Kabla ya kuumba ulimwengu Mungu alikua anafanya nini?

Kabla ya kuumba ulimwengu Mungu alikua anafanya nini?

Pengine alikuwa busy na yale tusiyoweza kuyajua .
 
Kabla ya kuumba ulimwengu Mungu alijua kuwa siku ya leo utaanzisha hii thread.
Kwa hiyo Mungu mjua yote?

1. Kwa nini hakujua binadamu aliemfanya kwa mfano wake atamgeuka ??

2.Imeandika Mungu anasubiri subiri kwanza kabla ya kushusha hukumu yake sababu huenda watu wengine watabadilika na kumgeukia yeye..haaa kumbe hana uhakika nani wake au sio wake.
 
KWA KUANZIA, Kwa sababu umeanza kwa ku quote maandiko ya bibilia tutakujibu kibiblia pia, ila kama ungeuliza kikawaida tungejaribu kukujibu kikawaida ( kimwili au sayansi ya kufikirika).
longi mapexa ametoa mchango mzuri kabisa ila kuongeza. Mungu ni roho, yeye ahijali physical world in kuweza ku exist,
biblia inaposema hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi ( Mwanzo 1:1) biblia inazungumzia mwanzo wa physical universal na earth ( mbingu sio mbinguni its universal na nchi ni earth). ukiangalia katika mstari wa 14 Mungu akatengeneza nyota, mstari wa 16 akafanya jua na mwezi.

Ok !! ukiangalia katika uumbaji hapa hakuna mahali Mungu anaongelea kuhusu malaika, lakini walikuwepo. Kama nilivyo sema kuwa Mungu ni Roho, na malaika pia ni Roho , wao hawahitaji physical universal ili kuwepo, kwahiyo dunia na universal viliubwa au vilipewa mwanzo kwaajili ya physical being ( viumbe hai). Kwa hiyo kabla ya kuumbwa au kabla ya kuwepo dunia yetu na anga na vilivyomo, Mungu alikuwepo na malaika walikuwepo.

OK! Alikuwa anafanya nini? Kazi kubwa ya malaika ni kumwabudu Mungu kama alivyochangia Usedcountrynewpipo , swali kwanini Mungu alimuumba Mwanadamu? Mungu alimuumba mwanamu ili mwanadamu amwabudu Mungu.
 
Sasa tutajuaje wakati tulikuwa hatujaumbwa?????

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Alikuwa anaumba sayari nyingine na kuharibu nyingine zilizomgadhabisha, ndio maana dunia yetu ikafanyika katika uumbaji. Ifahamike kuwa uumbaji bado upo na unaendelea.

Kuongezeka kwa joto/mabadiliko ya tabia nchi na kuongezeka kwa maarifa duniani ni
mojawapo ya dhana za uumbaji zilizojificha, katika siku zijazo athali /uumbaji hizo /huo unaweza kuwapoteza viumbe wengi sana duniani na kuwaingiza viumbe wengine wa ajabu sana ambao wataiharibu dunia.
 
Sasa mbona hatuoni mungu akiumbwa hapo mwanzo?kama hakukua na mwanzo basi hakukua na kitu chochote.
Mungu Hana Mwanzo wala Mwisho hivyo huo Mwanzo ni yeye aliyeuanzisha na Mwisho wa Dunia pia anaujua yeye lakini aliapa kuwa hapatakuwa tena na Wakati(Mwanzo na Mwisho) baada ya huu kwani walio wake watakuwa pamoja naye kwenye umilele
 
ni kweli
ila kumbuka kiroho kina side 2 (mshana yupo side moja)
Hapana, Watu wanashindwa kumuelewa mshana jr , kujua siri za adui yako hazikufanyi kuwa mmoja wao. huyu jamaa anauelewa sana upande wa pili na anajaribu kuonyesha watu upande huo ukoje,
 
KWA KUANZIA, Kwa sababu umeanza kwa ku quote maandiko ya bibilia tutakujibu kibiblia pia, ila kama ungeuliza kikawaida tungejaribu kukujibu kikawaida ( kimwili au sayansi ya kufikirika).
longi mapexa ametoa mchango mzuri kabisa ila kuongeza. Mungu ni roho, yeye ahijali physical world in kuweza ku exist,
biblia inaposema hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi ( Mwanzo 1:1) biblia inazungumzia mwanzo wa physical universal na earth ( mbingu sio mbinguni its universal na nchi ni earth). ukiangalia katika mstari wa 14 Mungu akatengeneza nyota, mstari wa 16 akafanya jua na mwezi.

Ok !! ukiangalia katika uumbaji hapa hakuna mahali Mungu anaongelea kuhusu malaika, lakini walikuwepo. Kama nilivyo sema kuwa Mungu ni Roho, na malaika pia ni Roho , wao hawahitaji physical universal ili kuwepo, kwahiyo dunia na universal viliubwa au vilipewa mwanzo kwaajili ya physical being ( viumbe hai). Kwa hiyo kabla ya kuumbwa au kabla ya kuwepo dunia yetu na anga na vilivyomo, Mungu alikuwepo na malaika walikuwepo.

OK! Alikuwa anafanya nini? Kazi kubwa ya malaika ni kumwabudu Mungu kama alivyochangia Usedcountrynewpipo , swali kwanini Mungu alimuumba Mwanadamu? Mungu alimuumba mwanamu ili mwanadamu amwabudu Mungu.

mkuu TECHMAN,hapo kwenye mstari wa 14 ktk kitabu cha MWANZO 1.

JE unaijua tofauti ya jua na nyota mkuu??Haiwezekani aumbe nyota then baadae aje aumbe jua na mwezi wakati kimsingi jua nayo ndio nyota
 
Wewe amini unachoamini... ukipekua sana haya mambo ukweli upo wazi...
 
unawachokoza wazee wa "thibitisha uwepo wa Mungu".
 
Alikua anaumba sayar zingine. Kuna sayar zipo na zina viumbe walioanza kuishi kabla ya dunia.

Enzi Mungu anaumba dunia hizo sayar zingine na viumbe wake walikua washaendelea sana kiteknlojia.

Na kuna hati hati miaka ya karibuni wakaja kutugundua "discover"
 
kama kweli mungu yupo Na yeye ndio aliuumba ulimwengu wote huu kwanini alishindwa kuandika kitu kidogo tu kitabu hadi binadamu waliamua kumuandikia
Na Wakati huo alisha kuwa amemaliza kazi ya kuumba ulimwengu. Na Alikua hana kazi.
 
Back
Top Bottom