Kabla ya kuumba ulimwengu Mungu alikua anafanya nini?

Kabla ya kuumba ulimwengu Mungu alikua anafanya nini?

Mkuu unajichanganya mara useme hana mwanzo wala mwisho alafu unasema tena yy ndo ameuanzisha mwanzo. Alafu unasahau Kila chenye mwanzo kina mwisho
Naona umekariri misemo kwamba kila chenye mwanzo hakikosi mwisho.

Swali dogo tu

Kwa hiyo unaamini dunia na vyote vilivyopo kuna siku vitafikia mwisho wake?
 
Mpaka Biblia Takatifu Yesu alisema kuwa "Katika Nyumba ya Baba yangu kuna malimwengu (dunia) mengi" uthibitisho kwamba maisha hayako duniani tu

Hapo naona una-force king bhana... hebu angalia English version inasemaje kuhusu hiyo Aya cuz Malimwengu na Ulimwengu ni vitu viwili tofauti! Malimwengu ni yale mambo yanayotokea ulimwengu na kwa kawaida sio yale ya kuvutia!

Kwa mfano, ukikuta mtu analia peke yake; unaweza kumuuliza kulikoni lakini asikupe sababu akaishia tu kusema "ni malimwengu tu kakangu!"
 
Hapo naona una-force king bhana... hebu angalia English version inasemaje kuhusu hiyo Aya cuz Malimwengu na Ulimwengu ni vitu viwili tofauti! Malimwengu ni yale mambo yanayotokea ulimwengu na kwa kawaida sio yale ya kuvutia!

Kwa mfano, ukikuta mtu analia peke yake; unaweza kumuuliza kulikoni lakini asikupe sababu akaishia tu kusema "ni malimwengu tu kakangu!"

Ndio maana 'waswahili' tunageuza maneno ya Kiswahili kile kile hivyo kushindwa hata kujifunza pale penye elimu.

Hayo mambo ya sijui English, Arabic, Chinese, Spanish versions unayaleta wewe na hata kama ni version ya kilugha (kuna Biblia ya Kichaga, Kihaya nk) bado haiondoi kuwa Yesu alikuwa anaongelea 'mahala' (place) na sio hali (state) nk.

Hivyo ni wazi Alimaanisha sehemu ambapo binadamu (wafuasi wake) wanaweza kuwa baada ya hapa duniani.
 
hutuwezi kuchangia kila Mada wengine wataka kutukufurisha
 
Wewe usicheze na anga ZA MUUMBA WAKILA KITU utakuja juta baadae baada yakufa kwako
 
Kwa hiyo Mungu mjua yote?

1. Kwa nini hakujua binadamu aliemfanya kwa mfano wake atamgeuka ??

2.Imeandika Mungu anasubiri subiri kwanza kabla ya kushusha hukumu yake sababu huenda watu wengine watabadilika na kumgeukia yeye..haaa kumbe hana uhakika nani wake au sio wake.
Hata udongo ulijua kuwa kiumbe mwanadamu atakuja kufanya ufedhuli juu ya mgongo wa ardhi
 
Ndio maana 'waswahili' tunageuza maneno ya Kiswahili kile kile hivyo kushindwa hata kujifunza pale penye elimu.
Hayo mambo ya sijui English, Arabic, Chinese, Spanish versions unayaleta wewe na hata kama ni version ya kilugha (kuna Biblia ya Kichaga, Kihaya nk) bado haiondoi kuwa Yesu alikuwa anaongelea 'mahala' (place) na sio hali (state) nk.
Hivyo ni wazi Alimaanisha sehemu ambapo binadamu (wafuasi wake) wanaweza kuwa baada ya hapa duniani.
Nimekuambia weka English version tuone neno lililotumika lakini kinyume chake mara oh Kichaga, mara Kisambulu... maneno mengi ya nini?! Hatufanyi ligi hapa jombaa bali kupeana darsa kama nilivyokupa darsa hapo kabla kwamba malimwengu na ulimwengu ni vitu viwili tofauti-- hutaki endelea na ignorance yako!!
 
Kwani unadhani Mungu kazi yake inahusu hii dunia tu? Ana mengine mengi ya kufanya nje ya msayari huu wa dunia
 
Back
Top Bottom