Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Land cruiser series ya 100Land cruiser ina Version nyingi ya Magari, unataka ipi ili upate muongozo Mzuri..
Kila gari ina vigezo vya kuzingatia, kuokoa maelezo be specific na toleo la Landcruiser unayohitaji vigezo vyake...
Kununua Toyota Land Cruiser ni uwekezaji mkubwa, ni muhimu kuchukua tahadhari ili kuhakikisha unapata gari bora kwa thamani ya pesa yako.Habari wakuu nimetembelea App ya Jijini.com nimeona Wanauza magari bei chee used from hapa hapa Tanzania je kitu chakuzingatia kabla ya kununua?View attachment 3158719
Diesel au petrol?Mfano wa hii wanauza 28 halafu maongezi yapo inamana Hadi 25 unaondoka nayo View attachment 3158720
Kama ni hiyo, hapo kigezo ni Makaratasi mekundu yaliyoshonana ...Land cruiser series ya 100
Automatic Dizel
Kagua na fundi kama imewahi badilishwa Engine Block,Cylinder Head. Hali ya injector pump na nozzle, pia turbo charger kama inafanya kazi vizuri. Unaweza kufanya test driver mkapita njia yenye vilima mpime nguvu ya gari.DIESEL
Nimekupa mkuu Sina uzoefu WA magari Alf hzi land cruiser series ya 100 ndio dreams gar fo me. Nikichek be forward nk...hiizi chuma Hadi kuimiliki kutoka Japan uandae almost 60MKagua na fundi kama imewahi badilishwa Engine Block,Cylinder Head. Hali ya injector pump na nozzle, pia turbo charger kama inafanya kazi vizuri. Unaweza kufanya test driver mkapita njia yenye vilima mpime nguvu ya gari.
Kwenye suspension na miguu mtakagua wakati inatestiwa kama ina tatizo mtaona na mtakubaliana kwenye gharama za services
Vipuri bei ni kubwa ila vinapatikana vista na used. Ukifunga ni uhakika hizo gari hazina magonjwa madogo madogo.Nimekupa mkuu Sina uzoefu WA magari Alf hzi land cruiser series ya 100 ndio dreams gar fo me. Nikichek be forward nk...hiizi chuma Hadi kuimiliki kutoka Japan uandae almost 60M
Lakini ukija hapa bongo unakuta kwa mtu unaichukua kwa 25 Hadi 35 Alf ipo vizur so naweza ku-aford ila hofu yangu je kwenye maintenance yake zinasimama vp vipuli vyake
Nimekupa mkuu inama ukitaka kununua haya magari walau bank account isome ili kumudu maintenanceVipuri bei ni kubwa ila vinapatikana vista na used. Ukifunga ni uhakika hizo gari hazina magonjwa madogo madogo.
Vifaa nilivyokuambia ukague vina bei kubwa na ukinunua gari iliyopata shida ya parts hizo pesa itakutoka kununua ili gari ikae sawa, injector pump inaenda 1.2m, nozzle 1 ni laki 4 mpk 6 na zinafungwa 6, Turbo zinaanzia 1.2m, cylinder head inacheza kwenye 2m mpk 3m, engine block nayo ni 2m mpk 4m. Bado gharama za vifaa vya overall kit kama con rod,piston rings na gasket
Kagua kwanza na fundi, unaweza ukamiliki hiyo gari na usije kugusa hizo parts kama ni mtunzaji mzuriNimekupa mkuu inama ukitaka kununua haya magari walau bank account isome ili kumudu maintenance