ndenjii handsome
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 647
- 706
Hebu tufikirie kwa kina hili swala haiwezekani kwa nchi ya watu maskini kama Tanzania kuwawekea wananchi wako hizi tozo
Kwanini tuendelee kumkandamiza mwananchi tozo kwa kizingizio cha kusema hela inaelekezwa kwenye miladi hii miladi mnayosemea mwanzon pesa mlikuwa mnatoa wapi?
Maana nikisikiliza bunge la mwaka 2020 kurudi nyuma utakuta maneno kama haya "serikali imetenga kias kazaa kwa ajili barabara, hospital, nk nk
Sasa kwanini leo tuseme pesa inaenda kwenye barabara sijui zahanati.
Ningependa kujua hili mimi kama mwananchi wa kawaida zile hela za mwanzo mlizitoa wapi?
Na zinaenda wapi?
Ikiwa serikali ni hiihii viongozi ni walewale
Kwanini tuendelee kumkandamiza mwananchi tozo kwa kizingizio cha kusema hela inaelekezwa kwenye miladi hii miladi mnayosemea mwanzon pesa mlikuwa mnatoa wapi?
Maana nikisikiliza bunge la mwaka 2020 kurudi nyuma utakuta maneno kama haya "serikali imetenga kias kazaa kwa ajili barabara, hospital, nk nk
Sasa kwanini leo tuseme pesa inaenda kwenye barabara sijui zahanati.
Ningependa kujua hili mimi kama mwananchi wa kawaida zile hela za mwanzo mlizitoa wapi?
Na zinaenda wapi?
Ikiwa serikali ni hiihii viongozi ni walewale