ndenjii handsome
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 647
- 706
- Thread starter
-
- #41
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122]Nchi hii haina Wachumi wala Tax collectors!! Mijitu imekaa hofcin inapigwa viyoyozi na kuwaza namna ya KUWADHULUMU WATZ KWA TOZO ZA MIAMALA, MAJENGO NA BEI ZA MAFUTA YA PETROL NA DIESELI KANA KWAMBA NJI HII HAINA VYANZO VINGINE VYA MAPATO, Hii ndiyo shida ya Elimu za kughushi.
Mtu anajiita Daktari kumbe THESIS KAANDIKIWA AU KA- COPY&PASTE!!!
[emoji28][emoji1][emoji3][emoji2]Wameshaongea kule ya kwamba mabeberu sasa hayatoi msaada, yanataka bizinezi.........kwa hiyo tunyang'anyane hizi hizi tulizonazo mfukoni, baada ya kujenga vituo 255 vya afya, tozo ya mwezi huu inaenda kujenga madarasa 500, mimi ni mjumbe siuwawi..........
Yupi Hana akili Sana?JK alikuwa na akili sn
bora yuleee kidogoWanatamani tuwe maskini hadi Yesu arudi na hili genge liko ikulu mara hii mbona wote wezi maarufu sana kuanzia na huyo hadi jk&co
Hapo mwanzo wahisani (mabeberu) walikua wanatusaidia sana,walitupa misaada kedekede!!..Tukawatukana na kuwafedhehesha!!....Tumepanda uchumi wa Kati !!...sasa hivi wanataka watupe mikopo ya kibiashara sio bure tena!!!..sasa kama inachukua mkopo wa biashara alafu unajenga reki, unanunua madege,huku bwawa la umeme!!... Unadhani utarudisha vipi fedha ulizokopa?!!..Ndio sasa inabidi watanzania wote tulipe hakuna kukaa Nyuma!!!... CCM MBELE KWA MBELEHebu tufikirie kwa kina hili swala haiwezekani kwa nchi ya watu maskini kama Tanzania kuwawekea wananchi wako hizi tozo
Kwanini tuendelee kumkandamiza mwananchi tozo kwa kizingizio cha kusema hela inaelekezwa kwenye miladi hii miladi mnayosemea mwanzon pesa mlikuwa mnatoa wapi?
Maana nikisikiliza bunge la mwaka 2020 kurudi nyuma utakuta maneno kama haya "serikali imetenga kias kazaa kwa ajili barabara, hospital, nk nk
Sasa kwanini leo tuseme pesa inaenda kwenye barabara sijui zahanati.
Ningependa kujua hili mimi kama mwananchi wa kawaida zile hela za mwanzo mlizitoa wapi?
Na zinaenda wapi?
Ikiwa serikali ni hiihii viongozi ni walewale
Kwahy ni haki kiongoz kumdanganya mwananchiPesa zinaenda kwenye SGR na Bwawa la Nyerere. Wala usiumize kichwa mkuu!
[emoji51]Hapo mwanzo wahisani (mabeberu) walikua wanatusaidia sana,walitupa misaada kedekede!!..Tukawatukana na kuwafedhehesha!!....Tumepanda uchumi wa Kati !!...sasa hivi wanataka watupe mikopo ya kibiashara sio bure tena!!!..sasa kama inachukua mkopo wa biashara alafu unajenga reki, unanunua madege,huku bwawa la umeme!!... Unadhani utarudisha vipi fedha ulizokopa?!!..Ndio sasa inabidi watanzania wote tulipe hakuna kukaa Nyuma!!!... CCM MBELE KWA MBELE
Kwani imesema pesa hazipo? Mahitaji yanapungua? Watoto 900,000 la kwanza mwakani miaka yote walikuwepo idadi hiyo?Hebu tufikirie kwa kina hili swala haiwezekani kwa nchi ya watu maskini kama Tanzania kuwawekea wananchi wako hizi tozo
Kwanini tuendelee kumkandamiza mwananchi tozo kwa kizingizio cha kusema hela inaelekezwa kwenye miladi hii miladi mnayosemea mwanzon pesa mlikuwa mnatoa wapi?
Maana nikisikiliza bunge la mwaka 2020 kurudi nyuma utakuta maneno kama haya "serikali imetenga kias kazaa kwa ajili barabara, hospital, nk nk
Sasa kwanini leo tuseme pesa inaenda kwenye barabara sijui zahanati.
Ningependa kujua hili mimi kama mwananchi wa kawaida zile hela za mwanzo mlizitoa wapi?
Na zinaenda wapi?
Ikiwa serikali ni hiihii viongozi ni walewale
Hoja yako haina nguvu kabisa hapa! Em kaa na tulia kisha tafakari na uandike hoja iliyoshiba kidogo kama Great Thinker..
Kwani miaka yote hiyi walikuwa hawajui kama tunazaliana? ,
Na pia miaka yote toka uhuru ni zahanat barabara kwann ni hivyo tu na sio vingn?
Viongozi wengine kazi yao ni kujaza vyoo vya Ikulu tuUkishaona ukimya wa muda kuhusu kinachoendelea huko kwenye madini jiulize kuna nini? Wakati wa JPM isingewezekana kupita muda bila kusikia kitu kinacho endelea kwenye rasilimali madini. Hakuna wakina Laizer na mapande yao ya Tanzanite?
Kumegundulika huu mgodi mpya unaoitwa tozo ambao fuel yake ni jasho la Watanzania, tuandike maumivu. Mh Rais kasema leo na tumemsikia tozo hatarudi nyuma zitakuja mkipiga kelele mtaambulia ahueni ya 30%. Tangu JPM atwaliwe hamna wawekezaji wa madini tena Tanzania? Hamna magawio? Makanikikia ilikuwa ni ndoto au nikitu kilitokea wakati flani hapa Tanzania au yalitwaliwa kama JPM? Kinachosikika kwa sasa ni kufukizana kwa ule mushi wa mwenge tu.
Hili ndo jibu sahihi. Na mikopo yao muwalipe watatue kero zao.Walipa kodi wa Maulaya nao wamechoka kuchangia maendeleo yenu, ... wanataka fweza yao iwasaidie kutatua matatizo yao ambayo ni mengi pia!
Majibu ni kwamba pesa zilipatikana kwenye nishahara ya watumishi kiasi ambacho wangeongezewa mishahara, pia pesa ajira, pesa za mifuko ya hifadhi za jamii mf.pssf , pesa za vyama vya wafanyakazi hadi CWT ,TUGHE NK wakakosa pesa za sare siku ya meimosi, pesa zingine zilipatikana kwa kupora matajiri kwa kutekwa nakupewa vitisho ili watoe pesa, yaan pesa zilipatikana kiharamu haramu ili tu wananchi walio batizwa unyonge wamshangilie bwana yule. Hivyo ndivyo pesa zilivyo patikanaHoja yako ni mzuri sana.
Tusubiri majibu kutoka kwa wadau