HahahahahahahahaahaNo one can tell with certainty what He was doing by then but,
Kabla shughuli nyingine hazijaanza huko peponi ilikuwa ni 'kuserebuka' tu, na Shetani ndiye aliyekuwa malaika anayegawa dozi ya burudani na mshika maiki kiongozi. Kwa sasa tungeweza kusema alikuwa na umaarufu kama mzee Komba (rip) kwenye fani ya uimbishaji mpaka pale alipoharibu na kutumbuliwa jipu...
Mpaka sasa kuna mabillion ya sayari lakini kile kifaa kinaitwa 'Kepler space craft' kishavumbua sayari kama 100 hivi ambazo zina size ya dunia na zenye uwezekano wa kuwa na maisha, wanaenda mbali zaidi na kusema kuna 'civilization' huko na ndio maana wanasisitiza kuwa 'we have been visited'.
Sielewi vizuri Quran inasema nini juu ya sayari zingine lakini kwenye Biblia Takatifu kuna sehemu Yesu alisema kuwa "Katika Nyumba ya Baba yangu kuna malimwengu (dunia) mengi" uthibitisho kwamba maisha hayako duniani tu.
Kama watu walioishi miaka 700 iliyopita waliamini kuwa dunia ndio kila kitu ni wazi watakaoishi miaka 600 ijayo wataweza kufanya maisha kwenye Mars au hata shemu nyinginezo!
hebu fikria unatokewa na mtu alokuumba na kuumba sayar zote na ulimwengu naskia zamn ilikuwa ni rahsi sana kuonana MUNGU sio sasa
Mzee usije chukulia mistari ya biblia au quran ku-prove vitu vya kisayansi,utaonekana kichaa....biblia na quran,nk ni vitabu vya stori za kufikirika
Tafadhari naomba usitetereshe imani yangu mkuu! Comment yako inajeruhi imani yangu....!Kabla ya kuumba ulimwengu Mungu alijua kuwa siku ya leo utaanzisha hii thread.
Mkuu mbona unajeruhi imani yangu?View attachment 348176haya mambo yanachanganya
Hapa nipo against na wewe kabisa maswala ya dini na sayansi hayawezi yakaenda pamoja kwa asilimia nyingi tu, huwezi tumua vitabu vya dini kuthibitisha ishu za sayansi maana hata huko kwenye vitabu vya dini kuna mambo mengi tu ambayo yapo kinyume na sayansi kwa vitu ambavyo vimethibitika kuwa ni kweli, binafsi siwezi kuchanganya dini na sayansi hata kidogo kwa sababu naviona ni vitu ambavyo vina conflict sana.Mfano unaona ishu Kama ya hapo chini ilivyo na conflict.Hapana mkuu, tumeingia kwenye matatizo makubwa kwa sababu ya hizi superstitions. Proof iliyopo ni kwamba kufuata dini bila proof za kisayansi ndio matokeo yake inaitwa 'dogma' ...yaana kama zile story za Wasabato masalia au wale 'mashabiki' wa mabinti bikra. Na kufuata sayansi bila dini ndio materialists na ukomunisti ulioshindwa. Hivi vitu yaani sayansi na dini vinapaswa kwenda hand in hand.
Alikuwa anafanya usivyovijua na ambayo hujawaza bado!"Hapo mwanzo mungu aliumba mbingu na nchi" na tumefundishwa Mungu hana mwanzo.
Sasa kabla ya kuumba ulimwengu mungu alikua anafanya kazi gani?