Kabla ya kuandamana jiulize familia za viongozi wa CHADEMA ziko wapi?

Kabla ya kuandamana jiulize familia za viongozi wa CHADEMA ziko wapi?

Familia za Makada na Viongozi wa Chadema ziko wap?

Watanzania wenzangu kabla ya kukubali na kufuata yale wanayopanga kufanya Chadema kwa Watanzania tujiulize hizi familia za viongozi na Makada wa Chadema wako wapi?

LISSU: Familia yake mke na watoto wapo Marekani, Wanasoma na Kuishi huko

LEMA: Familia yake ipo Canada

MBOWE: Familia yake mke yupo Uingereza na watoto wake wako Dubai

WENJE: Familia yake ipo Canada

MARIA SARUNGI: Amehamisha Makazi yake Kenya

MANGE KIMAMBI: Huyu familia yake ipo Marekani

Hawa wote wamehamishia familia zao nje ya Nchi wao wao wakiendeleza harakati za uchonganishi wa Watanzania kwa Serikali yao.

Je hamuoni kua hawa wanamaslai yao binafsi.

Ikiwa kweli wanauchungu na hayo madai yao kwanini uratibu wa haya maandamano wasilete familia zao ziwe mstari wa mbele kuandamana na kudai madai yao.

Watanzania wenzangu tusifuate mkumbo wa kuchonganishwa na Serikali katika jambo ambalo serikali kupitia kwa mkuu wa nchi ameshasema linafanyiwa kazi.

Ikumbukwe Madhara ambayo yatakayopatikana baada ya Hayo Maandamano Batili ni makubwa sana na huwenda yakakuletea shida.

Je, umejiandaa kukabiliana nayo? Una bima ya Afya kujitibu majeraha?

Kijana na Mtanzania Mwenzangu Tumia akili Usifate Mkumbo❗️

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Familia zao sisi hazituhusu....

Watu tunaangalia sababu ya kuandamana huku tukiwa na mabango yaliyoandikwa "SAMIA MUST GO" kama zipo au la, za kweli ama la...baasi...

Hilo halina shaka kabisa kuwa;

1. Sababu zipo, Polisi wakishirikiana na TISS wanateka na kuua wananchi wenzetu bila sababu na kinyume cha sheria kwa maelekezo na baraka zote za Rais Samia. Kwa hiyo, SAMIA MUST GO TO KIZIMKAZI - ZANZIBAR atuachie Tanganyika yetu salama..

2. Ni za kweli na hakika tupu kuwa kwa matukio hayo huku yeye akitoa kauli za kejeli na dharau dhidi ya waathirika wa mauaji hayo, ni ushahidi kuwa hafai na nafasi ya u - Rais haimtoshi asilani. Kwa hiyo SAMIA MUST GO TO KIZIMKAZI - ZANZIBAR atuachie Tanganyika yetu salama...

3. Nia tunayo na wako determined kwelikweli....

4. Above ni kuwa, sheria na katiba zinaruhusu watu kuizomea na kui - rebuke serikali katili iliyoshindwa kulinda utu na uhai watu huku ikikumbatia magaidi na majambazi ya kidola.....

#SAMIA MUST GO........#SAMIA SULUHU HASSAN MUST GO....!!
 
Wewe uchawa unaoufanya unaufanya na familia yako yote?.Au ni akili za kijinga tu umezileta hapa hadharani.
 
Familia za Makada na Viongozi wa Chadema ziko wap?

Watanzania wenzangu kabla ya kukubali na kufuata yale wanayopanga kufanya Chadema kwa Watanzania tujiulize hizi familia za viongozi na Makada wa Chadema wako wapi?

LISSU: Familia yake mke na watoto wapo Marekani, Wanasoma na Kuishi huko

LEMA: Familia yake ipo Canada

MBOWE: Familia yake mke yupo Uingereza na watoto wake wako Dubai

WENJE: Familia yake ipo Canada

MARIA SARUNGI: Amehamisha Makazi yake Kenya

MANGE KIMAMBI: Huyu familia yake ipo Marekani

Hawa wote wamehamishia familia zao nje ya Nchi wao wao wakiendeleza harakati za uchonganishi wa Watanzania kwa Serikali yao.

Je hamuoni kua hawa wanamaslai yao binafsi.

Ikiwa kweli wanauchungu na hayo madai yao kwanini uratibu wa haya maandamano wasilete familia zao ziwe mstari wa mbele kuandamana na kudai madai yao.

Watanzania wenzangu tusifuate mkumbo wa kuchonganishwa na Serikali katika jambo ambalo serikali kupitia kwa mkuu wa nchi ameshasema linafanyiwa kazi.

Ikumbukwe Madhara ambayo yatakayopatikana baada ya Hayo Maandamano Batili ni makubwa sana na huwenda yakakuletea shida.

Je, umejiandaa kukabiliana nayo? Una bima ya Afya kujitibu majeraha?

Kijana na Mtanzania Mwenzangu Tumia akili Usifate Mkumbo❗️

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Kitu unachokosa ni hiki.

Kwani watu wanaandamana kwa sababu ya familia ya hao uliowataja?

Je umesikia familia zao au ndugu zao wametekwa?

Hivi unajua ni kwa nini familia zao zipo huko ulipotaja? Ni jambo la kujivunia?

Tutakaokataa na kugoma kwenye keyboard ndio tunaotekwa na kupotezwa.

Tumia utashi wako ukari kimya, upaze sauti au uandamane yote yawe ni matashi binafsi.
 
Familia za Makada na Viongozi wa Chadema ziko wap?

Watanzania wenzangu kabla ya kukubali na kufuata yale wanayopanga kufanya Chadema kwa Watanzania tujiulize hizi familia za viongozi na Makada wa Chadema wako wapi?

LISSU: Familia yake mke na watoto wapo Marekani, Wanasoma na Kuishi huko

LEMA: Familia yake ipo Canada

MBOWE: Familia yake mke yupo Uingereza na watoto wake wako Dubai

WENJE: Familia yake ipo Canada

MARIA SARUNGI: Amehamisha Makazi yake Kenya

MANGE KIMAMBI: Huyu familia yake ipo Marekani

Hawa wote wamehamishia familia zao nje ya Nchi wao wao wakiendeleza harakati za uchonganishi wa Watanzania kwa Serikali yao.

Je hamuoni kua hawa wanamaslai yao binafsi.

Ikiwa kweli wanauchungu na hayo madai yao kwanini uratibu wa haya maandamano wasilete familia zao ziwe mstari wa mbele kuandamana na kudai madai yao.

Watanzania wenzangu tusifuate mkumbo wa kuchonganishwa na Serikali katika jambo ambalo serikali kupitia kwa mkuu wa nchi ameshasema linafanyiwa kazi.

Ikumbukwe Madhara ambayo yatakayopatikana baada ya Hayo Maandamano Batili ni makubwa sana na huwenda yakakuletea shida.

Je, umejiandaa kukabiliana nayo? Una bima ya Afya kujitibu majeraha?

Kijana na Mtanzania Mwenzangu Tumia akili Usifate Mkumbo❗️

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Kabla ya kukaa nyumbani ,wakati umepigika, huna mbele wala nyuma ,jiulize iweje watu wenye huakika wa milo 10 kwa siku wapo mstari wa mbele kupigania haki
 
Familia zao sisi hazituhusu....

Watu tunaangalia sababu ya kuandamana huku tukiwa na mabango yaliyoandikwa "SAMIA MUST GO" kama zipo au la, za kweli ama la...baasi...

Hilo halina shaka kabisa kuwa;

1. Sababu zipo, Polisi wakishirikiana na TISS wanateka na kuua wananchi wenzetu bila sababu na kinyume cha sheria kwa maelekezo na baraka zote za Rais Samia. Kwa hiyo, SAMIA MUST GO TO KIZIMKAZI - ZANZIBAR atuachie Tanganyika yetu salama..

2. Ni za kweli na hakika tupu kuwa kwa matukio hayo huku yeye akitoa kauli za kejeli na dharau dhidi ya waathirika wa mauaji hayo, ni ushahidi kuwa hafai na nafasi ya u - Rais haimtoshi asilani. Kwa hiyo SAMIA MUST GO TO KIZIMKAZI - ZANZIBAR atuachie Tanganyika yetu salama...

3. Nia tunayo na wako determined kwelikweli....

4. Above ni kuwa, sheria na katiba zinaruhusu watu kuizomea na kui - rebuke serikali katili iliyoshindwa kulinda utu na uhai watu huku ikikumbatia magaidi na majambazi ya kidola.....

#SAMIA MUST GO........#SAMIA SULUHU HASSAN MUST GO....!!
Nakukumbusha,,, iepushe familia yako na maumivu utakayoisababishia hapo kesho

Kama ni jobless, kaa ndani

Wengine tutaenda kazini kama kawaida
 
Back
Top Bottom