St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,174
wewe si mgeni utaelewa tu mbele wana ficha nini ila kaa ukijua jf kuna MATAPELI ,MAJAMBAZI,WACHAWI,WAGANGA WA KIENYEJI,MAWAZIRI NA MANAIBU WAO,MA KADA NDO WAZEE WA FUJO JUKWAA LA SIASA LIZABON NA WENZIE UVCCM, MAKADA WA BAVICHA , MA PROFESA WAPO UMU SO JF NI PANA SANA NDO MANA KUKUTA WENYE ID ZA KWEL ZENYE MAJINA YAO LABDA 5 KWA 100Kwa nini Ile Siri ivyo mkuu wanaficha nini?
Mbona Profile yangu inaonesha location yangu ni uvunguni... We hujaona...?IV watu wa jamii Forum Kwao wapi naona wanatoa maoni tu ila Ata namba zao za simu hazionekani wala wao hawajulikan wanaish wap. Ukitaka kukoment uzi u jitaje kwako wap
Hapana sio ivo ndugu mimi ni raia mwema kabisaIsije kuwa panya rd huyu anataka achore ramani.
Mkoa ganiKwangu chipuputa
SawaKwetu na Nguluwe...
Tueleze kwako wap basi si umeelewa uziMiandiko ya watu inazidi kuwa migumu,nimetumia sekunde nyingi kujua IV inamaanisha nini
Vizuri mkuuKilimanjaro
KimbijiTueleze kwako wap basi si umeelewa uzi
Kuna ubaya mkuu Kutambuana?Matamanio ya watu kuzidi kufahamiana yanazidi kuongezeka jf pia inakuwa watu wengi zaid. KILA homosapiens na mitizamo Yake