Uchaguzi 2020 Kabla ya kupitishwa kuwa mgombea tujiulize haya kuhusu Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Kabla ya kupitishwa kuwa mgombea tujiulize haya kuhusu Tundu Lissu

Tambukareli

Member
Joined
May 8, 2020
Posts
35
Reaction score
64
Kutokana na misimamo yake na itikadi kali za kisiasa kama ikitokea Tundu lissu akapitishwa na chama chake(CHADEMA)kuwania Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2020 kwa bahati mbaya akashindwa;

Je, atakuwa tayari kukubaliana na matokeo hayo ya uchaguzi?

Je, misimamo yake na itikadi zake kisiasa baada ya kushindwa Urais haiwezi kuchochea chuki na kuingiza Taifa kwenye machafuko ya kisiasa?

Je, Serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama ikiwemo idara nyeti vitakubali huyu mtu kuwania Urais wa JMT?

Tujadili kwa mtazamo chanya na maslahi mapana ya nchi yetu.
 
Kutokana na misimamo yake na itikadi kali za kisiasa kama ikitokea Tundu lissu akapitishwa na chama chake(CHADEMA)kuwania Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2020 kwa bahati mbaya akashindwa;

Je, atakuwa tayari kukubaliana na matokeo hayo ya uchaguzi?

Je, misimamo yake na itikadi zake kisiasa baada ya kushindwa Urais haiwezi kuchochea chuki na kuingiza Taifa kwenye machafuko ya kisiasa?

Je, Serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama ikiwemo idara nyeti vitakubali huyu mtu kuwania Urais wa JMT?

Tujadili kwa mtazamo chanya na maslahi mapana ya nchi yetu.
Kwani kama haki haijatendeka , kuna suluhu ipi zaidi ya kumwaga mboga ?
 
Kutokana na misimamo yake na itikadi kali za kisiasa kama ikitokea Tundu lissu akapitishwa na chama chake(CHADEMA)kuwania Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2020 kwa bahati mbaya akashindwa;

Je, atakuwa tayari kukubaliana na matokeo hayo ya uchaguzi?

Je, misimamo yake na itikadi zake kisiasa baada ya kushindwa Urais haiwezi kuchochea chuki na kuingiza Taifa kwenye machafuko ya kisiasa?

Je, Serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama ikiwemo idara nyeti vitakubali huyu mtu kuwania Urais wa JMT?

Tujadili kwa mtazamo chanya na maslahi mapana ya nchi yetu.
Pumbavuuu
 
Kutokana na misimamo yake na itikadi kali za kisiasa kama ikitokea Tundu lissu akapitishwa na chama chake(CHADEMA)kuwania Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2020 kwa bahati mbaya akashindwa;

Je, atakuwa tayari kukubaliana na matokeo hayo ya uchaguzi?

Je, misimamo yake na itikadi zake kisiasa baada ya kushindwa Urais haiwezi kuchochea chuki na kuingiza Taifa kwenye machafuko ya kisiasa?

Je, Serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama ikiwemo idara nyeti vitakubali huyu mtu kuwania Urais wa JMT?

Tujadili kwa mtazamo chanya na maslahi mapana ya nchi yetu.

Akishindwa kihalali atakubali, ila sioni kwanini akishindwa kwa hila akubali. Maslahi ya taifa ni yeye kukubali kuhujumiwa iwapo atashindwa? Kama ushindi huwa unapatikana kihalali, ni kwanini muwe na shaka yeye kukubali matokeo? Kwani hivyo vyombo vya dola kazi yao ni kuamua nani awe mgombea, na nani asiwe mgombea, au kazi yako ni kusimamia haki? Tumechoka kuhujumiwa kwenye chaguzi zetu, ni vyema tuchore mstari ili box la kura liheshimiwe.
 
Kutokana na misimamo yake na itikadi kali za kisiasa kama ikitokea Tundu lissu akapitishwa na chama chake(CHADEMA)kuwania Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2020 kwa bahati mbaya akashindwa;

Je, atakuwa tayari kukubaliana na matokeo hayo ya uchaguzi?

Je, misimamo yake na itikadi zake kisiasa baada ya kushindwa Urais haiwezi kuchochea chuki na kuingiza Taifa kwenye machafuko ya kisiasa?

Je, Serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama ikiwemo idara nyeti vitakubali huyu mtu kuwania Urais wa JMT?

Tujadili kwa mtazamo chanya na maslahi mapana ya nchi yetu.
Wewe unaonaje??
 
Baadhi ya mambo inabidi vyombo viingilie kwa maslahi ya nchi kitendo cha kuyaacha yakatendeka kinaweza kugharimu taifa

Hivyo vyombo baadhi ya mambo inabidi viingilie, huwa havioni wizi wa kura na wapinzani wanavyonyanyaswa, au hayo mambo ni pale wenye madaraka wanapokutana na wakati mgumu tu? Hamuwezi kushindana kisiasa, mmebaki kushurutisha kutawala. Hatimaye mkiona sio kila mtu yuko tayari kushurutishwa kutawaliwa, ndio mnajifanya kukimbilia kwenye mbeleko yenu ya vyombo vya dola.
 
Kutokana na misimamo yake na itikadi kali za kisiasa kama ikitokea Tundu lissu akapitishwa na chama chake(CHADEMA)kuwania Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2020 kwa bahati mbaya akashindwa;

Je, atakuwa tayari kukubaliana na matokeo hayo ya uchaguzi?

Je, misimamo yake na itikadi zake kisiasa baada ya kushindwa Urais haiwezi kuchochea chuki na kuingiza Taifa kwenye machafuko ya kisiasa?

Je, Serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama ikiwemo idara nyeti vitakubali huyu mtu kuwania Urais wa JMT?

Tujadili kwa mtazamo chanya na maslahi mapana ya nchi yetu.

1. Hata akipinga matokeo atakuwa anatimiza haki yke kikatiba.

2. Kuhisi kwako kwamba itikadi zake za kisiasa baada ya kushindwa uchaguzi zinaweza kuchochea chuki na kuingiza Taifa kwenye machafuko ndio kunakoweza sababisha chuki na machafuko.

3. Kuna vigezo vya kutimiza ili uweze gombea urahisi; kama Kikatiba ametimiza vyote hakuna namna serikali inaweza mzuia unless waamue kuvunja katiba.
 
Kutokana na misimamo yake na itikadi kali za kisiasa kama ikitokea Tundu lissu akapitishwa na chama chake(CHADEMA)kuwania Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2020 kwa bahati mbaya akashindwa;

Je, atakuwa tayari kukubaliana na matokeo hayo ya uchaguzi?

Je, misimamo yake na itikadi zake kisiasa baada ya kushindwa Urais haiwezi kuchochea chuki na kuingiza Taifa kwenye machafuko ya kisiasa?

Je, Serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama ikiwemo idara nyeti vitakubali huyu mtu kuwania Urais wa JMT?

Tujadili kwa mtazamo chanya na maslahi mapana ya nchi yetu.
Acheni uoga kwa mtu mmoja enyi mataga.
 
Je, Serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama ikiwemo idara nyeti vitakubali huyu mtu kuwania Urais wa JMT?
Kwa nini visikubali? Huyu si mtanzania kama wengine? By the way, hivi ni vyombo vya ulinzi na usalama na sio tume ya uchaguzi. Tume ndio inaweza kumwengua kama itaona hajakidhi vigezo
 
Back
Top Bottom