Kabla hujenda kulala pitia hapa.

Kabla hujenda kulala pitia hapa.

Mzee wa kusawazisha

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
1,601
Reaction score
1,172
IV watu wa jamii Forum Kwao wapi naona wanatoa maoni tu ila Ata namba zao za simu hazionekani wala wao hawajulikan wanaish wap. Ukitaka kukoment uzi u jitaje kwako wap
 
kaka hii sehemu kujua labda marafiki zako ambao wapo jf na unawajua majina yao na kwao pia vinginevyo utasoma jf imepasua anga ni zaidi ya tz karibu raia wake wengi wapo nje na wa ndani
 
Inaonekana raia hawajaelewa lengo la uzi huu Nimezoea mitandao ming mathalan Facebook, kunakua na full profile detail lakin humu sijaona inamaana umu watu hawana Kwao Naona apo pameeleweka
 
kaka hii sehemu kujua labda marafiki zako ambao wapo jf na unawajua majina yao na kwao pia vinginevyo utasoma jf imepasua anga ni zaidi ya tz karibu raia wake wengi wapo nje na wa ndani
Kwa iyo mkuu watu sio rahisi utambue Kwao?
 
Back
Top Bottom