Kabla ya 2025 Rais Samia atasema Uchaguzi wa 2020 haukuwa huru

Kabla ya 2025 Rais Samia atasema Uchaguzi wa 2020 haukuwa huru

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Raisi Samia na Watanzania wengi wanajua huu ukweli kwamba uchaguzi wa 2020 haukuwa wa huru na wa haki.

Hivyo kabla ya uchaguzi wa 2025 Raisi atafanya kila jitihada kueleza huu ukweli kwasababu zifuatazo

1. Kutoa dhana ya uongo kwa wananchi walioamini Magu alipata 80% . Wote tunajua hii sio kweli ni utamaduni wa kujidanganya tu kwa wale wachache. Lakini Raisi Samia atawaandaa wananchi kwa hili. Ili akija kupata 55%~65% ionekane kawaida

2. Bila tume huru Chadema hawatashiriki uchaguzi. Hiki ni kitu ambacho Raisi Samia hataki kitokee kwasababu wapiga kura watakuwa kidogo sana tena baada ya sensa. Hivyo kama kutakuwa na Tume huru Rais Samia hawezi kupata zaidi ya 65% ya kura maana Chadema na ACT ni 40% kindakindaki.

3.Raisi Samia tofauti na Magu anaona bunge hili limepwaya sana. Hata kabla ya Ndugai kuondoka alikuwa analalamikia bunge kuwa halina mchango. Kila mtu sasa anajua faida wa wabunge wa upinzani

4. Raisi Samia kujifunza na ameona uchaguzi ulivyo haribu historia ya Magu na hata taka itokee hivyo kwake

5. Rais Samia hatapenda miaka mitano ya utawala wake ya mwisho itawaliwe na migogoro hivyo ni lazima uchaguzi aufanye kwa uhuru zaidi kuliko 2020.

6. Teknologia imesaidia sana wapinzani kiasi kwamba kudanganya wananchi hata wa kijijini itakuwa ngumu

7. Demokrasia kukuwa ni kukubali kushindwa Biden wa USA ana 45% pekee ingawa watu ambao wanahitaji kazi ni 3% tu! Kazi zipo nyingi US kuliko watu! Hii inaonyesha kukuwa kwa demokrasia ni pamoja na kushinda kwa asilimia ndogo

Kwa sababu hizi na viongozi wapya wanaojua siasa kama Kinana Raisi Samia atasema uchaguzi wa 2020 ulikiwa na wizi na haukuwa huru.

Pascal Mayalla
 
Raisi Samia na Watanzania wengi wanajua huu ukweli kwamba uchaguzi wa 2020 haukuwa wa huru na wa haki. Hivyo kabla ya uchaguzi wa 2025 Raisi atafanya kila jitihada kueleza huu ukweli .
Kwa sababu hizi na viongozi wapya wanaojua siasa kama Kinana Raisi Samia atasema uchaguzi wa 2020 ulikiwa na wizi na haukuwa huru.

Pascal Mayalla
Utasubiri Sana, kwasababu, licha ya kuwepo dosari ndogo ndogo, uchaguzi ulikuwa free and fair.
P
 
Lakini ni ukweli kuwa Marehemu Magufuli aliharibu chaguzi kwa manufaa yake na genge lake.

Aliharibu uchaguzi wa Serikali za mitaa wa 2019, akaja akavuruga uchaguzi mkuu 2020.

Kiasili Magufuli alikuwa ni dikteta, ndiyo maana hakuwahi kushinda uchaguzi wowote, tangu akiwa mbunge.
Yeye alikuwa anatangazwa kuwa ni mshindi bila ya kushinda.
 
Raisi Samia na Watanzania wengi wanajua huu ukweli kwamba uchaguzi wa 2020 haukuwa wa huru na wa haki. Hivyo kabla ya uchaguzi wa 2025 Raisi atafanya kila jitihada kueleza huu ukweli kwasababu zifuatazo...
Eti Kinana amepita kwa kura zote 1,875 hakuna hata mjumbe mmoja aliye na mawazo tofauti, kweli?!
 
Raisi Samia na Watanzania wengi wanajua huu ukweli kwamba uchaguzi wa 2020 haukuwa wa huru na wa haki. Hivyo kabla ya uchaguzi wa 2025 Raisi atafanya kila jitihada kueleza huu ukweli kwasababu zifuatazo

1. Kutoa dhana ya uongo kwa wananchi walioamini Magu alipata 80% . Wote tunajua hii sio kweli ni utamaduni wa kujidanganya tu kwa wale wachache. Lakini Raisi Samia atawaandaa wananchi kwa hili. Ili akija kupata 55%~65% ionekane kawaida
2. Bila tume huru Chadema hawatashiriki uchaguzi. Hiki ni kitu ambacho Raisi Samia hataki kitokee kwasababu wapiga kura watakuwa kidogo sana tena baada ya sensa. Hivyo kama kutakuwa na Tume huru Rais Samia hawezi kupata zaidi ya 65% ya kura maana Chadema na ACT ni 40% kindakindaki.
3.Raisi Samia tofauti na Magu anaona bunge hili limepwaya sana. Hata kabla ya Ndugai kuondoka alikuwa analalamikia bunge kuwa halina mchango. Kila mtu sasa anajua faida wa wabunge wa upinzani
4. Raisi Samia kujifunza na ameona uchaguzi ulivyo haribu historia ya Magu na hata taka itokee hivyo kwake
5. Rais Samia hatapenda miaka mitano ya utawala wake ya mwisho itawaliwe na migogoro hivyo ni lazima uchaguzi aufanye kwa uhuru zaidi kuliko 2020.
6. Teknologia imesaidia sana wapinzani kiasi kwamba kudanganya wananchi hata wa kijijini itakuwa ngumu
7. Demokrasia kukuwa ni kukubali kushindwa Biden wa USA ana 45% pekee ingawa watu ambao wanahitaji kazi ni 3% tu! Kazi zipo nyingi US kuliko watu! Hii inaonyesha kukuwa kwa demokrasia ni pamoja na kushinda kwa asilimia ndogo

Kwa sababu hizi na viongozi wapya wanaojua siasa kama Kinana Raisi Samia atasema uchaguzi wa 2020 ulikiwa na wizi na haukuwa huru.

Pascal Mayalla
Hapo toa ACT Mana kile siyo chama
 
Eti Kinana amepita kwa kura zote 1,875 hakuna hata mjumbe mmoja aliye na mawazo tofauti, kweli?!
Kwenye kundi la binadamu timamu 1875 wote wawe na mfanano wa fikra,mtazamo na utashi sawa,hili haliwezekani kabisa kabisa.

Labda kwenye kundi la misukule/ndochocha ambao akili zimetolewa ama robots/bots tuu,maana wanakuwa programmed.
 
Usichokifahamu wale wanaonekana kama wasaidizi wa ukusanyaji wa mabox ya kura wote ni tiss na jukumu lao huwa ni kuhakikisha takwa la mwenyekiti linapita bila kupingwa.

So we tupia kura ya hapana lazima itageuka kuwa ya ndio.

Cha pili kabla ya wajumbe kufika huwa wameshapewa maelekezo kwamba ajenda ni moja mbili tatu zote lazima zipite... posho yako ni hii usafiri, malazi na chakula ni juu yetu.

We njoo piga makofi shangilia sana, jibu kwa sauti kubwa ndiooooooo.... cheza muziki kata mauno... nyanyua bango kubwa la mkoa au kusifu, piga kura ya ndio nenda zako ...script inaishia hapo.

Unageuza na kibunda chako watoto wamepata ada... unasubili wito mwingine.
 
Raisi Samia na Watanzania wengi wanajua huu ukweli kwamba uchaguzi wa 2020 haukuwa wa huru na wa haki. Hivyo kabla ya uchaguzi wa 2025 Raisi atafanya kila jitihada kueleza huu ukweli kwasababu zifuatazo

1. Kutoa dhana ya uongo kwa wananchi walioamini Magu alipata 80% . Wote tunajua hii sio kweli ni utamaduni wa kujidanganya tu kwa wale wachache. Lakini Raisi Samia atawaandaa wananchi kwa hili. Ili akija kupata 55%~65% ionekane kawaida
2. Bila tume huru Chadema hawatashiriki uchaguzi. Hiki ni kitu ambacho Raisi Samia hataki kitokee kwasababu wapiga kura watakuwa kidogo sana tena baada ya sensa. Hivyo kama kutakuwa na Tume huru Rais Samia hawezi kupata zaidi ya 65% ya kura maana Chadema na ACT ni 40% kindakindaki.
3.Raisi Samia tofauti na Magu anaona bunge hili limepwaya sana. Hata kabla ya Ndugai kuondoka alikuwa analalamikia bunge kuwa halina mchango. Kila mtu sasa anajua faida wa wabunge wa upinzani
4. Raisi Samia kujifunza na ameona uchaguzi ulivyo haribu historia ya Magu na hata taka itokee hivyo kwake
5. Rais Samia hatapenda miaka mitano ya utawala wake ya mwisho itawaliwe na migogoro hivyo ni lazima uchaguzi aufanye kwa uhuru zaidi kuliko 2020.
6. Teknologia imesaidia sana wapinzani kiasi kwamba kudanganya wananchi hata wa kijijini itakuwa ngumu
7. Demokrasia kukuwa ni kukubali kushindwa Biden wa USA ana 45% pekee ingawa watu ambao wanahitaji kazi ni 3% tu! Kazi zipo nyingi US kuliko watu! Hii inaonyesha kukuwa kwa demokrasia ni pamoja na kushinda kwa asilimia ndogo

Kwa sababu hizi na viongozi wapya wanaojua siasa kama Kinana Raisi Samia atasema uchaguzi wa 2020 ulikiwa na wizi na haukuwa huru.

Pascal Mayalla
Tatizo lenu mkiona hajashinda mtu wenu basi Uchaguzi haukua huru.

Anyway sisi tunajua serikali iliyopo imetokana na Tume hii hii ambayo imekua ikiwatangaza hata wapinzani kuwa washindi wa ubunge na udiwani
 
Tatizo lenu mkiona hajashinda mtu wenu basi Uchaguzi haukua huru. Anyway sisi tunajua serikali iliyopo imetokana na Tume hii hii ambayo imekua ikiwatangaza hata wapinzani kuwa washindi wa ubunge na udiwani

Sio mimi hata waangalizi wamesema hivyo😂 sishangai.

Kama ni hivyo basi kuna tatizo gani kuwa na tume huru kibaya ni kipi kama mambo yatakuwa yaleyale.

Tume huru maana yake ni kuipa huru kuanzia wasimamizi mpaka viongozi wa tume wa juu.

Sio wakurugenzi wa chama kimoja ndiyo wawe wanafunga milango na kutokutoa form! , kufunga ofisi ili tu wapinzani wasirudishe form, kuengua watu….

Kusipokuwa na tume huru Watanzania hawataona sababu ya kwenda kupiga kura na ndiyo maana naamini huyu Raisi hatakuwa mjinga badala yake atawasingizia tume na kukubali tume huru.

Chaguzi fake muda wake umefika
 
Utasubiri Sana, kwasababu, licha ya kuwepo dosari ndogo ndogo, uchaguzi ulikuwa free and fair.
P


Tutaona Raisi asikofanya hivi itakula kwake strategically. Kama anataka awe na legacy ya wizi wa kura na illegitimacy afanye uchaguzi Chadema wakiwa wamegoma na wananchi wakae nyumbani na kususia kupiga kura. Lakini Mama ni matter of time atasema kama alivyosema juzi kwamba wafanyakazi walikuwa na heshima ya kinafiki kwa kumuogopa Magu! Polepole anajisafisha
 
Utasubiri Sana, kwasababu, licha ya kuwepo dosari ndogo ndogo, uchaguzi ulikuwa free and fair.
P
Mkuu tushukuru tuu hatukuruhusiwa kuingia na simu.. Maana kungekuwa na video ndani ya vyumba vya kuhesabia kura mbona balaa na aibu..
Tushukuru Chama Cha Mapinduzi kimeshinda kwa kishindo kikuu.. wabunge asilimia 95 ..
Mengine tusiseme.. Tukae kimya
 
3.Raisi Samia tofauti na Magu anaona bunge hili limepwaya sana. Hata kabla ya Ndugai kuondoka alikuwa analalamikia bunge kuwa halina mchango. Kila mtu sasa anajua faida wa wabunge wa upinzani
Bunge la mwendazake la Mchongo
 
Free and fair election haishii kwenye kutmbukiza kura tu bro..ni zaidi ya kupiga kura. Unasemaje uchaguzi ulikuwa huru wakati media zote zilimtangaza mgombea mmoja?
Labda anazungumzia ule wa kawe aliokuwa anashindana na wana ccm wenzake na kupigwa chini...
 
Back
Top Bottom