Wameshaongea kule ya kwamba mabeberu sasa hayatoi msaada, yanataka bizinezi.........kwa hiyo tunyang'anyane hizi hizi tulizonazo mfukoni, baada ya kujenga vituo 255 vya afya, tozo ya mwezi huu inaenda kujenga madarasa 500, mimi ni mjumbe siuwawi..........