Kabla hujanunua godoro pitia hapa ujue lipi litakufaa

Unahitaji spring karibu lala kwa kunesa nesa usingizi muruaaa maisha mafupi jipe raha mwenyewe
 
Ujazo wa 28 ndio godoro nchi ngapi
 
Ujazo wa 28 ndio godoro nchi ngapi
Tunaposema ujazo sio unene boss yaani inchi bali ni mgandamizo uliotumika katika utengenezaji wa hilo godoro ndio utalifanya liwe gumu au laini

Au kiufupi ujazo hapa tunamaanisha ulaini na ugumu wa godoro
 
kipindi hiki cha likizo watoto wetu wabadidilishie godoro au kuongeza godoro watoto wameshakua tayari
 
unahitaji godoro lenye ubora hilo ulilonalo mgongo unakuuma karibu upate ushauri godoro gani linakufaa
 
Asante ila mimi nina hasira na watengenezaji wote wa magodoro,kwanini ama kushindwa japo kutoa elimu kwa wateja kuhusu bidhaa zao ama kwa makusudi kuwaibia wateja wao kwa bidhaa chini ya kiwango kwa maana ya kujipatia faida nono.Mimi binafsi nachukulia swaĺa la ubora wa magodora kama alarm ya uwepo wa bidhaa fake.Vinginevyo kwa kuwa umejitokeza kama mtoa huduma,ama mtengenezaji wa bidhaa hii,uje na elimu mahususi ili wote ambao wamekuwa wahanga wa bidhaa hii au ubora au ukodefu wa elimu juu ya bidhaa hii warejeshe imani iliyopotea.
 
Tupo kukupa elimu boss pia nikusahihishe kidogo hakuna Kiwanda kinachozalisha godoro feki ukisema hivyo kazi ya Tbs ni nini? Godoro Zipo katika viwango mbalimbali na kuruhusu uzito tofauti tofauti unapaswa kulijua kwanza godoro gani ulinunue sio lolote likionekana mbele yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…