ndenjii handsome
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 647
- 706
Ni kwamba wanatudharau?Madini yanasombwa kila siku wanacheka tu
wanakula rushwa balaaNi kwamba wanatudharau?
Ngoja tusubiriHoja yako ni mzuri sana.
Tusubiri majibu kutoka kwa wadau
Duuh hatari ila mkuu unazani kwa uelewa wako tatizo nn hasa mpaka wafanye hayawanakula rushwa balaa
Kwani miaka yote hiyi walikuwa hawajui kama tunazaliana? ,Mnazaliana km kuku alaf mnatak makusanyo yawe yaleyale mashulen kumejaa, hospital zmejaa hebu tulipen kodi tujenge nchi
Hoja yako haina nguvu kabisa hapa! Em kaa na tulia kisha tafakari na uandike hoja iliyoshiba kidogo kama Great Thinker..Mnazaliana km kuku alaf mnatak makusanyo yawe yaleyale mashulen kumejaa, hospital zmejaa hebu tulipen kodi tujenge nchi
Tatizo ni ubinafsiDuuh hatari ila mkuu unazani kwa uelewa wako tatizo nn hasa mpaka wafanye haya
Kwan huyu ni great thinker mkuu?Hoja yako haina nguvu kabisa hapa! Em kaa na tulia kisha tafakari na uandike hoja iliyoshiba kidogo kama Great Thinker..
Dah Kama taifa tuna safar ndefuTatizo ni ubinafsi
Vipi na kipindi cha kikwete kurud nyuma?Walkuwa wanaWanyang'anya matajiri, hivo wamebadili tu aina ya unyang'anyi.
Ni msoma comments tu naona na yeye kaamua kuongeza idadi ya comments..Kwan huyu ni great thinker mkuu?
KabisaDah Kama taifa tuna safar ndefu
Kikwete nae alikuwa ananyang'anya matajiri?Walkuwa wanaWanyang'anya matajiri, hivo wamebadili tu aina ya unyang'anyi.