St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,174
Mimi kwetu Simbawanga pale kwenye mbuyu mnene uliojaa misumari na vitambaa. Familia yetu kila mmoja anamiliki private jet yake(ndege ya ungo). Cell phones zetu kichungu kidogo hata wewe hapa nakuona.[emoji6]
Ooh bila ya kusahau Mshana jr, Mzizimkavu na Jichawi hao cousin zangu.[emoji12] [emoji106]
Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ooh bila ya kusahau Mshana jr, Mzizimkavu na Jichawi hao cousin zangu.[emoji12] [emoji106]
Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]