Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
sawaHama kwa shemeji.
Jicho limeshatumbuliwa, huoni kabisa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawaHama kwa shemeji.
Jicho limeshatumbuliwa, huoni kabisa...
Familia zao sisi hazituhusu....Familia za Makada na Viongozi wa Chadema ziko wap?
Watanzania wenzangu kabla ya kukubali na kufuata yale wanayopanga kufanya Chadema kwa Watanzania tujiulize hizi familia za viongozi na Makada wa Chadema wako wapi?
LISSU: Familia yake mke na watoto wapo Marekani, Wanasoma na Kuishi huko
LEMA: Familia yake ipo Canada
MBOWE: Familia yake mke yupo Uingereza na watoto wake wako Dubai
WENJE: Familia yake ipo Canada
MARIA SARUNGI: Amehamisha Makazi yake Kenya
MANGE KIMAMBI: Huyu familia yake ipo Marekani
Hawa wote wamehamishia familia zao nje ya Nchi wao wao wakiendeleza harakati za uchonganishi wa Watanzania kwa Serikali yao.
Je hamuoni kua hawa wanamaslai yao binafsi.
Ikiwa kweli wanauchungu na hayo madai yao kwanini uratibu wa haya maandamano wasilete familia zao ziwe mstari wa mbele kuandamana na kudai madai yao.
Watanzania wenzangu tusifuate mkumbo wa kuchonganishwa na Serikali katika jambo ambalo serikali kupitia kwa mkuu wa nchi ameshasema linafanyiwa kazi.
Ikumbukwe Madhara ambayo yatakayopatikana baada ya Hayo Maandamano Batili ni makubwa sana na huwenda yakakuletea shida.
Je, umejiandaa kukabiliana nayo? Una bima ya Afya kujitibu majeraha?
Kijana na Mtanzania Mwenzangu Tumia akili Usifate Mkumbo❗️
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Narudia Siku BABAKO akibinywa PUMBU utaelewa unuhimu wa maandamano ya watu kupinga uovu!!!Pungwani wa head!
Watoto wa 2000 mnashida sana, huna adabu
Swali zuri sana na fikirishi kinoma!Kwani mkuu watu wakiandamana ni kwaajili ya hizo familia?
Kitu unachokosa ni hiki.Familia za Makada na Viongozi wa Chadema ziko wap?
Watanzania wenzangu kabla ya kukubali na kufuata yale wanayopanga kufanya Chadema kwa Watanzania tujiulize hizi familia za viongozi na Makada wa Chadema wako wapi?
LISSU: Familia yake mke na watoto wapo Marekani, Wanasoma na Kuishi huko
LEMA: Familia yake ipo Canada
MBOWE: Familia yake mke yupo Uingereza na watoto wake wako Dubai
WENJE: Familia yake ipo Canada
MARIA SARUNGI: Amehamisha Makazi yake Kenya
MANGE KIMAMBI: Huyu familia yake ipo Marekani
Hawa wote wamehamishia familia zao nje ya Nchi wao wao wakiendeleza harakati za uchonganishi wa Watanzania kwa Serikali yao.
Je hamuoni kua hawa wanamaslai yao binafsi.
Ikiwa kweli wanauchungu na hayo madai yao kwanini uratibu wa haya maandamano wasilete familia zao ziwe mstari wa mbele kuandamana na kudai madai yao.
Watanzania wenzangu tusifuate mkumbo wa kuchonganishwa na Serikali katika jambo ambalo serikali kupitia kwa mkuu wa nchi ameshasema linafanyiwa kazi.
Ikumbukwe Madhara ambayo yatakayopatikana baada ya Hayo Maandamano Batili ni makubwa sana na huwenda yakakuletea shida.
Je, umejiandaa kukabiliana nayo? Una bima ya Afya kujitibu majeraha?
Kijana na Mtanzania Mwenzangu Tumia akili Usifate Mkumbo❗️
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Kabla ya kukaa nyumbani ,wakati umepigika, huna mbele wala nyuma ,jiulize iweje watu wenye huakika wa milo 10 kwa siku wapo mstari wa mbele kupigania hakiFamilia za Makada na Viongozi wa Chadema ziko wap?
Watanzania wenzangu kabla ya kukubali na kufuata yale wanayopanga kufanya Chadema kwa Watanzania tujiulize hizi familia za viongozi na Makada wa Chadema wako wapi?
LISSU: Familia yake mke na watoto wapo Marekani, Wanasoma na Kuishi huko
LEMA: Familia yake ipo Canada
MBOWE: Familia yake mke yupo Uingereza na watoto wake wako Dubai
WENJE: Familia yake ipo Canada
MARIA SARUNGI: Amehamisha Makazi yake Kenya
MANGE KIMAMBI: Huyu familia yake ipo Marekani
Hawa wote wamehamishia familia zao nje ya Nchi wao wao wakiendeleza harakati za uchonganishi wa Watanzania kwa Serikali yao.
Je hamuoni kua hawa wanamaslai yao binafsi.
Ikiwa kweli wanauchungu na hayo madai yao kwanini uratibu wa haya maandamano wasilete familia zao ziwe mstari wa mbele kuandamana na kudai madai yao.
Watanzania wenzangu tusifuate mkumbo wa kuchonganishwa na Serikali katika jambo ambalo serikali kupitia kwa mkuu wa nchi ameshasema linafanyiwa kazi.
Ikumbukwe Madhara ambayo yatakayopatikana baada ya Hayo Maandamano Batili ni makubwa sana na huwenda yakakuletea shida.
Je, umejiandaa kukabiliana nayo? Una bima ya Afya kujitibu majeraha?
Kijana na Mtanzania Mwenzangu Tumia akili Usifate Mkumbo❗️
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Nakukumbusha,,, iepushe familia yako na maumivu utakayoisababishia hapo keshoFamilia zao sisi hazituhusu....
Watu tunaangalia sababu ya kuandamana huku tukiwa na mabango yaliyoandikwa "SAMIA MUST GO" kama zipo au la, za kweli ama la...baasi...
Hilo halina shaka kabisa kuwa;
1. Sababu zipo, Polisi wakishirikiana na TISS wanateka na kuua wananchi wenzetu bila sababu na kinyume cha sheria kwa maelekezo na baraka zote za Rais Samia. Kwa hiyo, SAMIA MUST GO TO KIZIMKAZI - ZANZIBAR atuachie Tanganyika yetu salama..
2. Ni za kweli na hakika tupu kuwa kwa matukio hayo huku yeye akitoa kauli za kejeli na dharau dhidi ya waathirika wa mauaji hayo, ni ushahidi kuwa hafai na nafasi ya u - Rais haimtoshi asilani. Kwa hiyo SAMIA MUST GO TO KIZIMKAZI - ZANZIBAR atuachie Tanganyika yetu salama...
3. Nia tunayo na wako determined kwelikweli....
4. Above ni kuwa, sheria na katiba zinaruhusu watu kuizomea na kui - rebuke serikali katili iliyoshindwa kulinda utu na uhai watu huku ikikumbatia magaidi na majambazi ya kidola.....
#SAMIA MUST GO........#SAMIA SULUHU HASSAN MUST GO....!!
Vizuri hujamtaja mtuUfukara wa mawazo ni ugonjwa mbaya sana
Hayati J.k Nyerere alisema tunasumbuliwa na:-Vizuri hujamtaja mtu
Jitetee mwenyeweKuwatetea watanzania ni kujifedhehesha na kupoteza muda.