kabla ya kumaliza mwaka nawapa hii code jinsi ya kuishi na wanawake ifuatilie ufurahie edeni

kabla ya kumaliza mwaka nawapa hii code jinsi ya kuishi na wanawake ifuatilie ufurahie edeni

Hapa kwenye uongo mm mnitoe😅 kuwa real , usinipe sifa ambazo Sina Huwa najua unafake, Bora useme sifa nilizonazo hata kama 1 kuliko sifa 10 nikijua zote ni uongo na kunipamba tu.
mke na mume hawana pesa wala chakula ndani kama mume wanapiga magoti wakiwa na mke wake wanasali ooh Mungu tunaomba utupe pesa za kujikimu .wamemaliza mwanamke ambaye anajua wametoka kusali anasema Baba nani naomba hela nikanunue vitu eeh wewe na ulokole wako utafanyaje unaweza ukapaniki eeeh saikolojia ya wanawake ni ngumu kuijua kama umetanguliza kujiuliza mujimu tanguliza upendo na tumaini
 
ukweli upo upendo na Tumaini sio unadanganya hapana mkeo amekuaomba hela wewe huna unamwambia nitakupa (hapo hujadanganya ) nitakupa ni neno la future hata ikiwa mwaka 2050 utampa
Hakuna mwanaume mkweli sasa...
Labda kavulana kachanga cute
 
Wanawake wanabadilika kama masaa,kiufupi hawana kanuni
hizo ndio kanuni wengi wamefail anampa hela ila saikolojia hamtengenezi au masuala ya kiroho mwanamke ni mpokeaji anapokea kwa mwanamume
 
Back
Top Bottom