Kabla ya kuandamana jiulize familia za viongozi wa CHADEMA ziko wapi?

Kabla ya kuandamana jiulize familia za viongozi wa CHADEMA ziko wapi?

Kajeba

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
1,057
Reaction score
2,364
Familia za Makada na Viongozi wa Chadema ziko wap?

Watanzania wenzangu kabla ya kukubali na kufuata yale wanayopanga kufanya Chadema kwa Watanzania tujiulize hizi familia za viongozi na Makada wa Chadema wako wapi?

LISSU: Familia yake mke na watoto wapo Marekani, Wanasoma na Kuishi huko

LEMA: Familia yake ipo Canada

MBOWE: Familia yake mke yupo Uingereza na watoto wake wako Dubai

WENJE: Familia yake ipo Canada

MARIA SARUNGI: Amehamisha Makazi yake Kenya

MANGE KIMAMBI: Huyu familia yake ipo Marekani

Hawa wote wamehamishia familia zao nje ya Nchi wao wao wakiendeleza harakati za uchonganishi wa Watanzania kwa Serikali yao.

Je hamuoni kua hawa wanamaslai yao binafsi.

Ikiwa kweli wanauchungu na hayo madai yao kwanini uratibu wa haya maandamano wasilete familia zao ziwe mstari wa mbele kuandamana na kudai madai yao.

Watanzania wenzangu tusifuate mkumbo wa kuchonganishwa na Serikali katika jambo ambalo serikali kupitia kwa mkuu wa nchi ameshasema linafanyiwa kazi.

Ikumbukwe Madhara ambayo yatakayopatikana baada ya Hayo Maandamano Batili ni makubwa sana na huwenda yakakuletea shida.

Je, umejiandaa kukabiliana nayo? Una bima ya Afya kujitibu majeraha?

Kijana na Mtanzania Mwenzangu Tumia akili Usifate Mkumbo❗️

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
 
Familia za Makada na Viongozi wa Chadema ziko wap?

Watanzania wenzangu kabla ya kukubali na kufuata yale wanayopanga kufanya Chadema kwa Watanzania tujiulize hizi familia za viongozi na Makada wa Chadema wako wapi...
Wewe umeshajiuliza familia ya Samia iko wapi na familia yako iko wapi mama yako baba yako watoto wako wako wapi?
 
Mbona Ché Guevara alikuwa anaendesha harakati mwenyewe bila kuwepo familia yake?

Japo yeye mwenyewe wakati wa mwanzo kabisa wa harakati zake alisema "Nitaandamana siku nikipata bunduki"
 
Mtoa kama ungekuwa wewe ndie Tundu lissu umenisurika kuuawa kwa kupigwa risasi zaidi ya 30, na watekekezaji wa shambulizi hilo hawajulikani mpk kesho, je ungethubutu kuiacha familia yako iishi sehemu isiyo na usalama!?
 
Familia za Makada na Viongozi wa Chadema ziko wap?

Watanzania wenzangu kabla ya kukubali na kufuata yale wanayopanga kufanya Chadema kwa Watanzania tujiulize hizi familia za viongozi na Makada wa Chadema wako wapi?

LISSU: familia yake mke na watoto wapo Marekani, Wanasoma na Kuishi huko
LEMA: familia yake ipo Canada
MBOWE: familia yake mke yupo Uingereza na watoto wake wako Dubai
WENJE: familia yake ipo Canada
MARIA SARUNGI: Amehamisha Makazi yake Kenya
MANGE KIMAMBI: huyu familia yake ipo Marekani

Hawa wote wamehamishia familia zao nje ya Nchi wao wao wakiendeleza harakati za uchonganishi wa Watanzania kwa Serikali yao.
Je hamuoni kua hawa wanamaslai yao binafsi.
Ikiwa kweli wanauchungu na hayo madai yao kwanini uratibu wa haya maandamano wasilete familia zao ziwe mstari wa mbele kuandamana na kudai madai yao.

Watanzania wenzangu tusifuate mkumbo wa kuchonganishwa na Serikali katika jambo ambalo serikali kupitia kwa mkuu wa nchi ameshasema linafanyiwa kazi.

Ikumbukwe Madhara ambayo yatakayopatikana baada ya Hayo Maandamano Batili ni makubwa sana na huwenda yakakuletea shida.
Je umejiandaa kukabiliana nayo? Una bima ya Afya kujitibu majeraha?

Kijana na Mtanzania Mwenzangu Tumia akili Usifate Mkumbo❗️
Maneno yenu yanaonesha mna hofu sana ,ila mbona hakuna lolote litakalo tokea siku hiyo
 
Kwani mkuu watu wakiandamana ni kwaajili ya hizo familia?
kwanini kama wanataka.sapot ya maandamano kwanini wasianze familia zao kuwapa sapoti yaani watoto wao wakiungana na wazaz wao why vijana ambao hawana.ajira hata kesho yao hawaijui
 
Ni
Familia za Makada na Viongozi wa Chadema ziko wap?

Watanzania wenzangu kabla ya kukubali na kufuata yale wanayopanga kufanya Chadema kwa Watanzania tujiulize hizi familia za viongozi na Makada wa Chadema wako wapi?

LISSU: familia yake mke na watoto wapo Marekani, Wanasoma na Kuishi huko
LEMA: familia yake ipo Canada
MBOWE: familia yake mke yupo Uingereza na watoto wake wako Dubai
WENJE: familia yake ipo Canada
MARIA SARUNGI: Amehamisha Makazi yake Kenya
MANGE KIMAMBI: huyu familia yake ipo Marekani

Hawa wote wamehamishia familia zao nje ya Nchi wao wao wakiendeleza harakati za uchonganishi wa Watanzania kwa Serikali yao.
Je hamuoni kua hawa wanamaslai yao binafsi.
Ikiwa kweli wanauchungu na hayo madai yao kwanini uratibu wa haya maandamano wasilete familia zao ziwe mstari wa mbele kuandamana na kudai madai yao.

Watanzania wenzangu tusifuate mkumbo wa kuchonganishwa na Serikali katika jambo ambalo serikali kupitia kwa mkuu wa nchi ameshasema linafanyiwa kazi.

Ikumbukwe Madhara ambayo yatakayopatikana baada ya Hayo Maandamano Batili ni makubwa sana na huwenda yakakuletea shida.
Je umejiandaa kukabiliana nayo? Una bima ya Afya kujitibu majeraha?

Kijana na Mtanzania Mwenzangu Tumia akili Usifate Mkumbo❗️
Ni kweli, lakini katika kutaka mabadiliko wanatakiwa wawepo watu shupavu, na kama sio wito wako tulia, usipaaze sauti na makelele kama haya uliyoandika hapa. Subiri kula matunda kwa uthubutu na ujasiri wao.

Hata wakati wa ukoloni kulikuwa na watu kama wewe waliosema haina haja tuwafanyie kazi tu muhimu uhai, wakalima,wakabakwa,wakauzwa,wakauwawa n.k yakawa maisha mapya ya kawaida. Lakini wapo waliosimama wakagoma,wakauwawa wakajitokeza tena, hatimaye uhuru ukapatikana na matunda yake ndio haya tunayoyafaidi sasa.

Lakini bado kuna haki zetu nyingine zinahitaji kufanyiwa kazi, acha wenye uthubutu,wito,mwamko na ujasiri wapambane.
 
Nahisi mambo ya Gen. Z wa Kenya yameitisha sana serikali mpaka wanahisi yatatokea na huku. Wamesahau waTz sio wakenya.

Kenya usingemchukua mtu kwenye basi kirahisi vile na with zero evidence.

Mbona wapinzani washaandamana sana, no big deal?

Serikali embu tulieni, relax. Sisi ni wabongo na sio wakenya. Msituchukulie serious hivyo.
 
Familia za Makada na Viongozi wa Chadema ziko wap?

Watanzania wenzangu kabla ya kukubali na kufuata yale wanayopanga kufanya Chadema kwa Watanzania tujiulize hizi familia za viongozi na Makada wa Chadema wako wapi?

LISSU: familia yake mke na watoto wapo Marekani, Wanasoma na Kuishi huko
LEMA: familia yake ipo Canada
MBOWE: familia yake mke yupo Uingereza na watoto wake wako Dubai
WENJE: familia yake ipo Canada
MARIA SARUNGI: Amehamisha Makazi yake Kenya
MANGE KIMAMBI: huyu familia yake ipo Marekani

Hawa wote wamehamishia familia zao nje ya Nchi wao wao wakiendeleza harakati za uchonganishi wa Watanzania kwa Serikali yao.
Je hamuoni kua hawa wanamaslai yao binafsi.
Ikiwa kweli wanauchungu na hayo madai yao kwanini uratibu wa haya maandamano wasilete familia zao ziwe mstari wa mbele kuandamana na kudai madai yao.

Watanzania wenzangu tusifuate mkumbo wa kuchonganishwa na Serikali katika jambo ambalo serikali kupitia kwa mkuu wa nchi ameshasema linafanyiwa kazi.

Ikumbukwe Madhara ambayo yatakayopatikana baada ya Hayo Maandamano Batili ni makubwa sana na huwenda yakakuletea shida.
Je umejiandaa kukabiliana nayo? Una bima ya Afya kujitibu majeraha?

Kijana na Mtanzania Mwenzangu Tumia akili Usifate Mkumbo❗️
Hayo waachie wenyewe. Hayakuhusu
 
Back
Top Bottom