Kabla hujanunua godoro pitia hapa ujue lipi litakufaa

Kabla hujanunua godoro pitia hapa ujue lipi litakufaa

Hujioni wewe ndo mwenye maneno mengi kama kasuku, huna hata pesa ya matangazo unakuja kutangaza bure JF........punguza jazba hata kama magodoro yako ya kichina yamekudodea.
Hii inaitwa jino kwa jino
 
Huo ujazo umeandikwa kwenye godoro au ndiyo tuangalie nch zake..?!
Godoro ulizotaja zote ni ujazo wa 23 na 24 pia kubonyea kwa godoro kuna sababu nyingi miongoni ni hizi

Kitanda chako chaga zina uwazi mkubwa
Godoro kukunjwa muda mrefu
Kulala godoro na karatasi lake bila kulivua


Pia kwa huo uzito bado huo ujazo sio sahihi kwako walau uende inchi 10 au 12

Godoro linalokufaa ujazo wa 28 na kuendelea karibu kwa ushauri zaidi
Godoro gani utumie
 
Mkuu natamani kujua bei ya godoro tiba. Uzito wangu 75kg, nahitaji 5×6, itafaa pia nikijua bei ya 6×6. Asante.

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kati ya jibu ambalo huwa mteja akinipa najua huyu kakimbia ni hili. Mteja akisha sema nitakutafuta kibongo kasepa usimuwazie.

Nitakutafuta,
Nitakuchek,
Ngoja nimuulize mtu chap nitakuchek
Hahaha kwa sasa wanarudi boss na ndio maana tunaanza na elimu na uzuri wa biashara anaweza asinunue huyu akanunua mwingine kikubwa ni aluta continua
 
Mkuu natamani kujua bei ya godoro tiba. Uzito wangu 75kg, nahitaji 5×6, itafaa pia nikijua bei ya 6×6. Asante.

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
Karibu sana boss godoro tiba huwa tunaangalia tatizo lako lina ukubwa kiasi gani pia hata umri kabla hujashauriwa lipi
Nikuombe tutafutane 0657050325 kwa ushauri zaidi boss
 
Back
Top Bottom