Kabla sijazaliwa Tanzania nilikuwa mzungu niliyeishi Marekani

Ndivyo ninavyo amini baada ya kifo kuna maisha
 
Mkuu umenichekesha sana...nimeongeza Sikh....sasa nalala manager nilikuwa sijacheka Siku nzma
 
Umeshaunganishwa na malango ya giza, unahitaji deriverance kali sana.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jaribu kutoa ushuhuda vikubwa zaidi unaweza ukawa kweli af ikawa ajabu kubwa dunian...
 
Kama ingekuwa hivi manake,idadi ya population isingechange, sasa kama population ya,dunia inaongezeka inamaana kuna mafisi wamamekufa na kuzaliwa watu
Kutokana na matendo yako ukiwa mwema unazaliwa mtu..ukiwa mkaid dhambi tupu.. Unakuwa hata konokono
 
Kama ingekuwa hivi manake,idadi ya population isingechange, sasa kama population ya,dunia inaongezeka inamaana kuna mafisi wamamekufa na kuzaliwa watu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Patamu hapooo...kama ulikuwa :
1.Mwanaume ukifa unazaliw Mwanamke.
2.Hufikishi wanawake kileleni,ukifa unazaliwa mwanamke na wewe hufikishwi kileleni.
3.Kama ulikuwa shababi wa kugegeda madem kibao ,ukifa unazaliwa mwanamke na unagegedwa kwa fujo na mabwana wengi.
4.Kama ulikuwa unapenda kuomba 0713 wakat wa mgegedo,ukifa unazaliwa mwanamke na wewe utaombwa 0713.
5.Ulikuwa hupendi kuhonga,ukifa utazaliwa mwanamke na huhongwi na mgegedo utatoa.
Duh wanaume tubadilike kama ni kweli kuna kuzaliwa twice basi tutakufa na presha kulipia tabia zetu..teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…