Kabla ya kuumba ulimwengu Mungu alikua anafanya nini?

nmeipenda comment yako mkuu
 
kama kweli mungu yupo Na yeye ndio aliuumba ulimwengu wote huu kwanini alishindwa kuandika kitu kidogo tu kitabu hadi binadamu waliamua kumuandikia
Na Wakati huo alisha kuwa amemaliza kazi ya kuumba ulimwengu. Na Alikua hana kazi.
mwisho utasema alishindwa jenga makanisa na misikiti ikajengwa na watu,au alishindwa umba watoto badala yake wanawake wanazaa
 
"Hapo mwanzo mungu aliumba mbingu na nchi" na tumefundishwa Mungu hana mwanzo.

Sasa kabla ya kuumba ulimwengu mungu alikua anafanya kazi gani?
Kabla ya mwanzo Mungu aliumba vitu vingine tofauti na mbingu na nchi, na vilivyomo.
 
hebu fikria unatokewa na mtu alokuumba na kuumba sayar zote na ulimwengu naskia zamn ilikuwa ni rahsi sana kuonana MUNGU sio sasa
 
uongo!!!! umesikia kwa nani?
mkuu hata MUSA alikuwa akipiga story mara kwa mara na MUNGU hvyo hvyo hata kwa wana waisrael kulikuwa na siku maalum nmesahau ni sehemu gan katika bible but ipo huyo mistar
 

mkuu TECHMAN,hapo kwenye mstari wa 14 ktk kitabu cha MWANZO 1.

JE unaijua tofauti ya jua na nyota mkuu??Haiwezekani aumbe nyota then baadae aje aumbe jua na mwezi wakati kimsingi jua nayo ndio nyota

OK!! kuhusu swali lako, Je unakataa bibilia ilichoandika? ndo maana nikaweka na maandiko kabisa, Ukiangalia nilivyo anza, nimesema kwakuwa ameuliza kibiblia namimi najibu kibiblia,

OK!! Embu soma tena mstari wa 14 na 16, Mungu aliposema pakuwe na mianga, pakakuwa na mianga mingi na katika mianga hiyo palikuwa na mianga miwili mikubwa, Mwanga mkubwa mmoja ukapewa kutawala usiku na mwingine kutawala mchana. sikumaanisha kuwa Mungu aliumba mianga mingine kisha baadae akaja kuumba Jua na mwezi, katika mstari wa 14, anasema " Na iwe mianga katika anga la mbinguni" hapa anamaanisha minga yote, lakini katika hiyo kulikuwa na mianga mikuu miwili.

Jua na mwezi. katika mstari wa 16 anaipatia mianga mikubwa miwili majukumu.
 
Hakuna kitu kinachoitwa mungu kilichoiumba dunia. Shitukeni mnaibiwa
Mkuu inawezekana kabisa ukawa sahihi, lakini hapa sio mahala pake, Hapa tunajadili biblia inasemaje kuhusu jambo hili.
Na wewe jaribu kuanzisha uzi kama huu kwa mtazamo wako kisha tukupe mchango maridhawa kuhusu unacho amini.
 
Mkuu inawezekana kabisa ukawa sahihi, lakini hapa sio mahala pake, Hapa tunajadili biblia inasemaje kuhusu jambo hili.
Na wewe jaribu kuanzisha uzi kama huu kwa mtazamo wako kisha tukupe mchango maridhawa kuhusu unacho amini.
Usiogope challenge kwa kile unachokiamini. Ubovu wenu mnakuja na hoja za kunukuu badala ya uwezo wenu binafsi wa kufikiri
 
Usiogope challenge kwa kile unachokiamini. Ubovu wenu mnakuja na hoja za kunukuu badala ya uwezo wenu binafsi wa kufikiri
Sikia dogo nusuhela , nimesema nachangia kutokana na mlata mada, sasa kama wewe una mtazamo mwingine aanzisha uzi kuhusu unacho amini tutiririke utakavyo.
 
Mkuu maliedo sasa hivyo viumbe vya sayari nyingine vikitudiscover vitatufanya nini?
 

Hv kweli roho inaweza kufanya hayo uliyoyataja???? Be serious bro
 
Mungu Hana Mwanzo wala Mwisho hivyo huo Mwanzo ni yeye aliyeuanzisha na Mwisho wa Dunia pia anaujua yeye lakini aliapa kuwa hapatakuwa tena na Wakati(Mwanzo na Mwisho) baada ya huu kwani walio wake watakuwa pamoja naye kwenye umilele

Mkuu unajichanganya mara useme hana mwanzo wala mwisho alafu unasema tena yy ndo ameuanzisha mwanzo. Alafu unasahau Kila chenye mwanzo kina mwisho
 
Mkuu unajichanganya mara useme hana mwanzo wala mwisho alafu unasema tena yy ndo ameuanzisha mwanzo. Alafu unasahau Kila chenye mwanzo kina mwisho
Aliuanzisha Mwanzo wa Ulimwengu na huu Ulimwengu una mwisho wake usipokuwa yeye mwenyewe Hana mwisho.
 
Swali jingne Kabla ya kuumba mbingu alikuwa anaishi wap?

Yapo mambo mengi sana unayoweza kuuliza na usipate jibu la moja kwa moja,mf hakuna anayejua siku yake ya kufa,labda aliyehukumiwa kifo,hakuna ajua kesho kitu gani kinatokea. Mungu alitupa uwezo mdogo sana wa ufahamu inaweza kuwa 1/1000000 ya anachojua Mungu,biblia takatifu inasema katika Kumbukumbu la torati 29:29 Amini Mungu yupo na kwa yeye vitu vyote vilifanyika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…