THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Mashabiki wa Simba Mashabiki Simba nawaita Tena Simba jiandaen kalieni kusema Yanga ananunua match ila mnajisahau kwenye hili.
Muulizeni Mganga wenu hili kama analifanyia kazi?
Nenden mkajikumbushe games 5 za nyuma za Yanga kabla hajaja kuwapiga Zile 5 alikua anashinda Kwa goli ngapi ngapi?
Hapa mnaandaliwa kisaikolojia nawaambieni jiandaen mkicheza vibaya Babu kasema mtakula 6.
Tunaoelewa Mchezo huu tushaona Kuna mtu anakula chuma so chini ya 4.
I will be there.
Muulizeni Mganga wenu hili kama analifanyia kazi?
Nenden mkajikumbushe games 5 za nyuma za Yanga kabla hajaja kuwapiga Zile 5 alikua anashinda Kwa goli ngapi ngapi?
Hapa mnaandaliwa kisaikolojia nawaambieni jiandaen mkicheza vibaya Babu kasema mtakula 6.
Tunaoelewa Mchezo huu tushaona Kuna mtu anakula chuma so chini ya 4.
I will be there.