Kabla hujatukana, kudhalilisha au kushuku wanawake, huwa unajua kuwa na mama yako ni mwanamke?

Kuna wanaume watu wazima ovyo wabakaji wa watoto, wababa wasiohudumia watoto wao na wanaume wasioelewa jinsia yao. Pointi yako ni ipi haswa? Sijaona hoja yako hapa
Tatizo sio kwamba wanaume wote ni watakatifu ,bali tatizo ni nyinyi wanawake kutumia kisingizio cha kudhalilishwa ili kukwepa ukweli unao wakabili.

Mfano mtu kaja kuanzisha uzi unao kemea wanaume wenye sifa hizo ulizo zitaja,je utasema ana wadhalilisha wanaume?
Maana nyinyi wanawake wa siku hizi mmekuwa mkijificha kwenye kichaka cha kudhalilishwa ili kukwepa kuambiwa ukweli.
 

Akili za kishetani ndivyo zilivyo. Achana nalo.

Uliwahi sikia Sisi Wanaume tukipondwa Kwa Baadhi ya rabi zetu mbaya tukisema sijui unamtukana hata Baba yako.
Huwezi sikia hayo.

Mwanamke kama ni mwema au siΓ΄ Kahaba akisikia Mtu akisema Wanawake ni makahaba yeye anaumia Kwa namna Ipi Wakati yeye siΓ΄ Kahaba?

Wanawake husema Wanaume ni Mbwa mbona Wanaume hatulalamiki. Kwa sababu tunajua wΓ po Wanaume kweli ni Mbwa na wΓ po ambao siΓ΄ Mbwa.

Biblia inaposema Hakuna binadamu mkamilifu hivi unafikiri ni kweli hakuna Watu wakamilifu. Mbona Ayubu alikuwa mkamilifu, Yesu n.k
 
Yaani huyu jamaa kaleta hoja ya kipuuzi kabisa ,ya kwamba kitu kikisha fanywa na mzazi wako basi ni sahihi kukihalalisha.
 
Na bora uzi ungeanzishwa na mwanamke,ila umeanzishwa na kidume mzima,sijui hii tabia ya wanaume kujipendekeza kwa wanawake itaisha lini.
 
Mama zangu ,bibi zangu ,mashangazi zangu na dada zangu wanaongelewa ivyo ivyo n watu wengn kweny ukwel tuusema ata vitabu vya dini vimeainisha ivyo ni viumbe dhaifu tena tuishi navyo kwa akili na kutawaliwa
Wanawake wa kuzaz kipya wana changamoto za kufa mtu kibaya zaid zile njia za asili za kupunguza au kutatua izo changamoto (kipigo) dunia inakingia kifua na ukifny ivy unaonekea ww ni waovyo wakat wazee wa zaman waliwez kuwa control kwa kipigo angalau kulikua na unafuu
Kuhusu bikra tunaitaj bikra ila kupunguz risk ndogo ndogo na heshim kuwepo
 
Bado ni mtoto mdogo huyo
 
Mkuu mi sio mtu wa kuwasema wanawake ila hapo kwenye kusema wanawake wanavyo wachukulia wanaume mbona iko wazi na wanasema wao wenyewe kila siku na ndo sababu ya kuwa na hawa feminist kila kona au mi sijaeelewa target ya jibu lako kwa mjumbe.
 
Yaani huyu jamaa kaleta hoja ya kipuuzi kabisa ,ya kwamba kitu kikisha fanywa na mzazi wako basi ni sahihi kukihalalisha.
hawa ndio wanakuja na hoja za kipuuzi mzazi hakosei MZAZI ndio nan kwan kam amezaliw n mwanadam anakosea na mzazi anawekwa chini anachanwa kwa mungu akuna laan za kipumbavu
 
Reactions: ITR
Ukikua utakuja kufuta hii kauli yako bata wahed!
 
Sio tu wanawake MTU yeyote anahitaji kuheshimiwa awe , Mama. Baba , Kaka au shangazi, mjomba .

Kuhusu wanawake kinachohitajika ni kuwa na constructive criticism pale MTU anapokuwa amekosea.
 
Kwenye mitandao ya kijamii kati ya wanawake na wanaume ni kundi gani linalo ongoza kujidhalilisha?
Nipe jibu, nifunguke zaidi
 
Sikujua kuwa nawasiliana na kichaa na mpumbavu anayeweza kumuita baba yake kenge. Kumbe wewe ni msennnngeee!
KWENYE kumjibu kwa kumtukana umekosea, Ukiwa kama FATHER of ALL, hoja yako inapenya vema kwa kila mmoja. Ila ukianza kujibishana kwa matusi, kisa amekutukana, tuna mashaka na UBABA WAKO....Baba huwa na busara siku zote, hata mama akibwatuka, watoto bado BABA ana BUSARA.....be real Father....tchao...
 
Acha kutetea maovu kwa kisingizio cha mama kwa hiyo unahamasisha wanaume waoe malaya wabambikwe watoto na waambukizwe magonjwa kwa sababu ni wanawake kama mama yake? Acha utoto
 
Hiyo haiondoi ukweli
 
Kama sio bikra usioe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…