Chujio
JF-Expert Member
- Jun 17, 2013
- 1,368
- 2,108
Hahahaaa... basi ba wewe tunakuongezaHayo yalikuwepo na yataendelea kuwepo na utayaacha.
Kila unachoona kibaya kwako, kwa mwingine ni kizuri
4.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa... basi ba wewe tunakuongezaHayo yalikuwepo na yataendelea kuwepo na utayaacha.
Kila unachoona kibaya kwako, kwa mwingine ni kizuri
Hahahaaa... basi ba wewe tunakuongeza
4.
Hapa kuna watu wawili 🚮
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu atawaburuza sana Kwa akili hizi.....Nikue mara ngapi tena ndugu Johnny, kuoa/kuolewa sio taji. Ukweli ni kwamba 'me ambao umri umeenda, na ikatokea wanatafuta mwenza huwa ni sababu za ubinafsi kuwa atapata nini kutoka kwenye mahusiano/ndoa hiyo. Show zimeanza kushuka viwango, mwili si kama ule wa enzi zile, afya inaleta taharuki. Kwanini asijipatie binti mdogo ambaye haelewi maisha akamtunza.
Kwa kusema hivi, nawaasa mabinti wachunguze kwa makini wanapokutana na kundi hili la watu. Wasipofushwe kuwa eti ooh, ni mtu mzima ana ekspriensi ya maisha sijui mapenzi. Hatasumbua sasa ameamua kutulia. Ni kwamba tu hana uwezo wa kukusumbua zaidi ya emotional au financial abuse
Binti funguka, kataa ndoa na watu wazima. Same applies kwa mapenzi yenye gap kubwa kiumri 🏃♀️➡️🏃♀️➡️🏃♀️➡️🏃♀️➡️🏃♀️➡️
We Chujio weweee..!!! Mbona huchuji sasa?Jinsia 'me yoyote >40 years kama si kwa sababu za dini, na hajaoa ni yai viza. Akitokea kuoa anaoa kujipatia mtu wa kumuuguza au kumtunza