Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapatikana wapi nijaribu Hilo la ujazo hio maana kuhusu Chaga na karatasi sio SahihiGodoro ulizotaja zote ni ujazo wa 23 na 24 pia kubonyea kwa godoro kuna sababu nyingi miongoni ni hizi
Kitanda chako chaga zina uwazi mkubwa
Godoro kukunjwa muda mrefu
Kulala godoro na karatasi lake bila kulivua
Pia kwa huo uzito bado huo ujazo sio sahihi kwako walau uende inchi 10 au 12
Godoro linalokufaa ujazo wa 28 na kuendelea karibu kwa ushauri zaidi
Godoro gani utumie
Uwe unaligeuza kila baada ya mweziNimechoka kununua magodoro, baada ya muda yabonyea katikati, nishauri ninunue godoro gari zuri!? Nimenunua brand karibia kubwa ila hamna kitu, naumia Sana mgongo. Shukrani
Bei
Tatizo mnaouza vitu humu wengi mnauza vitu vya wizi...Kuna jamaa alikua anauza tairi nikataka nimuungishe anadai ofis ipo Vingunguti nikamuambia niletew tairi 4 Sinza saa 4 asubuhi akasema poa. Mpaka inafika saa 7 anasema yupo njiani. Baadae nikamuambia nakuja huko huko. Ile nafika Baracuda nishuke Vingunguti kazima simu mazima.Godoro zipo katika daraja tatu kama vitu vingi vilivyo hapa duniani sio kila godoro linafaa kulaliwa na mtu yeyote.
Mfano wale wanene ana godoro lake huyo ukichukua lenye ujazo mdogo lazima tu litaleta tatizo kwako
Ujazo ni nini?
Godoro zote tunazipima kwa mgandamizo uliotumika katika utengenezaji wake yaani density hapa shule kidogo wale ambao physics hamkuikimbia.
Kiufupi kama soda zilivyo na ujazo yaani yenye 350ml au vile vibambucha vilikuwa 250ml
Hata godoro zipo hivyo hivyo pia.
Maana wengi hukosea kuamini kwamba godoro ngumu sana ndio ubora hapana sio hivyo
Godoro lenye ujazo mdogo
Hizi ni godoro zenye ujazo chini ya 18
Godoro lenye ujazo mdogo ni zile ujazo wake upo chini ya 18 hapa Shirika letu la viwango Tbs limeyapa makampuni ya magodoro watengeneze zaidi ya hapo.
Japo vipo viwanda baadhi vinakaidi hilo. Ila pia wana sababu maana kudumu kwa godoro hutegemea mtumiaji
Mfano
Kwenye kambi zote za Jeshi wale muda wao wa kulala ni mfupi hawa wana godoro zao hupewa light density yaani ujazo kiasi.
Au wale watalii wa muda mfupi, sasa kosa ununue ndugu yangu kutwa kwenye movie
Godoro ujazo wa kati(Medium density)
Hizi huanzia ujazo wa 18 mpaka 24 zinafaa sana kwa matumizi ya ndani ila nazo zina utofauti kwenye kudumu
Lenye 19 sio sawa na lenye 24 hapa nadhani tunajua sababu kwanini
Yes ni ujazo wake mkubwa ina maana hata materials zimetumika nyingi (mgandamizo mkubwa )
Mwemye uzito wa kilo 55 sio sawa na mwenye uzito wa 80 hawawezi kutumia godoro moja
Huyu mwenye uzito wa 80 anatakiwa atumie godoro lenye ujazo wa 23 au 24 sio chini ya hapo
Na unene aanzie walau inchi 10 hapo itakuwa burudani kwake
Magodoro ujazo mkubwa
Hapa ni zile godoro ujazo zaidi ya 24 mpaka 32
Hizi zinawawafaa sana wenye uzito mkubwa yaani zaidi ya kilo 80
Au mwenye kusumbuliwa na maumivu iwe mgongo au kiuno huyu atumie kuanzia ujazo wa 28
Una swali lolote weka chini tutakujibu
Namba WhatsApp 0657050325
Shilingi ngapi? Ukipost weka bei
Zipo 5x6 na 6x6 boss bei hizi [emoji116]
Ndugu katika kutaja watu nakushauri usipende kuweka kwa jumlaTatizo mnaouza vitu humu wengi mnauza vitu vya wizi...Kuna jamaa alikua anauza tairi nikataka nimuungishe anadai ofis ipo Vingunguti nikamuambia niletew tairi 4 Sinza saa 4 asubuhi akasema poa. Mpaka inafika saa 7 anasema yupo njiani. Baadae nikamuambia nakuja huko huko. Ile nafika Baracuda nishukr Vingunguti Lazima simu mazima
Kujua kama sio mzoefu ni ngumu ila baadhi ya viwanda wamesaidia kuweka label zenye kuonyesha ujazo wa godoroNitajuaje ujazo wa godoro nikifika pale dukani
Nikuweke kwenye kundi la walioelewa pia nikuongezee uelewa kidogo kwa kukupa mfano wa soda zilivyo katika ujazo tofautiNimeelewa halafu sijaelewa
Huo ujazo ni nini (kipimo) na nautambuaje au umeandikwa kwenye magodoro?
Okay boss nimeziweka pale kwenye orodha ila kwa faida ya wengineShilingi ngapi? Ukipost weka bei
Nishaweka karibu sana
Hapana sio pekee bali kuna vingi vya kuzingatia kwako boss huenda hata uzito wako sio mkubwaGodoro ni tanform Arusha pekee au Banco mwaka wa 15 huu lishabeba coaster za kutosha lakini kama jipya
Kwa godoro lenye ujazo mdogo hata ugeuze ni yale yale tuUwe unaligeuza kila baada ya mwezi
Tupo dar es salaamUnapatikana wapi nijaribu Hilo la ujazo hio maana kuhusu Chaga na karatasi sio Sahihi
Comfy ni godoro nzuri boss na pia ni kiwanda cha zamani lenyewe ujazo wake ni 23 linawafaa sana chini ya kg 70 na kama zaidi ya hapo basi uchukue lenye unene mkubwaMbona comfy sioni kwenye maoni yakoo au lenyewe halina kasoro yoyote?
Naomba utuchambulie kwa kina kuhusu magodoro ya comfy hata kwa machahe tu.[emoji1431]