Godoro kama hili spring inches 12 5x6 ni bei gani mkuu????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Godoro kama hili spring inches 12 5x6 ni bei gani mkuu????
Hizi za spring hakunaga 12 inches mkuu???Zipo 5x6 na 6x6 boss bei hizi [emoji116]View attachment 2902683
Baadhi zimeandikwa mkuu kwenye kava lake karibu sana ukiona tatizo kutambua 0657050325Utajuaje uo ujazo
Kabisa mkuu spring mwisho inchi 10 labda kakutana na wajanja wa townHizi za spring hakunaga 12 inches mkuu???
Asante sana ndugu hapo ni mkataba kweli kweli umemaliza suala la kununua tena godoroNimenunua Vita Supreme! Kiukweli godoro zuri sana
Na umwambie aweke ceiling board kwenye kitanda ili kusaidia godoro kuwa na flat surface kwa chini lisiharibike.Uwe unaligeuza kila baada ya mwezi
Density ndipo ubora wa godoro ulipo mkuu kama umeweza kuelewa asante kwakoMleta uzi, hii density ina affect bei? Kama haiafekti bei nimeshapata jibu langu. Ila kama ina affect bei, naomba ufanye kuedit uzi wako pale juu kuelekeza bei fulani kwa density fulani.
Inasaidia sana lakini kwa godoro imaraNa umwambie aweke ceiling board kwenye kitanda ili kusaidia godoro kuwa na flat surface kwa chini lisiharibike.
Na kuligeuza kila baada ya miezi mitatuDensity ndipo ubora wa godoro ulipo mkuu kama umeweza kuelewa asante kwako
Inamaana lenye ujazo mdogo hata bei itakuwa ndogo
Kuligeuza kwa godoro bora haina haja sababu kama ni mbonyeo ni wa kawaida pande zote tunashauri kugeuza sababu uzito wa mtu hubadilika ndani ya huo mudaNa kuligeuza kila baada ya miezi mitatu
Duh! 🙄 🙄 Hapa godoro lazima zibonyee katikati, jitahidini kufanya mazowezi.Umri ni chini ya 50, na Mke ninae, kg Nina 80 mke Yuko 75kg. Natumia magodoro ya "5"
Kuna taarifa imekosekana hapa. Mfano hiyo ujazo wa 28 n.k. Unapatikana katika inch zipi? Pili SI unit ya huo ujazo ni ipi? Tatu kuna magodoro fulani hivi ya kichina, very sophisticated. Bila shaka umeshaona promo zake mitandaoni. Yale ujazo wake ukoje na ubora je?Godoro zipo katika daraja tatu kama vitu vingi vilivyo hapa duniani sio kila godoro linafaa kulaliwa na mtu yeyote.
Mfano wale wanene ana godoro lake huyo ukichukua lenye ujazo mdogo lazima tu litaleta tatizo kwako
Ujazo ni nini?
Godoro zote tunazipima kwa mgandamizo uliotumika katika utengenezaji wake yaani density hapa shule kidogo wale ambao physics hamkuikimbia.
Kiufupi kama soda zilivyo na ujazo yaani yenye 350ml au vile vibambucha vilikuwa 250ml
Hata godoro zipo hivyo hivyo pia.
Maana wengi hukosea kuamini kwamba godoro ngumu sana ndio ubora hapana sio hivyo
Godoro lenye ujazo mdogo
Hizi ni godoro zenye ujazo chini ya 18
Godoro lenye ujazo mdogo ni zile ujazo wake upo chini ya 18 hapa Shirika letu la viwango Tbs limeyapa makampuni ya magodoro watengeneze zaidi ya hapo.
Japo vipo viwanda baadhi vinakaidi hilo. Ila pia wana sababu maana kudumu kwa godoro hutegemea mtumiaji
Mfano
Kwenye kambi zote za Jeshi wale muda wao wa kulala ni mfupi hawa wana godoro zao hupewa light density yaani ujazo kiasi.
Au wale watalii wa muda mfupi, sasa kosa ununue ndugu yangu kutwa kwenye movie
Godoro ujazo wa kati(Medium density)
Hizi huanzia ujazo wa 18 mpaka 24 zinafaa sana kwa matumizi ya ndani ila nazo zina utofauti kwenye kudumu
Lenye 19 sio sawa na lenye 24 hapa nadhani tunajua sababu kwanini
Yes ni ujazo wake mkubwa ina maana hata materials zimetumika nyingi (mgandamizo mkubwa )
Mwemye uzito wa kilo 55 sio sawa na mwenye uzito wa 80 hawawezi kutumia godoro moja
Huyu mwenye uzito wa 80 anatakiwa atumie godoro lenye ujazo wa 23 au 24 sio chini ya hapo
Na unene aanzie walau inchi 10 hapo itakuwa burudani kwake
Magodoro ujazo mkubwa
Hapa ni zile godoro ujazo zaidi ya 24 mpaka 32
Hizi zinawawafaa sana wenye uzito mkubwa yaani zaidi ya kilo 80
Au mwenye kusumbuliwa na maumivu iwe mgongo au kiuno huyu atumie kuanzia ujazo wa 28
Kabisaaa mkuu ni kuelezea hata la saba tu aelewe maana wengi wanajua godoro ni godoro tu lina vitu vingi vya kuzingatiaDuh nimecheka mpaka kupaliwa na dawn yote hii🤣🤣
Ndiomana akasema wale ambao hawjakimbia physics watamuelewa na kwa swali lako hili unadhihirisha hata physics ya form one huijui maana maneno DENSITY, MASS, MATTER yasingekuwa mageni kwako. Hapa limetumika moja tu density je angeelezea full details za utengenezaji wake hata kunusa huu Uzi usingeunusa🤣🤣🙌
Mkuu hapa tunazungumzia Tanzania tulipo na hizi kampuni ni zetu hapa hapaKuna taarifa imekosekana hapa. Mfano hiyo ujazo wa 28 n.k. Unapatikana katika inch zipi? Pili SI unit ya huo ujazo ni ipi? Tatu kuna magodoro fulani hivi ya kichina, very sophisticated. Bila shaka umeshaona promo zake mitandaoni. Yale ujazo wake ukoje na ubora je?