Magodoro_bei_poa
Senior Member
- Sep 16, 2022
- 178
- 141
- Thread starter
- #41
Boss hii size viwanda vingi vinaishia inchi 8 ila ukizihitaji zipo kwa uchache sana karibu sana4 kwa 6 inches 10 bei gani?
Comfly au Vitafoam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss hii size viwanda vingi vinaishia inchi 8 ila ukizihitaji zipo kwa uchache sana karibu sana4 kwa 6 inches 10 bei gani?
Comfly au Vitafoam
Hii inaitwa jino kwa jinoHujioni wewe ndo mwenye maneno mengi kama kasuku, huna hata pesa ya matangazo unakuja kutangaza bure JF........punguza jazba hata kama magodoro yako ya kichina yamekudodea.
Mkuu samahan, brand unayouza ni ipi?Boss hii size viwanda vingi vinaishia inchi 8 ila ukizihitaji zipo kwa uchache sana karibu sana
Shukrani Sana Sana nitakutafutaTupo dar es salaam
Dodoma na Arusha boss namba zetu 0657050325 naamini nikikupa huduma neno kuumwa mgongo hilo sahau
Godoro ulizotaja zote ni ujazo wa 23 na 24 pia kubonyea kwa godoro kuna sababu nyingi miongoni ni hizi
Kitanda chako chaga zina uwazi mkubwa
Godoro kukunjwa muda mrefu
Kulala godoro na karatasi lake bila kulivua
Pia kwa huo uzito bado huo ujazo sio sahihi kwako walau uende inchi 10 au 12
Godoro linalokufaa ujazo wa 28 na kuendelea karibu kwa ushauri zaidi
Godoro gani utumie
Karibu sana boss wanguShukrani Sana Sana nitakutafuta
Binafsi nauza brands zote mkuu zinazozalishwa hapa nchini karibu sana na zote nazifahamu kiundaniMkuu samahan, brand unayouza ni ipi?
Huyo hajui kagongea bando la mamaakeHii inaitwa jino kwa jino
Mmekuta heavy weight,mke na mumeKwenye list uliyotaja nimeshanunua Dodoma, Tanform (tena kiwandani) Vita Raha na sasa natumia Banco, yote Yanafanana, yabonyea Kati kati baadae ya muda flani WA matumizi.
Umri ni chini ya 50, na Mke ninae, kg Nina 80 mke Yuko 75kg. Natumia magodoro ya "5"
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kati ya jibu ambalo huwa mteja akinipa najua huyu kakimbia ni hili. Mteja akisha sema nitakutafuta kibongo kasepa usimuwazie.Shukrani Sana Sana nitakutafuta
Sio mimi Ndugu yangu, only that sitataka ajue kuwa ni Mimi. Simple[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kati ya jibu ambalo huwa mteja akinipa najua huyu kakimbia ni hili. Mteja akisha sema nitakutafuta kibongo kasepa usimuwazie.
Nitakutafuta,
Nitakuchek,
Ngoja nimuulize mtu chap nitakuchek
Hamna kitu Ndugu yanguMmekuta heavy weight,mke na mume
Mimi na mwenza wangu hakuna hata mwenye kilo 70Hamna kitu Ndugu yangu
Natamani nipungue hadi nifikie hapoMimi na mwenza wangu hakuna hata mwenye kilo 70
Hahaha kwa sasa wanarudi boss na ndio maana tunaanza na elimu na uzuri wa biashara anaweza asinunue huyu akanunua mwingine kikubwa ni aluta continua[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kati ya jibu ambalo huwa mteja akinipa najua huyu kakimbia ni hili. Mteja akisha sema nitakutafuta kibongo kasepa usimuwazie.
Nitakutafuta,
Nitakuchek,
Ngoja nimuulize mtu chap nitakuchek
Kikubwa nikushauri jipange nikikupa godoro neno kubonyea sahau bossMimi na mwenza wangu hakuna hata mwenye kilo 70
Karibu sana boss godoro tiba huwa tunaangalia tatizo lako lina ukubwa kiasi gani pia hata umri kabla hujashauriwa lipiMkuu natamani kujua bei ya godoro tiba. Uzito wangu 75kg, nahitaji 5×6, itafaa pia nikijua bei ya 6×6. Asante.
Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
Hata heavy weight wana godoro zao mkuuMmekuta heavy weight,mke na mume