050325
 
539E31A2-212A-4158-9F03-3504C908016E.jpeg
dodoma nyeupe zipo Karibuni sana namba zetu 0657050325 usafiri bure dar na dodoma pia Arusha
 
Back
Top Bottom