kabla ya kumaliza mwaka nawapa hii code jinsi ya kuishi na wanawake ifuatilie ufurahie edeni

kabla ya kumaliza mwaka nawapa hii code jinsi ya kuishi na wanawake ifuatilie ufurahie edeni

wasumu

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2015
Posts
2,271
Reaction score
2,065
Nyuki ni wazuri sana kwa kuwahutupa asali ila nyuki huyo huyo ukishindwa kufuata tahadhari anaweza kukuua kukupofusha macho au mambo kama hayo mengi sana .Nduguyenu nimekuja na code muhimu sana kwa wanaume ili waishi vizuri na wapenzi wao au wanawake wote kiujumla na hizi code ndio kuishi nao kiakili ...

code number one[msaada wa kisaikolojia)
mwanamke yeyote anahitaji kuliwazwa kwa maneno mazuri ya upendo oooh sweet i love u mambo kama hayo ili umtibu saikolojia yake hautakiwi kusema au kusonya mbele ake ukatezwa uanawake wake utapata tabu tu .

Code numbe two [ anahitaji msaada wa kifedha )
ili uishi kwa raha na mwanamke mpe msaada wa kifedha hata akikuomba ndege mpe katika maisha yako hutakiwi kumwambia mwanamke huna pesa wewe mpe tumaini

code number Three ( msaidie katika masuala yake ya kiroho )
msaidie wewe ndiemchungaji wake mpe maono ya kiroho akue mwanamke anamjua Mungu kupitia mwanaume

....kumbuka ukifeli kipengele kimoja umefeli kote usije kulaumu ishi nao kwa akili ili upate asali na utamu wa mwanamke
a word is enough for wise ..
 
Ina maana mpaka leo halijapatikana jibu la jinsi ya kuishi na wanawake?.

Wanaume kila siku tunahangaika kuwadiscuss wanawake, lakini wenyewe wala hawana habari na sisi.
 
20241221_111752.jpg
 
fanyia kazi hizo hakuna sehemu utazipata madini haya nimeyatoa mbali .am not island of knowledge lakini fanyia kazi
Ina maana mpaka leo halijapatikana jibu la jinsi ya kuishi na wanawake?.

Wanaume kila siku tunahangaika kuwadiscuss wanawake, lakini wenyewe wala hawana habari na si
 
Hapo kwenye msaada wa kiroho hakika waume zetu wangetukamata sana....sema tu nao ndiyo wamekengeuka,hawana la kutujaza tukafurika kiroho
eeeh ndio maana wanawake wameshikwa na wachungaji wao kumbe mwanaume ndio kazi yake ilikuwa kuwa ndio msaada mkubwa wa kupalilia Edeni yake
 
Nyuki ni wazuri sana kwa kuwahutupa asali ila nyuki huyo huyo ukishindwa kufuata tahadhari anaweza kukuua kukupofusha macho au mambo kama hayo mengi sana .Nduguyenu nimekuja na code muhimu sana kwa wanaume ili waishi vizuri na wapenzi wao au wanawake wote kiujumla na hizi code ndio kuishi nao kiakili ...
code number one[msaada wa kisaikolojia)
mwanamke yeyote anahitaji kuliwazwa kwa maneno mazuri ya upendo oooh sweet i love u mambo kama hayo ili umtibu saikolojia yake hautakiwi kusema au kusonya mbele ake ukatezwa uanawake wake utapata tabu tu .
Code numbe two [ anahitaji msaada wa kifedha )
ili uishi kwa raha na mwanamke mpe msaada wa kifedha hata akikuomba ndege mpe katika maisha yako hutakiwi kumwambia mwanamke huna pesa wewe mpe tumaini
code number Three ( msaidie katika masuala yake ya kiroho )
msaidie wewe ndiemchungaji wake mpe maono ya kiroho akue mwanamke anamjua Mungu kupitia mwanaume
....kumbuka ukifeli kipengele kimoja umefeli kote usije kulaumu ishi nao kwa akili ili upate asali na utamu wa mwanamke
a word is enough for wise ..
Siwezi beba huo mzigo,beba mwenyewe
 
mwanamke anahitaji apewe amani upendo mambo yote mazuri ooooh Hakuna mwanamke mkavu nakuambia
Hakika,tunapenda maneno yenye kufariji na yenye uongo ndani yake 🤒
 
Hakika,tunapenda maneno yenye kufariji na yenye uongo ndani yake 🤒
Hapa kwenye uongo mm mnitoe😅 kuwa real , usinipe sifa ambazo Sina Huwa najua unafake, Bora useme sifa nilizonazo hata kama 1 kuliko sifa 10 nikijua zote ni uongo na kunipamba tu.
 
Hapa kwenye uongo mm mnitoe😅 kuwa real , usinipe sifa ambazo Sina Huwa najua unafake, Bora useme sifa nilizonazo hata kama 1 kuliko sifa 10 nikijua zote ni uongo na kunipamba tu.
Hakuna mwanaume mkweli sasa...
Labda kavulana kachanga cute
 
Back
Top Bottom